King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Ni ukweli ulio wazi kwamba maisha yana kupanda na kushuka, wakati mwingine inatokea mambo yanakuwa magumu kama vile biashara kuyumba nk,
Kwa mfanya biashara ukichukua mkopo ili ku boost biashara yako pale ukwamapo siyo mbaya,
Niwape kisa kimoja
Kuna rafiki yangu alichukua mkopo kama ML 15 akanunua gari aina ya Ist kwa ajili ya kutembelea, aliuziwa na mtu kwa Tsh M 8, kwa kifupi gari yenyewe kumbe alishikishwa, ilikuwa kimeo, baada ya miezi miwili akauza kwa hasara Ml 4.5.
Jamaa amebaki kulalamika kazini anapokea nusu mshahara, ana watoto wanasoma, mambo hayaendi.
Sijaanzisha huu uzi ili kukupangia matumizi ya pesa zako, , ila nakushauri tumia kwa busara mikopo inaumiza mno.
Nb .Majuto ni mjukuu.
Kwa mfanya biashara ukichukua mkopo ili ku boost biashara yako pale ukwamapo siyo mbaya,
Niwape kisa kimoja
Kuna rafiki yangu alichukua mkopo kama ML 15 akanunua gari aina ya Ist kwa ajili ya kutembelea, aliuziwa na mtu kwa Tsh M 8, kwa kifupi gari yenyewe kumbe alishikishwa, ilikuwa kimeo, baada ya miezi miwili akauza kwa hasara Ml 4.5.
Jamaa amebaki kulalamika kazini anapokea nusu mshahara, ana watoto wanasoma, mambo hayaendi.
Sijaanzisha huu uzi ili kukupangia matumizi ya pesa zako, , ila nakushauri tumia kwa busara mikopo inaumiza mno.
Nb .Majuto ni mjukuu.