Tumeyashinda mabepari, tumeyashinda mabeberu, tumewashinda vibaraka wao Tundu Lissu, Zitto Kabwe na Robert Amstaderm

Tumeyashinda mabepari, tumeyashinda mabeberu, tumewashinda vibaraka wao Tundu Lissu, Zitto Kabwe na Robert Amstaderm

Ka nchi masikini kama haka ndo kanaweza kuwashinda mabeberu?

Kuondoka kwa Lissu tu ni ushahidi mwingine kuwa hatuna ubavu wa kuwazuia wanachotaka.
Kushindwa Kwa mandamano kimewafanya wote waliokuwa Wana shadadia Hilo kuonekana wote ni majike

Matamanio yenu sasa mfanyiwe na hao mabwana zenu, then nyie mjiite mashujaa!!

Kumbe wote ninyi ni mabolingo tu na huyo aliyetumwa na Mabeberu, kila upumbavu mtakaouunda juu ya TANZANIA utashindwa kama anavyoshindwa shetani ndugu yenu anayetamani damu ya Watanzania!!
 
Ka nchi masikini kama haka ndo kanaweza kuwashinda mabeberu?

Kuondoka kwa Lissu tu ni ushahidi mwingine kuwa hatuna ubavu wa kuwazuia wanachotaka.

Poor you Salary Slip kwa kuthibitisha kiwango chako cha kutokujitambua.

Ati Kuondoka kwa Lissu tu ni ushahidi mwingine kuwa hatuna ubavu wa kuwazuia wanachotaka ni akili gani hiyo.

Kwa taarifa yako Serikali imetumia "HEKIMA” ya hali ya juu kuepusha vurugu zilizokuwa zimepangwa kwa ujio wa Lissu na kuteuliwa kugombea Urais, kama ifuatavyo:
√ Aliruhusiwa kuingia nchini kwa usalama japo kauli zake akiwa Ulaya zilikuwa na kila sifa zote za uhaini;
√ Alishiriki mchakato wa Uchaguzi Mkuu kwa Uhuru akatumia Haki yake kikatiba hadi kuteuliwa na chama chake kuwa mgombea Urais, akathibitishwa na Tume. Kama unakumbuka Mzee Kambona alipigwa PO kugombea kwa sababu ya usaliti wa aina ya Lissu;
√ Alipewa ulinzi wakati wote wa kampeni japo kauli zake ziliashiria uvunjifu wa amani; na
√ hata kesi zake, ikiwa ni pamoja na shambulio dhidi yake, ziliahirishwa ili asipate kisingizio cha kuonewa.

Kwa sababu hiyo, njama za Mabeberu kwa kumtumia kibaraka wao zimebuma.

Kama Lissu alivyotumia nafasi yake kama mgombea Urais kupitia CHADEMA kulivyosababisha upinzani kushindwa vibaya, kutoroka nchi ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA. Hajawasaliti WaTz bali kawasaliti viongozi wenzake wa Upinzani na hasa chama cha Mbowe, mlevi wa kupindukia.

Nasubiri kuona na kwa jinsi gani Mbowe atakuwa na ujasiri wa kuongea na WaTz baada ya mgombea wake wa Urais kusepa, wakati alijua bayana alikuwa na Uraia wa Ubelgiji na tikiti ya kurejea huko. Wakaingizwa mkenge kuhamasisha " maandamano yasiyo na kikomo" wakati mgombea wao alikuwa tayari ameweka mazingira ya kuondoka.

NI AIBU TUPU kwa wanasiasa aina ya viongozi wa CHADEMA waliotumia muda wao wa uwakilishi kupinga maendeleo na kushinikiza Serikali iweke "lockdown".
 
Saddam Hussein, Moamar Ghadaffi - hawa wote wakiwa nchini kwao ambapo pia walikuwa na MIGUVU ya kutisha, WOTE waliishia KUJICHIMBIA CHINI SHIMONI wakiwa wamajificha. Mbabe wao, na kwa bahati mbaya sana sana, NGUVU ZA NCHI ZA NORTH ATLANTIC!

Ya Mugabe je?

Sometimes you might have to pursue a different trajectory when you fail to BEAT them. SUICIDE is not onea of those options.
Kama unayajua hayo basi ndio ujue kuwa nyuma ya tundu la wapi sijui kuna watu wana malengo yao tofauti mama kile wanachoaminisha watu.
 
Kushindwa Kwa mandamano kimewafanya wote waliokuwa Wana shadadia Hilo kuonekana wote ni majike

Matamanio yenu sasa mfanyiwe na hao mabwana zenu, then nyie mjiite mashujaa!!

Kumbe wote ninyi ni mabolingo tu na huyo aliyetumwa na Mabeberu, kila upumbavu mtakaouunda juu ya TANZANIA utashindwa kama anavyoshindwa shetani ndugu yenu anayetamani damu ya Watanzania!!
Mkuu nimeipenda hiyo 'Mabolingo' ikiwa na maana ya Mazwazwa a.k.a Makorombwei.
 
Ka nchi masikini kama haka ndo kanaweza kuwashinda mabeberu?

Kuondoka kwa Lissu tu ni ushahidi mwingine kuwa hatuna ubavu wa kuwazuia wanachotaka.
Kila siku mtakuja na kauli mpya ya kujifariji.
 
TUMEYASHINDA MABEPARI,TUMEYASHINDA MABEBERU,TUMEWASHINDA VIBARAKA WAO TINDU LISSU,ZITTO KABWE NA ROBERT AMSTADERM.

