WWe
Wewe utakuwa una hisa Durex siyo bure, kwanini umezionyesha hizo tu kama mfano?Tumieni kinga acheni kuja kuleta masikitiko humu kuhusu mimba, wakati wa mzagamuano hukujua nini kinaweza tokea kwani?
View attachment 2871252
NB: DEMU UKIPEWA MIMBA NA UKAKIMBIWA KABLA YA NDOA USILALAMIKE.