Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuliza watu mkuu.Mfano wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Mchonga meno bado unaishi.. Ni ule mfano wa kugawa madini ya thamani ya Almasi na kubadilishana na kipande cha chupa na kujiona mjanja sana
Post isiwe ndefu sana
Tunagawa maliasili zetu kwa wageni kwa bei ya kutupa
Tunagawa bandari zetu zote
Tunagawa miundombinu getu yote
Tunagawa madini getu yote
Tunagawa ardhi yetu
Tunagawa sehemu za bahari
mito na maziwa
Tunagawa vitalu na vyanzo vya gesi nknk
Hawa wote tunaowagaia wana tabasamu pana usoni lakini rohoni ni wanyama wa kutisha
Hivi vyote tunavyogawa kwa bei chee ni sawa na kugawa uhai wetu.. Achilia mbali uhuru.. Uhai una thamani kubwa.. Na uhai haushuki bei
Maliasili zote, vitalu vyote na kila nilichotaja hakuna kinachoshuka thamani hata siku MOJA na vyote vimebeba uhai endelevu
Sasa hawa tuliowagaia wanatupa nini!? Tunapewa
Vitu vitu visivyo na uhai tupu...! Misaada mfu.. Zawadi mfu.. Vitu ambavyo haviongezeki thamani bali vinashuka thamani tangu siku ya kwanza..
Tunadhani tunapendwa sana.. Tunadhani ni ukwasi.. Kumbe tunachekwa na kuzomewa kwa nyuma
Tunajaziwa machuma yaliyopakwa rangi na kutiwa nakshi mbalimbali
Tunabandikiwa picha zetu mpaka kwenye matambara.. Kila kitu, kila tukio, kila kusanyiko ni mapambio ya picha zetu na majina
Badala ya kuwa raha sasa ni karaha
Badala ya kuwa shangwe sasa ni chukizo
Badala ya kuwa pambo sasa ni uchafu
Mnyange anayejiamini huwa na mapambo machache.. Mnyange asiyejiamini hujipodoa mpaka anachukiza na kutisha...
Tumeuza uhai... Tukazawadiwa wafu..!
Mfano wa Mchonga bado unaishi...View attachment 3131709
Tanganyika...!
Hivi vyote tunavyogawa kwa bei chee ni sawa na kugawa uhai wetu.. Achilia mbali uhuru.. Uhai una thamani kubwa.. Na uhai haushuki bei
[/QUOT]
Nimejaribu sana kulielezea hili mara kadhaa humu JF, kwa lugha tofauti bila ya mafanikio yoyote.
Ngoja nione kama lugha yako hii itakuwa na mafanikio juu ya kuwaelewesha watu anayo fanya sasa hivi Samia.
Nita yaazima maneno haya mahsusi: "kugawa uhai wetu; uhuru, uhai". "Uhai haushuki bei."
Unasema kweli mkuu 'NGOSWE2'?Acha kuliza watu mkuu.
Huku watu wameangua vilio walipojua tayari uhai wao upo mikononi mwa wageni.
Acha mkuu! Ni msiba mzito, 😭😭😭Unasema kweli mkuu 'NGOSWE2'?
Wapi huko "watu walipo angua vilio walipojua tayari uhai wao upo mikononi mwa wageni."?
Nami ninge penda kwenda huko kuungana na hao waTanzania wenzangu katika maombolezo ya hali ya nchi yetu.
Poor Chama cha majambazi, hizo kinda za kikoloni walizojiwekea ndio zinaua nchi.CCM: Wamehonga migodi na misitu kwa Wachina.
Wachina: Wamerejesha fadhila kwa maccm kwa kuwatolea mindula ya kampeni.
Wananchi: Njaa kali.!View attachment 3136886
Dah!CCM: Wamehonga migodi na misitu kwa Wachina.
Wachina: Wamerejesha fadhila kwa maccm kwa kuwatolea mindula ya kampeni.
Wananchi: Njaa kali.!View attachment 3136886