Ndio mtafutie
Mshangazi bila shaka sasa hivi umeshajipata vyema.Mie pia ilikuaga hivo, nlikua nahisi kuuumwa panapouma sipajui, stress, natia huruma, chozi lipo karibu kuna muda nalia hata bila sababu.....
Lakini si tulikubaliana JF wote tunaishi masaki na ndinga zetu range newmodel na vieiteeUnaweza kuona kama umechanganyikiwa au huna akili lakini ndo hivyo🤣😂 kama Mimi naweza kufunga madirisha na mlango nikakaa ndani kimyaa, Sasa huo sio afya ya akili kweli😆
Sina ata mia mbovu mfukoni walaah
NIWATAKIE Jumapili njema kwakweli mniache kwanza
🤣🤣🤣🤣 EwaaaaahhhhMshangazi bila shaka sasa hivi umeshajipata vyema.
hapo fursa hiyo unakuwa wewe...zamani walikuwa sana pesa yangu na Muda wangu
hapo fursa hiyo unakuwa wewe...zamani walikuwa sana pesa yangu na mi