Kuna kipindi unaweza kudhani mwanamke ana kuactia lakini kumbe ndo ukweli wenyewe mwenzio kafika aendako.Na kitu kingine mwanamke aliyefundishwa kuishi na mume kukuita majina mazuri mazuri likiwemo jina la kifalme kabisa 'mume wangu' ndio huba zenyewe zinapoanzia.Je ni nini faida yake?
Mwanamke yeyote dunia hii huwa hajiwezi mbele ya mwanaume mwenyekujiamini na mkali kiasi najua yupo atayesema sio wote lakini mimi narudia tena ni wanawake wote.Hivyo basi mafunzo ya mwanamke ya kumuita majina mazuri mumewe faida yake kubwa ni kumuongezea
mume uwezo wa kujiamini awapo nae nahivyo mwanamke nae kumfurahia sana mumewe na kumuona ndiyo kila kitu kwake kadri nature ya kujiamini ya yule mume itavyokuwa imepanda.Sijui kama naeleweka vizuri.