trigger468
New Member
- Apr 28, 2018
- 2
- 1
Ni muda mrefu sasa tukiwa wanne ndani ya hit kazi....mtu mmoja tu ndiye anayeshughulika na mambo yote. Wengine wanakaa wakisubiri mambo yakae vizuri bila kuchangia kivyovyote na kusema bado ni wanachama wa kikundi hichi. Mimi naona kama hawapo serious na hawana malengo na hasira kama niliyonayo mimi. Nimeamua kuachana nao japo walikuwa ni rafiki zangu sana kabla ya kufanya kazi hii.
Naomba mawazo menu jamani...
Naomba mawazo menu jamani...