Leo 09:30hrs 01/11/2020

Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi wa asilimia 84.5% umerudisha heshima kwa Wapigania Uhuru wote waliopambana kuleta Uhuru mwaka 1961,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Wazalendo wote popote walipo ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Mkwawa Mkwavinjika Mwamuyinga wa Iringa,CCM imerudisha heshima kwa Mtemi Isike wa Tabora,CCM imerudisha heshima kwa Chief Rumanyika wa Karagwe,CCM imerudisha heshima kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Baba wa Taifa la Tanzania,

CCM imerudisha heshima kwa Kinjekitile Ngware,CCM imerudisha heshima kwa Chief Machemba wa Wayao,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Meli wa Moshi,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Sina wa Kibosho,CCM imerudisha heshima kwa Abushiri bin Salim na Bwana Heri wa Pwani,CCM imerudisha heshima kwa Chief King'alung'alu wa Morogoro,CCM imerudisha heshima kwa Chief Kisebengo na Chief Msumi waliomkamata Jasusi Henry Morton Stanley katika safu za Milima ya Uluguru,CCM imerudisha heshima kwa Hassan bin Omary Makunganya wa Kilwa,

Tumewashinda tena mabepari,tumewashinda tena Mabeberu,tumewashinda tena vibaraka wa Wazungu,Tindu Lissu,Zito Kabwela,na Robert Amstaderm,Chifu Mandara wa Kilimanjaro,Chifu Marealle wa Marangu,tumemshinda tena Karl Peter's mkono wa damu,tumemshinda tena juhlke,pfeil na Otto awa ndio wakoloni walioingia "bogus treaties" na machifu mfano wa Tindu Lissu na Zitto Kabwela,awa ndio waliomdanganya na kumpa maagizo mkalimani maarufu wa wakati huo Bwana Ramazan aende kwa Chifu Mangungo wa Msovero akamdanganye awape ardhi akina Karl Peter's, mkalimani huyo maarufu Bwana Ramazan ni mfano mzuri sana wa Mwanasheria maarufu Tindu Lissu,na Chifu Mangungo wa Msovero ni mfano mzuri sana wa kibaraka, Zitto Kabwe,

Hakuna Mtanzania yeyote anaeweza kuchagua mbunge kama Zitto Kabwe au Rais kama Tindu Lissu mzungu wa Ubelgiji mwenye damu mbili ya Kenya na Ubelgiji, ambao wanatumia hela za Ubunge kwenda Ulaya kushauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote,hakuna Mtanzania aneyeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimali za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchi, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea,Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo.

Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona,Hakuna Mtanzania anaeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu,Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwasababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Ndugu zangu Watanzania,awa mabepari,Mabeberu na vibaraka wao ni watu wabaya sana,hivi hamjiulizi kwa nini hatutengenezi hela sisi wenyewe Watanzania ilihali hela ni makaratasi tu yanayotengenezwa na Mabeberu kisha yanapewa thamani halafu tunapewa sisi,kwa nini ile hela mfano 10,000 isipakwe dhahabu yenye thamani ya shilingi 10,000 hawawezi kufanya hivyo maana wanajua sisi Waafrika dhahabu tunazo nyingi na kama tungetengeneza hela kwa kipimo cha kupaka dhahabu kwenye noti basi Waafrika tungekuwa bara tajiri sana kifedha,ila hawataki tufanye hivyo wametujaza ujinga tu kutengenezea makaratasi na kutuambia hii ni shilingi 10,000 wakati ni karatasi tu lisilo na thamani yoyote,Nizungumzie pia Viwanda,je mmesahau Mabeberu na structure adjustment walilazimisha tuviuze Viwanda vyetu kwa watu binafsi? Mmesahau mwanzilishi wa Chadema alivyokuwa kibaraka wa IMF wakamtuma aje afrika atulazimishe mishahara na huduma za afya tupewe kwa mikopo tuje tulipe baadae? Hapo hapo wakapiga vikwazo Watanzania tusiwe na viwanda,tuwategemee wao tu wazalishe bidhaa halafu waje watuuzie,

Viwanda vyetu vilianza kupigwa vita na Mabeberu kuanzia 1978 baada ya vita vya Uganda, kutokana na ukosefu wa vipuli, kwa sababu waingereza walipiga marufuku sisi kuuziwa vipuli kutokana na siasa ya Tanzania kuipigania Uhuru Rhodesia hivi sasa Zimbabwe, kwahiyo IMF Katika kutaka kutupa mkopo yakawekwa masharti magumu huku Tanzania, ikayakataa ndio baadhi ya wanunuzi wa mali ghafi zetu wakatupa mgongo ili hali tusiweze kuvirudisha viwanda katika uzalishaji miaka ya 1981 Tanzania ikajaribu tena kuomba mkopo,wakatupa mkopo wa masharti ya kinyonyaji,Mwalimu Julius Nyerere hakukubali masharti yao ndio viwanda vyetu vikawa havizalishi sana kutokana na kukosekana kwa vipuli na ndio maana walivyolazimisha tena tufungulie bidhaa za nje zije ndio ukawa mwisho wa vile viwanda sasa leo Dar shirt jipya linauzwa elfu 50,000 hadi 100,000 kweli huoni kuwa ni janga hili,kisa tu hatuna Viwanda vyetu vya kutengeneza mashirt,

Sasa sera ya CCM ni Tanzania ya Viwanda,Chama Cha Mapinduzi kinachoshikiria dola hakiwezi kufurahia tukiendelea kununua bidhaa za nje,wakati tunaweza kujenga Viwanda,Bwawa la Umeme la Julius Nyerere,Wilayani Rufiji tayari tunalo,lazima tujenge Viwanda tuzalishe bidhaa na tutengeneze ajira,hatuwezi kuona vijana ambao ndio nguvu ya taifa wawe mitaani bila kazi,CCM imeshinda tena kwa asilimia 84.5% ili kuleta Viwanda, kutengeneza bidhaa toka viwandani kwa ajili ya biashara na kutengeneza ajira toka Viwandani,

