Wewe utakuwa una hisa Durex siyo bure, kwanini umezionyesha hizo tu kama mfano?Tumieni kinga acheni kuja kuleta masikitiko humu kuhusu mimba, wakati wa mzagamuano hukujua nini kinaweza tokea kwani?
View attachment 2871252
NB: DEMU UKIPEWA MIMBA NA UKAKIMBIWA KABLA YA NDOA USILALAMIKE.
Ongeza font size angalau iwe 45NAKAZIA
Mbona kinaonekana kichafu au ni macho yangu๐๐kifuniko cha tamtam
Kuna vingine ukivitoa vinajisokota kama raba bendi , vile sio poa mkuu[emoji39][emoji39]kifuniko cha tamtam
itakuwa tamtam ya MwananyamalaMbona kinaonekana kichafu au ni macho yangu๐๐
hahaha em kapichaKuna vingine ukivitoa vinajisokota kama raba bendi , vile sio poa mkuu[emoji39][emoji39]
Exactly bila shakaitakuwa tamtam ya Mwananyamala
Unataka unyetuke, naijua hiyo๐๐๐๐hahaha em kapicha
Rangi yake mkuu.Mbona kinaonekana kichafu au ni macho yangu[emoji2][emoji2]
Ky jelly mkuuKausha damu anapigwa na ndomu?