kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Habari za usiku ndugu wajukwaa,
Kwanza niweke wazi, mimi ni kunguni na chawa mkubwa wa Kasimu Majaliwa Kasimu. Honestly nimekumbuka ziara zake huko Mikoani.
Sehemu ambayo inanikosha ni pale tu kwenye kuzungumza na Watumishi wa Halmashauri na Mkoa
Majumuisho
Nafahamu Mh. Kasimu Majaliwa yupo humu, nakuomba na sisi watu wa Kaskazini hasa Arusha uzunguke wilaya zote hasa Arumeru, upitie Miradi ya Maji inayoendeshwa kwa nguvu za wananchi, uwastue Idara za Maji na Idara zingine.
Mwisho ufanye kikao cha majumuisho ya ziara yako kama ulivyofanya Mkoa wa Rukwa.
Nakuomba Mhe. najua wewe ni msikivu.
Kwanza niweke wazi, mimi ni kunguni na chawa mkubwa wa Kasimu Majaliwa Kasimu. Honestly nimekumbuka ziara zake huko Mikoani.
Sehemu ambayo inanikosha ni pale tu kwenye kuzungumza na Watumishi wa Halmashauri na Mkoa
Majumuisho
Nafahamu Mh. Kasimu Majaliwa yupo humu, nakuomba na sisi watu wa Kaskazini hasa Arusha uzunguke wilaya zote hasa Arumeru, upitie Miradi ya Maji inayoendeshwa kwa nguvu za wananchi, uwastue Idara za Maji na Idara zingine.
Mwisho ufanye kikao cha majumuisho ya ziara yako kama ulivyofanya Mkoa wa Rukwa.
Nakuomba Mhe. najua wewe ni msikivu.