Akili za Mabepari na Mabeberu anakulazimisha uuze pamba yako senti hamsini kwa kilo anaenda kutengeneza shati anakuuzia elfu hamsini,ukimwambia mbona unanidhulumu hii Malighafi yangu unataka kuinunua kwa bei ndogo,anakujibu wewe ni mjinga,awa ndio mabepari na Mabeberu ambao Tindu Lissu na Zitto Kabwe wanawataka waje watutawale tena,Sasa CCM itajenga Viwanda bila kuweka rehani Madini yetu,Tundu Lissu alitaka ajenge Viwanda kwa kuibadilisha Madini yetu kuwapa wazungu nao watupe hela,CCM inasema hapana,hela ipo,CCM itajenga Viwanda vyetu,tutashona mashati yetu,ili tuwawezeshe Wakulima wanaozalisha Malighafi,Tumemchagua tena Ndugu John Pombe Magufuli kwa Ujenzi wa Viwanda na kujikomboa kiuchumi,Je Watanzania Milioni 60 kila mtu anashindwa kununua kilo 1 ya korosho kila Mwaka kwa shilingi 20,000 ili kuwabariki na kuwanyanyua Wakulima wetu wa Korosho!? Tuache dhana ya utegemezi wa Mabeberu kwani wao hawana urafiki wala undugu na sisi,kuwa Mzalendo nunua kilichotengenezwa Tanzania ili kuinua Uchumi wa Tanzania,

Nimalizie kwa nukuu ya Sankara iende kwa Tundu Lissu na Zitto Kabwe,"When you sell your comrades, your revolutionary organizations and your people to white suprimist even your buyer won't trust You, always remember that you are selling out the future of your children and the generation to come therefore stop selling your own,oneday you'll need them".Tanzania tulimng'oa mkoloni na tukasaidia bara zima la Afrika kumng'oa mkoloni,na Tanu na Asp ambazo zimekizaa Chama Cha Mapinduzi ina historia ya kusafirisha Mabeberu barani Africa,na hivi leo CCM imeenzi wazazi wake Tanu na Asp kwa kuwashinda tena mabepari,Mabeberu waliotaka kurudishwa tena na Tundu Lissu na Zitto Kabwe.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Uneshinda kivipi?
Mtaani cement sh 35 unajua?
Labda mmeshinda njaa
 
Poor you Salary Slip kwa kuthibitisha kiwango chako cha kutokujitambua.

Ati Kuondoka kwa Lissu tu ni ushahidi mwingine kuwa hatuna ubavu wa kuwazuia wanachotaka ni akili gani hiyo.

Kwa taarifa yako Serikali imetumia "HEKIMA” ya hali ya juu kuepusha vurugu zilizokuwa zimepangwa kwa ujio wa Lissu na kuteuliwa kugombea Urais, kama ifuatavyo:
√ Aliruhusiwa kuingia nchini kwa usalama japo kauli zake akiwa Ulaya zilikuwa na kila sifa zote za uhaini;
√ Alishiriki mchakato wa Uchaguzi Mkuu kwa Uhuru akatumia Haki yake kikatiba hadi kuteuliwa na chama chake kuwa mgombea Urais, akathibitishwa na Tume. Kama unakumbuka Mzee Kambona alipigwa PO kugombea kwa sababu ya usaliti wa aina ya Lissu;
√ Alipewa ulinzi wakati wote wa kampeni japo kauli zake ziliashiria uvunjifu wa amani; na
√ hata kesi zake, ikiwa ni pamoja na shambulio dhidi yake, ziliahirishwa ili asipate kisingizio cha kuonewa.

Kwa sababu hiyo, njama za Mabeberu kwa kumtumia kibaraka wao zimebuma.

Kama Lissu alivyotumia nafasi yake kama mgombea Urais kupitia CHADEMA kulivyosababisha upinzani kushindwa vibaya, kutoroka nchi ni msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA. Hajawasaliti WaTz bali kawasaliti viongozi wenzake wa Upinzani na hasa chama cha Mbowe, mlevi wa kupindukia.

Nasubiri kuona na kwa jinsi gani Mbowe atakuwa na ujasiri wa kuongea na WaTz baada ya mgombea wake wa Urais kusepa, wakati alijua bayana alikuwa na Uraia wa Ubelgiji na tikiti ya kurejea huko. Wakaingizwa mkenge kuhamasisha " maandamano yasiyo na kikomo" wakati mgombea wao alikuwa tayari ameweka mazingira ya kuondoka.

NI AIBU TUPU kwa wanasiasa aina ya viongozi wa CHADEMA waliotumia muda wao wa uwakilishi kupinga maendeleo na kushinikiza Serikali iweke "lockdown".
Ndugu yangu,

Nina maswali machache tu:
1. Hao mabeberu ni kina nani? Au tutawatambuaje kuwa hawa ni mabeberu?
2. Wanawatumia "upinzani" kufanya nini? Ili iweje?
3. Kwa nini serikali iruhusu mwenye uraia wa nchi nyingine agombee, tena urais, nchini kwetu?
 
TUMEYASHINDA MABEPARI,TUMEYASHINDA MABEBERU,TUMEWASHINDA VIBARAKA WAO TINDU LISSU,ZITTO KABWE NA ROBERT AMSTADERM.

Leo 09:30hrs 01/11/2020

Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi wa asilimia 84.5% umerudisha heshima kwa Wapigania Uhuru wote waliopambana kuleta Uhuru mwaka 1961,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Wazalendo wote popote walipo ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Mkwawa Mkwavinjika Mwamuyinga wa Iringa,CCM imerudisha heshima kwa Mtemi Isike wa Tabora,CCM imerudisha heshima kwa Chief Rumanyika wa Karagwe,CCM imerudisha heshima kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Baba wa Taifa la Tanzania,

CCM imerudisha heshima kwa Kinjekitile Ngware,CCM imerudisha heshima kwa Chief Machemba wa Wayao,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Meli wa Moshi,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Sina wa Kibosho,CCM imerudisha heshima kwa Abushiri bin Salim na Bwana Heri wa Pwani,CCM imerudisha heshima kwa Chief King'alung'alu wa Morogoro,CCM imerudisha heshima kwa Chief Kisebengo na Chief Msumi waliomkamata Jasusi Henry Morton Stanley katika safu za Milima ya Uluguru,CCM imerudisha heshima kwa Hassan bin Omary Makunganya wa Kilwa,

