Tumieni mitishamba ili kuleta heshima kwenye mahusiano yenu

Tumieni mitishamba ili kuleta heshima kwenye mahusiano yenu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Hili suala juu ya kuwepo kwa upungufu wa kiume kwenye jamii zetu lina ukweli ndani yake. Maana maisha ya siku hizi yalebadilika sana. Vyakula sio rafiki kwa afya, watu wana stress hivyo wanakunywa sana pombe, mabinti nao hawashikiki.

Hivyo maneno ya mbunge Neema wa CCM viti maalumu kuwa vijana wengi wanamatatizo ya kupafomu vizuri yana ukweli, hivyo watanzania msione aibu kutumia mitishamba ambayo miaka nenda rudi iliwasaidia wazee wetu.

IMG_20210418_040607.jpg
 
Aje kwangu nmpatie dozi ya ukweli ndio ataamini vijana tuna nguvu, sjui hiyo research yake kaifanyia wapi.
 
Duuuh!!kwamba alikosa mambo ya msingi zaid yenye kujenga akaamua kuongelea performance ya wanaume au ndo ilikua ni mada kuu?!nauliza tu jaman
 
Muda mwingine performance ya mwanaume inategemea na appearance ya mwanamke, kama mwanaume ana allergy na kijani njano unadhani ataperform vipi!!!
Umenena kweli kabisa mkuu, niliwahi kuwa na mtu ambae ye alikua shabiki wa Simba na hakuwa na itikadi ya chama cha mapinduzi Kwa kifupi alikua ni mpinzani flani hivi wa chini Kwa chini, aisee Kwa huyu show ilikuwa poa Sana Yani hadi we mwenyewe unasema eehh

Dahh nikaja kuingia kwingine ambapo yeye alikua shabiki wa Yanga na ana itikadi za chama cha mapinduzi aisee show always inakuwa mbovu ata waga sielewi sijui naona km nje ya mahusiano cjui ni maadui au vp, anyway Naomba kukazia pwenti yako
 
Mbunge analalamika kuwa wanaume wanamshindwa kazi?
 
Wanaume wanastress na maisha, mzuka unatoka wapi wakati unajua huna kitu, huyo unayemnyandua unajua mwisho wa siku ataomba pesa
 
Hili ni tatizo la kisaikolojia zaidi kuliko kukimbilia mitishamba kwani madhara yake baadae ni makubwa sana,

kutatua tatizo kwa kutengeneza tatizo jingine sii njia sahihi
 
Hili ni tatizo la kisaikolojia zaidi kuliko kukimbilia mitishamba kwani madhara yake baadae ni makubwa sana,

kutatua tatizo kwa kutengeneza tatizo jingine sii njia sahihi
Mbona hata mababu zetu walitumia na mambo yakaenda vizuri.
 
Back
Top Bottom