Bado tuna vigingi vingi, subiri tuone nini kitatokea baada ya mazishi.
Jr[emoji769]
Kama alivyowasili pasipo vigingi inawezekana kujipanga vilivyo kukwepa vigingi vyote.
Umoja wetu na mashirikiano na wenzetu hata kusimika cha mpingo ni strategy njema sana.
Timu hii:
Obama - Lissu
Kachero mbobezi - Axelrod.
Wataomba poo! Asubuhi kweupe.
Uelekeo uwe maridhiano ndani kwa ndani kwanza.