Tumewashinda tena mabepari,tumewashinda tena Mabeberu,tumewashinda tena vibaraka wa Wazungu,Tindu Lissu,Zito Kabwela,na Robert Amstaderm,Chifu Mandara wa Kilimanjaro,Chifu Marealle wa Marangu,tumemshinda tena Karl Peter's mkono wa damu,tumemshinda tena juhlke,pfeil na Otto awa ndio wakoloni walioingia "bogus treaties" na machifu mfano wa Tindu Lissu na Zitto Kabwela,awa ndio waliomdanganya na kumpa maagizo mkalimani maarufu wa wakati huo Bwana Ramazan aende kwa Chifu Mangungo wa Msovero akamdanganye awape ardhi akina Karl Peter's, mkalimani huyo maarufu Bwana Ramazan ni mfano mzuri sana wa Mwanasheria maarufu Tindu Lissu,na Chifu Mangungo wa Msovero ni mfano mzuri sana wa kibaraka, Zitto Kabwe,

Hakuna Mtanzania yeyote anaeweza kuchagua mbunge kama Zitto Kabwe au Rais kama Tindu Lissu mzungu wa Ubelgiji mwenye damu mbili ya Kenya na Ubelgiji, ambao wanatumia hela za Ubunge kwenda Ulaya kushauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote,hakuna Mtanzania aneyeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimali za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchi, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea,Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo.

Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona,Hakuna Mtanzania anaeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu,Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwasababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Ndugu zangu Watanzania,awa mabepari,Mabeberu na vibaraka wao ni watu wabaya sana,hivi hamjiulizi kwa nini hatutengenezi hela sisi wenyewe Watanzania ilihali hela ni makaratasi tu yanayotengenezwa na Mabeberu kisha yanapewa thamani halafu tunapewa sisi,kwa nini ile hela mfano 10,000 isipakwe dhahabu yenye thamani ya shilingi 10,000 hawawezi kufanya hivyo maana wanajua sisi Waafrika dhahabu tunazo nyingi na kama tungetengeneza hela kwa kipimo cha kupaka dhahabu kwenye noti basi Waafrika tungekuwa bara tajiri sana kifedha,ila hawataki tufanye hivyo wametujaza ujinga tu kutengenezea makaratasi na kutuambia hii ni shilingi 10,000 wakati ni karatasi tu lisilo na thamani yoyote,Nizungumzie pia Viwanda,je mmesahau Mabeberu na structure adjustment walilazimisha tuviuze Viwanda vyetu kwa watu binafsi? Mmesahau mwanzilishi wa Chadema alivyokuwa kibaraka wa IMF wakamtuma aje afrika atulazimishe mishahara na huduma za afya tupewe kwa mikopo tuje tulipe baadae? Hapo hapo wakapiga vikwazo Watanzania tusiwe na viwanda,tuwategemee wao tu wazalishe bidhaa halafu waje watuuzie,

Viwanda vyetu vilianza kupigwa vita na Mabeberu kuanzia 1978 baada ya vita vya Uganda, kutokana na ukosefu wa vipuli, kwa sababu waingereza walipiga marufuku sisi kuuziwa vipuli kutokana na siasa ya Tanzania kuipigania Uhuru Rhodesia hivi sasa Zimbabwe, kwahiyo IMF Katika kutaka kutupa mkopo yakawekwa masharti magumu huku Tanzania, ikayakataa ndio baadhi ya wanunuzi wa mali ghafi zetu wakatupa mgongo ili hali tusiweze kuvirudisha viwanda katika uzalishaji miaka ya 1981 Tanzania ikajaribu tena kuomba mkopo,wakatupa mkopo wa masharti ya kinyonyaji,Mwalimu Julius Nyerere hakukubali masharti yao ndio viwanda vyetu vikawa havizalishi sana kutokana na kukosekana kwa vipuli na ndio maana walivyolazimisha tena tufungulie bidhaa za nje zije ndio ukawa mwisho wa vile viwanda sasa leo Dar shirt jipya linauzwa elfu 50,000 hadi 100,000 kweli huoni kuwa ni janga hili,kisa tu hatuna Viwanda vyetu vya kutengeneza mashirt,

Sasa sera ya CCM ni Tanzania ya Viwanda,Chama Cha Mapinduzi kinachoshikiria dola hakiwezi kufurahia tukiendelea kununua bidhaa za nje,wakati tunaweza kujenga Viwanda,Bwawa la Umeme la Julius Nyerere,Wilayani Rufiji tayari tunalo,lazima tujenge Viwanda tuzalishe bidhaa na tutengeneze ajira,hatuwezi kuona vijana ambao ndio nguvu ya taifa wawe mitaani bila kazi,CCM imeshinda tena kwa asilimia 84.5% ili kuleta Viwanda, kutengeneza bidhaa toka viwandani kwa ajili ya biashara na kutengeneza ajira toka Viwandani,

Akili za Mabepari na Mabeberu anakulazimisha uuze pamba yako senti hamsini kwa kilo anaenda kutengeneza shati anakuuzia elfu hamsini,ukimwambia mbona unanidhulumu hii Malighafi yangu unataka kuinunua kwa bei ndogo,anakujibu wewe ni mjinga,awa ndio mabepari na Mabeberu ambao Tindu Lissu na Zitto Kabwe wanawataka waje watutawale tena,Sasa CCM itajenga Viwanda bila kuweka rehani Madini yetu,Tundu Lissu alitaka ajenge Viwanda kwa kuibadilisha Madini yetu kuwapa wazungu nao watupe hela,CCM inasema hapana,hela ipo,CCM itajenga Viwanda vyetu,tutashona mashati yetu,ili tuwawezeshe Wakulima wanaozalisha Malighafi,Tumemchagua tena Ndugu John Pombe Magufuli kwa Ujenzi wa Viwanda na kujikomboa kiuchumi,Je Watanzania Milioni 60 kila mtu anashindwa kununua kilo 1 ya korosho kila Mwaka kwa shilingi 20,000 ili kuwabariki na kuwanyanyua Wakulima wetu wa Korosho!? Tuache dhana ya utegemezi wa Mabeberu kwani wao hawana urafiki wala undugu na sisi,kuwa Mzalendo nunua kilichotengenezwa Tanzania ili kuinua Uchumi wa Tanzania,

