KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
HahahahaHapa hapa bongo au unamaanisha siku tukienda huko dunia ya kwanza?
Hapa hapa TeezeeHapa hapa bongo au unamaanisha siku tukienda huko dunia ya kwanza?
Hakikisha unampendezesha hadi ma X wake wajinyonge wote kwa kukosa rahaNice
Inatakiwa iwe hivyoNadhifu sana.
Waja leoNgoja waje wazee wa pamba nyepesi.
NDio mapigo yako nazaidiHapo sijaona sandals, japo croocs
Imetulia sananimependa
Ni kweliImetulia sana
Unayajua machimbo ya pamba kali kwa bei rahisi?Ni kweli
Hapana wala siyafahamu,. Labda unielekezeUnayajua machimbo ya pamba kali kwa bei rahisi?