Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nasubiri upakae na nya usoni maana!! Mbona hukurithi vya msingi unarithi matege tu.Hahaha mbona kama naogopa? Ila kama hadi lusajo kaikubali, aisee ntaijaribu. Shoga angu tutang'aaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri upakae na nya usoni maana!! Mbona hukurithi vya msingi unarithi matege tu.Hahaha mbona kama naogopa? Ila kama hadi lusajo kaikubali, aisee ntaijaribu. Shoga angu tutang'aaaa
Nyanya mbona napaka daily teh. Bi mkubwa haya matege nashukuru tuNasubiri upakae na nya usoni maana!! Mbona hukurithi vya msingi unarithi matege tu.
Nani kaongelea nyanya? We mtoto we!Nyanya mbona napaka daily teh. Bi mkubwa haya matege nashukuru tu
Hahaha kumbe nanhiii mweeNani kaongelea nyanya? We mtoto we!
Nani kaongelea nyanya? We mtoto we!
Huu urembo utatutoa roho jamani!!Khe!, uso nao umekuwa kama mboga siku hizi, unawekwa nyanya, ukwaju, chumvi..
Wewe lazima utakuwa ni Mkongoman,vipi una kibali cha kuishi Tanzania.Kwa taarifa yako tukimaliza zoezi la kuhakiki vyeti vya taaluma tunahamika kuhakiki uraia.
Mkuu binafsi napenda mwanaume wangu awe soft na mtanashati...asiwe wale wanaume 'beautiful' but pamoja na sura ya kiume but yenye muonekano mzuri. Napenda scrub kwa mwanaume pia.Wewe ndio wale wanaume wana vipele kwenye ndevu kama nungunungu halafu umekomaa hutaki tiba. Na kwapa jeusi utafikiri umeweka bandeji hahahaha!!!
Staarabika bwana Ngongo misimamo mingine ni ushamba tu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Scrub ya chumvi? Chumvi hii hii? Kwa kweli watu wanapotea. Scrub ya chumvi labda wafanye vibaka!
Unapofanya scrub na chumvi unaifanya ngozi kuwa tolerance na kipigo. Ni ngumu kuvimba au kuchanika usoni kama utafanya scrub kwa chumvi!
Sasa inatumika Kama urembo na utanashati?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwamba vipele kama nungunungu?!Wewe ndio wale wanaume wana vipele kwenye ndevu kama nungunungu halafu umekomaa hutaki tiba. Na kwapa jeusi utafikiri umeweka bandeji hahahaha!!!
Staarabika bwana Ngongo misimamo mingine ni ushamba tu
Mkuu ndutu kilugha chetu sisi ni papuchiTuliambiwa tukichezea chumvi kwenye ngozi tutapata ndutu.
😂Mkuu ndutu kilugha chetu sisi ni papuchi
Asali naiamini sanaJe asali je wanajamvi inasaidiaje ngozi kwa wale wanaojipata hasa usoni?
Inafaa kwa aina zote za ngozi?Scrab nzuri ya asili chukua manjano, liwa, asali na limao changanya kisha nawa uso wako na maji baridi baada ya hapo paka mchanganyiko wako usoni kaa nao kwa muda kiasi kisha kuwa kama unasugua uso taratiiibu baada ya hapo osha uso wako utakuwa poa sana
NdioInafaa kwa aina zote za ngozi?