Nimalizie kwa nukuu ya Sankara iende kwa Tundu Lissu na Zitto Kabwe,"When you sell your comrades, your revolutionary organizations and your people to white suprimist even your buyer won't trust You, always remember that you are selling out the future of your children and the generation to come therefore stop selling your own,oneday you'll need them".Tanzania tulimng'oa mkoloni na tukasaidia bara zima la Afrika kumng'oa mkoloni,na Tanu na Asp ambazo zimekizaa Chama Cha Mapinduzi ina historia ya kusafirisha Mabeberu barani Africa,na hivi leo CCM imeenzi wazazi wake Tanu na Asp kwa kuwashinda tena mabepari,Mabeberu waliotaka kurudishwa tena na Tundu Lissu na Zitto Kabwe.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Kanywe Pepsi kwa mangi

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
"Freedom and development are interdependent. If development is about people, who are both individuals and members of a society, there is consequently an organic link between genuine development and democracy. In the longer run neither is sustainable without the other." ~

Nyerere in Museveni, Y. (2000). What is Africa's problem? (1044092802 798470680 E. Kanyogonya, Ed.). Minneapolis: University of Minnesota.
 
Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi vile, mtoa mada una chaji?
 
TUMEYASHINDA MABEPARI,TUMEYASHINDA MABEBERU,TUMEWASHINDA VIBARAKA WAO TINDU LISSU,ZITTO KABWE NA ROBERT AMSTADERM.

Leo 09:30hrs 01/11/2020

Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi wa asilimia 84.5% umerudisha heshima kwa Wapigania Uhuru wote waliopambana kuleta Uhuru mwaka 1961,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Wazalendo wote popote walipo ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Mkwawa Mkwavinjika Mwamuyinga wa Iringa,CCM imerudisha heshima kwa Mtemi Isike wa Tabora,CCM imerudisha heshima kwa Chief Rumanyika wa Karagwe,CCM imerudisha heshima kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Baba wa Taifa la Tanzania,

CCM imerudisha heshima kwa Kinjekitile Ngware,CCM imerudisha heshima kwa Chief Machemba wa Wayao,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Meli wa Moshi,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Sina wa Kibosho,CCM imerudisha heshima kwa Abushiri bin Salim na Bwana Heri wa Pwani,CCM imerudisha heshima kwa Chief King'alung'alu wa Morogoro,CCM imerudisha heshima kwa Chief Kisebengo na Chief Msumi waliomkamata Jasusi Henry Morton Stanley katika safu za Milima ya Uluguru,CCM imerudisha heshima kwa Hassan bin Omary Makunganya wa Kilwa,

Tumewashinda tena mabepari,tumewashinda tena Mabeberu,tumewashinda tena vibaraka wa Wazungu,Tindu Lissu,Zito Kabwela,na Robert Amstaderm,Chifu Mandara wa Kilimanjaro,Chifu Marealle wa Marangu,tumemshinda tena Karl Peter's mkono wa damu,tumemshinda tena juhlke,pfeil na Otto awa ndio wakoloni walioingia "bogus treaties" na machifu mfano wa Tindu Lissu na Zitto Kabwela,awa ndio waliomdanganya na kumpa maagizo mkalimani maarufu wa wakati huo Bwana Ramazan aende kwa Chifu Mangungo wa Msovero akamdanganye awape ardhi akina Karl Peter's, mkalimani huyo maarufu Bwana Ramazan ni mfano mzuri sana wa Mwanasheria maarufu Tindu Lissu,na Chifu Mangungo wa Msovero ni mfano mzuri sana wa kibaraka, Zitto Kabwe,

Hakuna Mtanzania yeyote anaeweza kuchagua mbunge kama Zitto Kabwe au Rais kama Tindu Lissu mzungu wa Ubelgiji mwenye damu mbili ya Kenya na Ubelgiji, ambao wanatumia hela za Ubunge kwenda Ulaya kushauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote,hakuna Mtanzania aneyeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimali za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchi, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea,Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo.

Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona,Hakuna Mtanzania anaeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu,Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwasababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Ndugu zangu Watanzania,awa mabepari,Mabeberu na vibaraka wao ni watu wabaya sana,hivi hamjiulizi kwa nini hatutengenezi hela sisi wenyewe Watanzania ilihali hela ni makaratasi tu yanayotengenezwa na Mabeberu kisha yanapewa thamani halafu tunapewa sisi,kwa nini ile hela mfano 10,000 isipakwe dhahabu yenye thamani ya shilingi 10,000 hawawezi kufanya hivyo maana wanajua sisi Waafrika dhahabu tunazo nyingi na kama tungetengeneza hela kwa kipimo cha kupaka dhahabu kwenye noti basi Waafrika tungekuwa bara tajiri sana kifedha,ila hawataki tufanye hivyo wametujaza ujinga tu kutengenezea makaratasi na kutuambia hii ni shilingi 10,000 wakati ni karatasi tu lisilo na thamani yoyote,Nizungumzie pia Viwanda,je mmesahau Mabeberu na structure adjustment walilazimisha tuviuze Viwanda vyetu kwa watu binafsi? Mmesahau mwanzilishi wa Chadema alivyokuwa kibaraka wa IMF wakamtuma aje afrika atulazimishe mishahara na huduma za afya tupewe kwa mikopo tuje tulipe baadae? Hapo hapo wakapiga vikwazo Watanzania tusiwe na viwanda,tuwategemee wao tu wazalishe bidhaa halafu waje watuuzie,

