Tumieni Hesabu za Seti Katika Kutafuta Idadi ya Serikali (Katiba Mpya)

Tumieni Hesabu za Seti Katika Kutafuta Idadi ya Serikali (Katiba Mpya)

attachment.php
 
Nimesikitika kuona watu wakitumia hasabu ya 1+1 = 2, halafu hawakujua kwamba 2 ni Tanganyika na Zanzibar.

Hamujui hesabu za seti. Union ina sehemu tatu, ina non union areas 2 na union area 1, yaani jula ni sehemu tatu

1 Zanzibar (Non inter sectional are)
2 Tanganyika (non inter sectional area)
3 Tanzania (inter-sectional area)

Tatizo nape na ccm wote hawajui hesabu ipi inatumila wapi?

Kawaulizeni watoto wa drasa la kwanza, watwaambia ni moja au tatu. Hakuna mbili.

attachment.php
 
mbona unatumia nguvu nyingi kujenga hoja wakati unakula raha kwenye serikali mbili?
 
siyo hesabu,ni makubalioano ya wananchi,hata hivyo,serikali tatu hapana,na wala hatuhitaji kulizungumzia sana maana wananchi wengi hawaungi mkono mfumo huo
 
Hamujui hesabu za seti. Union ina sehemu tatu, ina non union areas 2 na union area 1, yaani jula ni sehemu tatu

1 Zanzibar (Non union are)
2 Tanganyika (non union area)
3 Tanzania (inter-sectional area)

Tatizo nape na ccm wote hawajui hesabu ipi inatumila wapi?

Nadhani sijasahau bado hesabu za set, na kama utaamua kufuata hesabu hizo, kama una seti mbili tofauti na ukaamua kuziunganisha basi tarajia kupata seti nne na sio tatu.

Mfano. Tanganyika ni seti ya kwanza (T), Zanzibar ni seti ya pili (Z), ukiziunganisha utapata TuZ pamoja na TnZ, sasa kwa hesabu ya seti kama kuna chochote kinafanana kutoka set T na kutoka set Z basi hicho kitaunda set TnZ na vyote vingine vinavyopatikana kwenye set T na set Z navyo vitaunda set TuZ. kwa hiyo seti utakazokuwa nazo ni:

set T, set Z, set TnZ na set TuZ, kwa sababu set TuZ ndo set kubwa na chochote kilichopo kwenye set zingine tatu yaani T, Z na TnZ kinapatikana kwenye set TuZ basi unaweza kuamua kuua set zingine zote na kubaki na seti moja ya TuZ na unaweza kuipa jina lolote unalotaka, unaweza kuiita set M. kwa maana ya set Masuke.
 
tope tofauti hizo

Kujumlisha kunamaanisha kuchukulia vitu kwa ujumla wake mfano unaposema kuwa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni mjumuiko wa nchi mbili za TANGANYIKA na ZANZIBAR. Kuunganisha ingekuwa sahihi kama tungekuwa na serikali moja ambayo ni ya muungano wa serikali za ZANZIBAR na TANGANYIKA.
 
Znz haitegemei chakula kutoka bara. Ni asilimia ndogo tu inoenda znz. Wenyewe hakiwatoshi, mtaanza kufikiria kuuza nje?

Kwani Zanzibar ni nje?...
nyie ndugu zetu wa kambo tu...ila kwa sababu mnaamka saa 4 asubuhi kila siku? inabidi tunawasaidie...
 
Back
Top Bottom