B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 379
Tume ya mabadiliko ya katiba Imetoa mapendekezo ya serikali tatu, mengi yamesemwa na yatasemwa, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndo ulizaa Tanzania, yaan ilikuwa hivi, Tanganyika+Zanzibar: Herufi za Kwanza za neno Tanganyika yaan TAN ndizo zilizoanza kuchukuliwa ili kuunda neno Tanzania, baadae ikafuatia herufi ZA ya Zanzibar, baadae ndo kila herufi zilizokuwa pande zote yaan n, i, a zikachukuliwa na kuzaa neno TANZANIA.
Kwa bahati mbaya au kwa makusudi Tanganyika ikapotea na Zanzibar ikaendelea kutukuzwa na hadi leo ipo, kabla ya muungano Nchi ya Tanganyika ilikuwepo lakini baada ya Muungano nchi ya Tanganyika ikapotea je, Nani aliruhusu ipotee? kwa nini ilipotea?
Jambo la dhahiri ni kuwa hadi sasa hatujui makubaliano ya Marais wawili waliowezesha Muungano upatikane, je walikubaliana kuwa baada ya kuungana majina Tanganyika na Zanzibar yasitumike tena, ila iwe Tanzania bara na Tanzania visiwani?
Kwa nini Tanganyika haitaki kuiachia Zanzibar iwe huru? je ni sababu za kiusalama zaidi au? je zanzibar itaweza kujiendesha bila Usaidizi wa Tanganyika? je Zanzibar itapoteza nini ikiwa tutajitenga?
Kwa bahati mbaya au kwa makusudi Tanganyika ikapotea na Zanzibar ikaendelea kutukuzwa na hadi leo ipo, kabla ya muungano Nchi ya Tanganyika ilikuwepo lakini baada ya Muungano nchi ya Tanganyika ikapotea je, Nani aliruhusu ipotee? kwa nini ilipotea?
Jambo la dhahiri ni kuwa hadi sasa hatujui makubaliano ya Marais wawili waliowezesha Muungano upatikane, je walikubaliana kuwa baada ya kuungana majina Tanganyika na Zanzibar yasitumike tena, ila iwe Tanzania bara na Tanzania visiwani?
Kwa nini Tanganyika haitaki kuiachia Zanzibar iwe huru? je ni sababu za kiusalama zaidi au? je zanzibar itaweza kujiendesha bila Usaidizi wa Tanganyika? je Zanzibar itapoteza nini ikiwa tutajitenga?
Nimesikitika kuona watu wakitumia hasabu ya 1+1 = 2, halafu hawakujua kwamba 2 ni Tanganyika na Zanzibar.
Hamujui hesabu za seti. Union ina sehemu tatu, ina non union areas 2 na union area 1, yaani jula ni sehemu tatu
1 Zanzibar (Non inter sectional are)
2 Tanganyika (non inter sectional area)
3 Tanzania (inter-sectional area)
Tatizo nape na ccm wote hawajui hesabu ipi inatumila wapi?
Kawaulizeni watoto wa drasa la kwanza, watwaambia ni moja au tatu. Hakuna mbili.
![]()