Viwanda vyetu vilianza kupigwa vita na Mabeberu kuanzia 1978 baada ya vita vya Uganda, kutokana na ukosefu wa vipuli, kwa sababu waingereza walipiga marufuku sisi kuuziwa vipuli kutokana na siasa ya Tanzania kuipigania Uhuru Rhodesia hivi sasa Zimbabwe, kwahiyo IMF Katika kutaka kutupa mkopo yakawekwa masharti magumu huku Tanzania, ikayakataa ndio baadhi ya wanunuzi wa mali ghafi zetu wakatupa mgongo ili hali tusiweze kuvirudisha viwanda katika uzalishaji miaka ya 1981 Tanzania ikajaribu tena kuomba mkopo,wakatupa mkopo wa masharti ya kinyonyaji,Mwalimu Julius Nyerere hakukubali masharti yao ndio viwanda vyetu vikawa havizalishi sana kutokana na kukosekana kwa vipuli na ndio maana walivyolazimisha tena tufungulie bidhaa za nje zije ndio ukawa mwisho wa vile viwanda sasa leo Dar shirt jipya linauzwa elfu 50,000 hadi 100,000 kweli huoni kuwa ni janga hili,kisa tu hatuna Viwanda vyetu vya kutengeneza mashirt,

Sasa sera ya CCM ni Tanzania ya Viwanda,Chama Cha Mapinduzi kinachoshikiria dola hakiwezi kufurahia tukiendelea kununua bidhaa za nje,wakati tunaweza kujenga Viwanda,Bwawa la Umeme la Julius Nyerere,Wilayani Rufiji tayari tunalo,lazima tujenge Viwanda tuzalishe bidhaa na tutengeneze ajira,hatuwezi kuona vijana ambao ndio nguvu ya taifa wawe mitaani bila kazi,CCM imeshinda tena kwa asilimia 84.5% ili kuleta Viwanda, kutengeneza bidhaa toka viwandani kwa ajili ya biashara na kutengeneza ajira toka Viwandani,

Akili za Mabepari na Mabeberu anakulazimisha uuze pamba yako senti hamsini kwa kilo anaenda kutengeneza shati anakuuzia elfu hamsini,ukimwambia mbona unanidhulumu hii Malighafi yangu unataka kuinunua kwa bei ndogo,anakujibu wewe ni mjinga,awa ndio mabepari na Mabeberu ambao Tindu Lissu na Zitto Kabwe wanawataka waje watutawale tena,Sasa CCM itajenga Viwanda bila kuweka rehani Madini yetu,Tundu Lissu alitaka ajenge Viwanda kwa kuibadilisha Madini yetu kuwapa wazungu nao watupe hela,CCM inasema hapana,hela ipo,CCM itajenga Viwanda vyetu,tutashona mashati yetu,ili tuwawezeshe Wakulima wanaozalisha Malighafi,Tumemchagua tena Ndugu John Pombe Magufuli kwa Ujenzi wa Viwanda na kujikomboa kiuchumi,Je Watanzania Milioni 60 kila mtu anashindwa kununua kilo 1 ya korosho kila Mwaka kwa shilingi 20,000 ili kuwabariki na kuwanyanyua Wakulima wetu wa Korosho!? Tuache dhana ya utegemezi wa Mabeberu kwani wao hawana urafiki wala undugu na sisi,kuwa Mzalendo nunua kilichotengenezwa Tanzania ili kuinua Uchumi wa Tanzania,

Nimalizie kwa nukuu ya Sankara iende kwa Tundu Lissu na Zitto Kabwe,"When you sell your comrades, your revolutionary organizations and your people to white suprimist even your buyer won't trust You, always remember that you are selling out the future of your children and the generation to come therefore stop selling your own,oneday you'll need them".Tanzania tulimng'oa mkoloni na tukasaidia bara zima la Afrika kumng'oa mkoloni,na Tanu na Asp ambazo zimekizaa Chama Cha Mapinduzi ina historia ya kusafirisha Mabeberu barani Africa,na hivi leo CCM imeenzi wazazi wake Tanu na Asp kwa kuwashinda tena mabepari,Mabeberu waliotaka kurudishwa tena na Tundu Lissu na Zitto Kabwe.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Nimecheka sana hizo degree zako. Kama ccm mpo hivi, kazi tunayo. Bosi degree ya kufoji, wewe hivyo hivyo
 
Alishindwa Nyerere tena zama za Giza ndo mtaweza nyie

..Nope!

..Nyerere / Mzanaki hakushindwa.

..Mzanaki aliwahi kutimua balozi wa marekani hapa Tz.

..Mzanaki pia aliwahi kuvunja mahusiano ya kibalozi na Ujerumani Magharibi.

..Mzanaki alikuwa hataki kabisa kuburuzwa-buruzwa na mabeberu.

..Nakuhakikishia Mzanaki asingeruhusu mabalozi wamtoe nchini mtu anayetakiwa kujibu kesi mahakamani.

cc Nguruvi3
 
..Nope!

..Nyerere / Mzanaki hakushindwa.

..Mzanaki aliwahi kutimua balozi wa marekani hapa Tz.

..Mzanaki pia aliwahi kuvunja mahusiano ya kibalozi na Ujerumani Magharibi.

..Mzanaki alikuwa hataki kabisa kuburuzwa-buruzwa na mabeberu.

..Nakuhakikishia Mzanaki asingeruhusu mabalozi wamtoe nchini mtu anayetakiwa kujibu kesi mahakamani.

cc Nguruvi3

Mbona njaa ilipompiga aliomba chakula ubeberuni why hakuomba china,
Why alipotaka kupinduliwa akuomba msaada China bali ubeberuni ndio walimsaidia.
Why aliishi kwa misaada na si kujitegemea.

Why aliuwa uchumi mzuri alioachiwa na wakoloni? Badala ya kuukuza zaidi.Aliingia dola moja ilikuwa ni sawa na shilling 6 na haijawahi panda imeshuka zaidi
 
..Nope!

..Nyerere / Mzanaki hakushindwa.

..Mzanaki aliwahi kutimua balozi wa marekani hapa Tz.

..Mzanaki pia aliwahi kuvunja mahusiano ya kibalozi na Ujerumani Magharibi.

..Mzanaki alikuwa hataki kabisa kuburuzwa-buruzwa na mabeberu.

