Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia mwanzo mkuu, yaani nashindwa kabisa Ku concentrate.Umeshindwa sehemu gan boss
Umetumia Kiswahili cha ndani mnoo,nimekupa maua yako.Uyanuse ukiwa hai.Je akiweka kindege mkuu huyo bwana mwivi?
Tunaipatia kwa wapi hiiExpert upo sahihi kabisa,unajua kwenye simu kuna mambo mengi ila huwa hatuyafuatilii,kwa mfano kuna maintanance mode hii itakusaidia simu ikiwa kwa fundi iwe salama,kwa maana fundi hawezi kupekua data zako muhimu,baadhi ya data hazionekani ukiweka maintanance mode on,mpaka uweke off ndio simu inarudi katika hali yake ya kawaida
Kifupi kuna tuvitu vitu vingi ila hatuvifuatilii
Nenda kwenye settings,itategemeana na aina ya simu,mfano samsung utaikuta kwenye Device careTunaipatia kwa wapi hii