Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,683
- 5,236
Bro, nina ushuhuda wa wahanga wengi sana wa hizo dawa.Sio kweli mkuu, maana hizi zinasafisha na kurudisha upya afya ya ndoaa. Jaribu uone.
Nashauri mtu apate ushauri ya kisaikolojia kuliko kuzitumia