..Nakuhakikishia Mzanaki asingeruhusu mabalozi wamtoe nchini mtu anayetakiwa kujibu kesi mahakamani.

cc Nguruvi3
Usituletee ukabila hapa.
Ukisema baba wa taifa inatosha sana.
 
Duh ukweli mtupu
TUMEYASHINDA MABEPARI,TUMEYASHINDA MABEBERU,TUMEWASHINDA VIBARAKA WAO TINDU LISSU,ZITTO KABWE NA ROBERT AMSTADERM.

Leo 09:30hrs 01/11/2020

Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi wa asilimia 84.5% umerudisha heshima kwa Wapigania Uhuru wote waliopambana kuleta Uhuru mwaka 1961,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Wazalendo wote popote walipo ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania,Ushindi wa CCM umerudisha heshima kwa Mkwawa Mkwavinjika Mwamuyinga wa Iringa,CCM imerudisha heshima kwa Mtemi Isike wa Tabora,CCM imerudisha heshima kwa Chief Rumanyika wa Karagwe,CCM imerudisha heshima kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Baba wa Taifa la Tanzania,

CCM imerudisha heshima kwa Kinjekitile Ngware,CCM imerudisha heshima kwa Chief Machemba wa Wayao,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Meli wa Moshi,CCM imerudisha heshima kwa Chief Mangi Sina wa Kibosho,CCM imerudisha heshima kwa Abushiri bin Salim na Bwana Heri wa Pwani,CCM imerudisha heshima kwa Chief King'alung'alu wa Morogoro,CCM imerudisha heshima kwa Chief Kisebengo na Chief Msumi waliomkamata Jasusi Henry Morton Stanley katika safu za Milima ya Uluguru,CCM imerudisha heshima kwa Hassan bin Omary Makunganya wa Kilwa,

Tumewashinda tena mabepari,tumewashinda tena Mabeberu,tumewashinda tena vibaraka wa Wazungu,Tindu Lissu,Zito Kabwela,na Robert Amstaderm,Chifu Mandara wa Kilimanjaro,Chifu Marealle wa Marangu,tumemshinda tena Karl Peter's mkono wa damu,tumemshinda tena juhlke,pfeil na Otto awa ndio wakoloni walioingia "bogus treaties" na machifu mfano wa Tindu Lissu na Zitto Kabwela,awa ndio waliomdanganya na kumpa maagizo mkalimani maarufu wa wakati huo Bwana Ramazan aende kwa Chifu Mangungo wa Msovero akamdanganye awape ardhi akina Karl Peter's, mkalimani huyo maarufu Bwana Ramazan ni mfano mzuri sana wa Mwanasheria maarufu Tindu Lissu,na Chifu Mangungo wa Msovero ni mfano mzuri sana wa kibaraka, Zitto Kabwe,

Hakuna Mtanzania yeyote anaeweza kuchagua mbunge kama Zitto Kabwe au Rais kama Tindu Lissu mzungu wa Ubelgiji mwenye damu mbili ya Kenya na Ubelgiji, ambao wanatumia hela za Ubunge kwenda Ulaya kushauri mashirika ya fedha na wadau wa maendeleo wasiipe fedha Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu, hili liwe funzo watu wabishane kwa hoja lakini si kuchoma nyumba tunayoishi sote,hakuna Mtanzania aneyeweza kuchagua mbunge ambaye hadi leo anaamini Corona ipo na akili zake ni kufanya lockdown, nasema Watanzania hawako tayari kwa hilo kabisa.

Hakuna Mtanzania anayeweza kukipigia kura chama kilichojipambanua wazi kwamba kitaweka rehani rasilimali za nchi yetu kama mafuta, madini, gesi na mbuga ili kuweza kukopa fedha nje kwa ajili ya kuleta maendeleo hapa nchi, watu wanaogopa kuweka rehani nyumba zao sembuse mali za nchi, hii ni sera mbovu sana kuwahi kutokea,Hakuna Mtanzania ambaye anaweza kukubali kukipigia chama kinachopanga kubinafsisha miradi ya kimkakati kama Bwawa la Umeme, SGR inayoendelea kujengwa na kuwapa watu binafsi ambao ni wao wenyewe, tumeshatoka huko na hatutaki kurudi tena kwenye ujinga huo.

Wananchi wanapenda viongozi wenye hofu ya Mungu sio wale viongozi wanaobeza kumtegemea Mungu kama Tundu Lissu alivyokuwa anajidai kutumia science ya kuiga kuthibiti Corona huku akikejeri wito wa maombi uliotolewa na Mheshimiwa Rais Magufuli, akidai Mungu yuko busy hawezi dili na upuuzi huo. Bado aliacha kuvaa barakoa pamoja na matusi yake yote na kukusanya watu bila kujali taratibu za kujikinga na Corona,Hakuna Mtanzania anaeweza kumchagua mbunge ambae anapinga na hana wazo la kuwajengea Wananchi Hospitali, Bandari, Meli, Barabara, Umeme, Maji, Kilimo, Shule bure, na mengine kama hayo, hakuna kabisa. Hivi wao wanaviita ni vitu na si maendeleo ya watu kwahiyo kwao havina maana wakati wananchi wanavitaka.

Kulikuwa kuna tofauti kubwa sana ya kuhubiri ilani, mgombea wa CCM alikuwa akifika sehemu anakuwa anayajua matatizo halisi ya eneo husika, kama ni maji, hospitali, uhitaji wa mji, mambo ya ardhi n.k na amekuwa akiyaongelea hayo matatizo halisi wakati Tundu Lissu ataanza kuongelea uhuru wakati wananchi wa eneo husika wanahitaji Hospital ama shule ama maji, ni ngumu kuchagulika ni ngumu sana. Tunawachagua wanaoyajua matatizo yetu halisi kabisa si matatizo yao kuyafanya ni ya kwetu,Mimi kutomchagua Lissu, Mbowe, Sugu, Msigwa ama Lema hakunisumbui chochote kwasababu kwanza hawana mahusiano mazuri na serikali, hawawezi kuongea na Rais kwa maana hiyo hawawezi lobby matatizo ya jimbo letu yatatuliwe, kwahiyo ntajisikia vizuri nikiwa na mbunge ambaye ana access na waziri husika na hata Rais inapobidi si mtu ambaye anapayuka na kubwabwaja bila mpango wowote, so napenda nipate mbunge mwenye mahusiano mazuri na viongozi wa serikali ili matatizo yetu yatatuliwe haraka.

