Trouton
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,203
- 1,381
Jitahidi uwe na mfumo mzuri wa kutumia pesa unayoipata, mfano unaweza kufanya hivi;
20% ya pesa yako iweke kwa ajiri ya dharula yaani akiba. Hii hata kama haukupata dharula endelea kuiacha kama akiba, itakusaidia mbeleni huko.
50% ya pesa yako iwe ya matumizi ya lazima, mf; usafiri, chakula, kodi, afya, etc.
30% ya pesa yako iwe ya matumizi yasiyo ya lazima, mf; kuchangia harusi, vinywaji, mambo ya fashion kama nguo, yaani hata usipofanya hayo matumizi hauwezi kupata madhara.
Hii itakusaidia, ingawa wengi wetu tukipata pesa ndo tunajua hapo hapo tuitumiaje.
20% ya pesa yako iweke kwa ajiri ya dharula yaani akiba. Hii hata kama haukupata dharula endelea kuiacha kama akiba, itakusaidia mbeleni huko.
50% ya pesa yako iwe ya matumizi ya lazima, mf; usafiri, chakula, kodi, afya, etc.
30% ya pesa yako iwe ya matumizi yasiyo ya lazima, mf; kuchangia harusi, vinywaji, mambo ya fashion kama nguo, yaani hata usipofanya hayo matumizi hauwezi kupata madhara.
Hii itakusaidia, ingawa wengi wetu tukipata pesa ndo tunajua hapo hapo tuitumiaje.