Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,914
- 3,386
- Thread starter
- #21
Yameanza kukatika lini tangu ww umezaliwa..?Wanasema uongo? Maji hayakatiki? Umeme haukatiki?
Kuwazuia watu kusema ni uoga. Ukikosea watasema, unachotakiwa ni kuwajibu kwa weredi kama alivyofanya Mheshimiwa Rais juu ya suala la kukopa.