yellow java JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 1,228 Reaction score 2,234 Sep 6, 2023 #21 Muendelezo mkuu...
K11 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2014 Posts 3,447 Reaction score 11,274 Sep 6, 2023 #22 Surya tunaomba muendelezo wa mada hii yenye chakula cha ubongo ndani yake
Nelson Jacob Kagame JF-Expert Member Joined Dec 26, 2022 Posts 9,576 Reaction score 13,545 Nov 30, 2023 #23 JAMAA KAKIMBIZWA KIROHO HAYUPO TENA
Okoth p'Bitek JF-Expert Member Joined Jan 11, 2019 Posts 1,124 Reaction score 1,384 Nov 30, 2023 #24 Mind games😅😅
Mtangi5 Member Joined Nov 19, 2023 Posts 27 Reaction score 11 Nov 30, 2023 #25 Saad30 said: Lete elimu huru mkuu.Maisha ni uhalisia lete tujifunze wote Click to expand... Hmm, Hamna kitu hapo fix 2 [emoji849][emoji849]
Saad30 said: Lete elimu huru mkuu.Maisha ni uhalisia lete tujifunze wote Click to expand... Hmm, Hamna kitu hapo fix 2 [emoji849][emoji849]
Nelson Jacob Kagame JF-Expert Member Joined Dec 26, 2022 Posts 9,576 Reaction score 13,545 Jan 13, 2024 #27 🤣🤣
Surya JF-Expert Member Joined Jun 7, 2015 Posts 8,774 Reaction score 13,566 Jan 13, 2024 Thread starter #28 MMAKUHA said: MKUU TUTAKUPIGA Click to expand... Shida nini tena 😀
G Giltami JF-Expert Member Joined Feb 23, 2017 Posts 1,038 Reaction score 1,623 Jan 14, 2024 #29 Mwandishi pia bado anataka kujifunza Ila nakwambia huwezi kujifunza kabla hujaingia na ukahitimu masomo yako jisajili Kwanza ndio ujifunze afu uone Kama utapata nguvu na muda wa kuja kutoa ushuhuda huku.
Mwandishi pia bado anataka kujifunza Ila nakwambia huwezi kujifunza kabla hujaingia na ukahitimu masomo yako jisajili Kwanza ndio ujifunze afu uone Kama utapata nguvu na muda wa kuja kutoa ushuhuda huku.
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Sep 27, 2024 #30 Surya said: Shida nini tena 😀 Click to expand... Uzi wako umeishia wapi?
K11 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2014 Posts 3,447 Reaction score 11,274 Sep 27, 2024 #31 Changamoto ya ndugu Surya huwa anaanzisha nyuzi zenye ujumbe mzito, lakini huwa hafunguki kiini au ujumbe mahususi aliokusudia uwafikie wasomaji wake. Nimeiona hali hiyo kwenye baadhi ya nyuzi zake nilizofanikiwa kuzisoma. Akifika hatua ya kuweka bayana ujumbe wake kwa kina, huaga kwa ahadi za kurudi kumalizia ujumbe huo, lakini sijabahatika kuona mwendelezo. Nakuomba mkuu Surya usiwe unaishia njiani, huenda mabandiko yako yakatuvusha wengine kwenda sehemu nyingine kiroho na kimwili.
Changamoto ya ndugu Surya huwa anaanzisha nyuzi zenye ujumbe mzito, lakini huwa hafunguki kiini au ujumbe mahususi aliokusudia uwafikie wasomaji wake. Nimeiona hali hiyo kwenye baadhi ya nyuzi zake nilizofanikiwa kuzisoma. Akifika hatua ya kuweka bayana ujumbe wake kwa kina, huaga kwa ahadi za kurudi kumalizia ujumbe huo, lakini sijabahatika kuona mwendelezo. Nakuomba mkuu Surya usiwe unaishia njiani, huenda mabandiko yako yakatuvusha wengine kwenda sehemu nyingine kiroho na kimwili.