Tumia vizuri muda na rasilimali ulizonazo,hujui kesho yako itakuwaje

Tumia vizuri muda na rasilimali ulizonazo,hujui kesho yako itakuwaje

Naja naja

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
747
Reaction score
1,454
Iogope sana kesho yako maana huijui ikoje, Leo umeshaiona na madhaifu yake umeshayaona ,kesho huijui huenda ukaamka upo hoi kitandani au ukapata ajali ambayo itakupa ulemavu wa kudumu.
 
Ikiwa hivi si tutaishi maisha ya hofu muda wote? Hata kidogo ukipatacho hutakifurahia maana una hofu ya kesho.
Tunatakiwa kuishi kwa imani tukiamini kesho itakuwa bora zaidi
 
Iogope sana kesho yako maana huijui ikoje, Leo umeshaiona na madhaifu yake umeshayaona ,kesho huijui huenda ukaamka upo hoi kitandani au ukapata ajali ambayo itakupa ulemavu wa kudumu.
Ujumbe mzuri sana....No one knows 2mrw.
 
Iogope sana kesho yako maana huijui ikoje, Leo umeshaiona na madhaifu yake umeshayaona ,kesho huijui huenda ukaamka upo hoi kitandani au ukapata ajali ambayo itakupa ulemavu wa kudumu.
Upo sahihi ila ukiishi kwa mtindo huo no life any more
 
Mimi siogopi hiyo kesho japo naunga mkono matumizi mazuri ya muda na resources.

Kwann tunapenda kuishi kimashaka-mashaka;
kuhofia yajayo ni dalili za maisha ya bahatisha ndulute..kama ni kufa hayupo atakayeishi milele.

Kama ni kuugua.kata bima kubwa..
kama ni ulemavu utokanao na ajari basi ujue kwa asilimia nyingi ni uzembe wa wasimamizi wa sheria za mabarabarani au reckless ya yeye victim.

Hatupaswi kuogopa kesho.bali kuifurahia hiyo kesho.fanya nafasi yako, mamlaka nazo zifanye nafasi yake.

Your future is not a miracle or mystery..it's the harvest of choice you make today.
 
Back
Top Bottom