Ndugu zangu Watanzania,awa mabepari,Mabeberu na vibaraka wao ni watu wabaya sana,hivi hamjiulizi kwa nini hatutengenezi hela sisi wenyewe Watanzania ilihali hela ni makaratasi tu yanayotengenezwa na Mabeberu kisha yanapewa thamani halafu tunapewa sisi,kwa nini ile hela mfano 10,000 isipakwe dhahabu yenye thamani ya shilingi 10,000 hawawezi kufanya hivyo maana wanajua sisi Waafrika dhahabu tunazo nyingi na kama tungetengeneza hela kwa kipimo cha kupaka dhahabu kwenye noti basi Waafrika tungekuwa bara tajiri sana kifedha,ila hawataki tufanye hivyo wametujaza ujinga tu kutengenezea makaratasi na kutuambia hii ni shilingi 10,000 wakati ni karatasi tu lisilo na thamani yoyote,Nizungumzie pia Viwanda,je mmesahau Mabeberu na structure adjustment walilazimisha tuviuze Viwanda vyetu kwa watu binafsi? Mmesahau mwanzilishi wa Chadema alivyokuwa kibaraka wa IMF wakamtuma aje afrika atulazimishe mishahara na huduma za afya tupewe kwa mikopo tuje tulipe baadae? Hapo hapo wakapiga vikwazo Watanzania tusiwe na viwanda,tuwategemee wao tu wazalishe bidhaa halafu waje watuuzie,

Viwanda vyetu vilianza kupigwa vita na Mabeberu kuanzia 1978 baada ya vita vya Uganda, kutokana na ukosefu wa vipuli, kwa sababu waingereza walipiga marufuku sisi kuuziwa vipuli kutokana na siasa ya Tanzania kuipigania Uhuru Rhodesia hivi sasa Zimbabwe, kwahiyo IMF Katika kutaka kutupa mkopo yakawekwa masharti magumu huku Tanzania, ikayakataa ndio baadhi ya wanunuzi wa mali ghafi zetu wakatupa mgongo ili hali tusiweze kuvirudisha viwanda katika uzalishaji miaka ya 1981 Tanzania ikajaribu tena kuomba mkopo,wakatupa mkopo wa masharti ya kinyonyaji,Mwalimu Julius Nyerere hakukubali masharti yao ndio viwanda vyetu vikawa havizalishi sana kutokana na kukosekana kwa vipuli na ndio maana walivyolazimisha tena tufungulie bidhaa za nje zije ndio ukawa mwisho wa vile viwanda sasa leo Dar shirt jipya linauzwa elfu 50,000 hadi 100,000 kweli huoni kuwa ni janga hili,kisa tu hatuna Viwanda vyetu vya kutengeneza mashirt,

Sasa sera ya CCM ni Tanzania ya Viwanda,Chama Cha Mapinduzi kinachoshikiria dola hakiwezi kufurahia tukiendelea kununua bidhaa za nje,wakati tunaweza kujenga Viwanda,Bwawa la Umeme la Julius Nyerere,Wilayani Rufiji tayari tunalo,lazima tujenge Viwanda tuzalishe bidhaa na tutengeneze ajira,hatuwezi kuona vijana ambao ndio nguvu ya taifa wawe mitaani bila kazi,CCM imeshinda tena kwa asilimia 84.5% ili kuleta Viwanda, kutengeneza bidhaa toka viwandani kwa ajili ya biashara na kutengeneza ajira toka Viwandani,

Akili za Mabepari na Mabeberu anakulazimisha uuze pamba yako senti hamsini kwa kilo anaenda kutengeneza shati anakuuzia elfu hamsini,ukimwambia mbona unanidhulumu hii Malighafi yangu unataka kuinunua kwa bei ndogo,anakujibu wewe ni mjinga,awa ndio mabepari na Mabeberu ambao Tindu Lissu na Zitto Kabwe wanawataka waje watutawale tena,Sasa CCM itajenga Viwanda bila kuweka rehani Madini yetu,Tundu Lissu alitaka ajenge Viwanda kwa kuibadilisha Madini yetu kuwapa wazungu nao watupe hela,CCM inasema hapana,hela ipo,CCM itajenga Viwanda vyetu,tutashona mashati yetu,ili tuwawezeshe Wakulima wanaozalisha Malighafi,Tumemchagua tena Ndugu John Pombe Magufuli kwa Ujenzi wa Viwanda na kujikomboa kiuchumi,Je Watanzania Milioni 60 kila mtu anashindwa kununua kilo 1 ya korosho kila Mwaka kwa shilingi 20,000 ili kuwabariki na kuwanyanyua Wakulima wetu wa Korosho!? Tuache dhana ya utegemezi wa Mabeberu kwani wao hawana urafiki wala undugu na sisi,kuwa Mzalendo nunua kilichotengenezwa Tanzania ili kuinua Uchumi wa Tanzania,

Nimalizie kwa nukuu ya Sankara iende kwa Tundu Lissu na Zitto Kabwe,"When you sell your comrades, your revolutionary organizations and your people to white suprimist even your buyer won't trust You, always remember that you are selling out the future of your children and the generation to come therefore stop selling your own,oneday you'll need them".Tanzania tulimng'oa mkoloni na tukasaidia bara zima la Afrika kumng'oa mkoloni,na Tanu na Asp ambazo zimekizaa Chama Cha Mapinduzi ina historia ya kusafirisha Mabeberu barani Africa,na hivi leo CCM imeenzi wazazi wake Tanu na Asp kwa kuwashinda tena mabepari,Mabeberu waliotaka kurudishwa tena na Tundu Lissu na Zitto Kabwe.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Back
Top Bottom