Unaweza kuona kama umechanganyikiwa au huna akili lakini ndo hivyo🤣😂 kama Mimi naweza kufunga madirisha na mlango nikakaa ndani kimyaa, Sasa huo sio afya ya akili kweli😆
Sina ata mia mbovu mfukoni walaah.
Niwatakie Jumapili njema kwakweli mniache kwanza.
Sina ata mia mbovu mfukoni walaah.
Niwatakie Jumapili njema kwakweli mniache kwanza.