Uchaguzi 2020 Tumevuka kigingi kimoja, bado kingine

Bado tuna vigingi vingi, subiri tuone nini kitatokea baada ya mazishi.

Jr[emoji769]

Kama alivyowasili pasipo vigingi inawezekana kujipanga vilivyo kukwepa vigingi vyote.

Umoja wetu na mashirikiano na wenzetu hata kusimika cha mpingo ni strategy njema sana.

Timu hii:

Obama - Lissu
Kachero mbobezi - Axelrod.

Wataomba poo! Asubuhi kweupe.

Uelekeo uwe maridhiano ndani kwa ndani kwanza.
 
Jinsi ulivopandisha huu uzi naona ka ulishusha pumzi Kwanza maana hukuamini ka atatua salama nchini
 
Afungwe tuu, kwa kuruka dhamana. Miezi 3, akitoka huko kesi ya msingi iendelee
Mbona watu mna roho mbaya sana. Mtu amekuja amebadilika kabisa mwili wote amekuja anavuta mguu wake na bado viungo kadhaaa mwilini vimefanyiwa marekebisho ila huruma hunaa,mtu aliepigwa risasi zotee hizo bila sababu na hata kama sbb ipo basi sio ya msingi kupelekea kuua mtu. Aiseee ushabiki mwingine au chuki zingine hata wanyama hawako hivyo.
 
Safari hii jiwe ajiandae vizuri, akipora kura zetu tutamchomoa madarakani kama LAURENT GBAGBO alivyong'olewa kule Ivory Cost.
 
Serikali ikiacha haki itendeke kama ilivyokuwa uwanja wa ndege Jumatatu Tundu Antipas Lissu atashinda urais October asubuhi na mapema.
Bado tuna vigingi vingi, subiri tuone nini kitatokea baada ya mazishi.

Jr[emoji769]
Huru na haki kwa mujibu wa nani?
Mh mie naona bado hata kwenye kuaga wamewazuia.
Kigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.
Hiko kigingi bado hakijavukwa mkuu, ndugu zako bado wako wanapitia mafaili yao muda wowote wanaliamsha dude hata kabla ya uchaguzi.
Afungwe tuu, kwa kuruka dhamana. Miezi 3, akitoka huko kesi ya msingi iendelee
Wameonyesha dharau watafikaje uwanjani wamechelewa? wamejikuta wao kina nani😕😕😕😕wamekomeshwa kama walikuwa wanataka kiki imebuma wakaitafute Lupaso kama watafanikiwa😕😕😕
YOU ARE RIGHT MAN, tupo msibani vurugu zitatuchafulia CV na kutengeneza historia mbaya kwa vizazi vyetu. soon
serikali haina Haja ya kuendelea kuhangaika na lisu.mateso aliyopata yanatosha.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Serikali ikiacha haki itendeke kama ilivyokuwa uwanja wa ndege Jumatatu Tundu Antipas Lissu atashinda urais October asubuhi na mapema.
Huoni kuwa una mapungufu kichwani? Serikali ikubali kuanguka!! Nasema kuonesha kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki mpaka TL ashinde asiposhinda hakuna atakayekubali kuwa ulikuwa huru na haki. Ndivyo tulivyo hatuna jema
 
Hayo yote yamekwishafanyika, na mwitikio wa "watu wenye akili" kama wewe hauridhishi, tutaendelea na kutoa elimu, na kuzihusisha jumuiya za kimataifa.
Kazi iliyofanyika ni nzuri, na hatuko mbali kulipata hilo.
 
Jpm hashindi uchaguzi wa mwaka huu. Iwe kwa kuiba au kutoiba. Hashindi. Amini nakwambia

nyie wafuasi watiifu wa lissu, msaidieni mwenzenu apitishwe na kamati huu maaana hata kwenye kura ameshindwa kumuangusha nyalandu, huo mdomo wa anashinda uchaguzi utadhan yeye peke yake ndo anataka kua raisi mwache membe amekaa anawaangalia tu,
yaani kura za ukawa ndo znawapa kiburi kwamba mtashinda mmesahau kwamba kila chama kimeweka mgombea wake na tlp wameungana na ccm! bado cuf
 
Serikali ikiacha haki itendeke kama ilivyokuwa uwanja wa ndege Jumatatu Tundu Antipas Lissu atashinda urais October asubuhi na mapema.
THUBUTU,mapokezi yake yenyewe yalijaa vibaka na wavuta bangi ambao sio wapiga kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…