Tumewajua waanzilishi wa kelele

Tumewajua waanzilishi wa kelele

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.
Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona
Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Sawa hatujakataa
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Kwani haujui kwamba kuongeaongea kunasaidia mmeng'enyo wa chakula kuwa mzuri?
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Kwanini hatilutaki kuendeleza chuma tulicho nacho Liganga na Mchuchuma ili tuweze kujitegemea?
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
ila mwenyewe naanza kupata wasiwasi haya mambo yanaanzishwa na wao mfano ni Ndugai
kwa sasa anapiga kelele mara oh maji yanakatika, mara umeme sasa amekuja na la mikopo wakati kipindi cha mwendazake sijawahi kuona ananyanyua mdomo
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Hivi huwaga mnalipwa shilingi ngapi?mara muandikapo ujinga kama huu
 
nyie mafisi wa ccm parureni sana na ikibidi muuane kabisa ili mtuachie nchi yetu.
Hapo ndio tunapofeli, CCM ni maandishi tu ila waliopo CCM ni watu ambao pengine waweza kuta babu yako yumo, mkeo yumo, sio ajabu ukakuta hata mwanao anatumbukia kwenye shimo hilo hilo. Kama Tanu ilimg’oa muingereza kwa nguvu ya hoja basi jua na CCM wanapaswa kuondolewa kwa nguvu hiyo hiyo, eye for an eye. Other than that everything is business as usual.
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Ni kweli,tena watulie kimya maza anachapa kazi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wanasema uongo? Maji hayakatiki? Umeme haukatiki?

Kuwazuia watu kusema ni uoga. Ukikosea watasema, unachotakiwa ni kuwajibu kwa weredi kama alivyofanya Mheshimiwa Rais juu ya suala la kukopa.
ila mwenyewe naanza kupata wasiwasi haya mambo yanaanzishwa na wao mfano ni Ndugai
kwa sasa anapiga kelele mara oh maji yanakatika, mara umeme sasa amekuja na la mikopo wakati kipindi cha mwendazake sijawahi kuona ananyanyua mdomo
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE

Kazi gani iendelee?
 
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.

Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona

Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake

Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Kwa hiyo umeme umetulia? . Kuna watu nazani hamkai hii nchi. Ni hivi, watu wameamua wawasubiri tu hiyo 2025 maana nchi imeshawashinda hii.

Kwa hiyo na wewe unafurahia tu kukopa pesa ya madawati?.
 
Kwa hiyo umeme umetulia? . Kuna watu nazani hamkai hii nchi. Ni hivi, watu wameamua wawasubiri tu hiyo 2025 maana nchi imeshawashinda hii.

Kwa hiyo na wewe unafurahia tu kukopa pesa ya madawati?.
Umeme unakatika wapi muda huu kama sio uongo
 
kwenye jamii kuna watu wako kimyaaa unawaona wana busaraaa sasaa siku apate upenyo aongeee hahaaaaa waishia sema bora angekaa kimyaaa
Ndio unajua kuwa kumbe fulani dishi huwa linayumba
 
Back
Top Bottom