Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
Yalisumbua maji kidogo kelele zikaanza ooh maji maji kama kwamba huko nyuma hayakuwahi kusumbua.
Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona
Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake
Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE
Ukasumbua umeme zikaanzishwa threads zaidi ya 50 dhidi ya Makamba kelele kila kona
Saivi umeme umetulia, maji yametulia wameanza ooh tusikope, kukopa hakuna faida. Aaaa jamani Mama Samia Bado hajaanza kukopa kama mwendazake
Mtaropoka sana
Kumbukeni Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan
2025-2030
#KAZI IENDELEE