yeah nabuka niliwah kusomaga sehem habari zake teana alikua akiua kawaida hakua akitumia sumu au kifaaa maalum
na pia alikua makini katika kuupoteza ushahidi ilikua kama amechubiliwa na lindo lake aidha kwa kucha au meno alikua tayri kulifanya jeraha lionekane la moto hata kwa kujiunguza au muda mwingine hujikata na kukamatwa kwake alikamatwa kibabe tu kupitia vpimo maana aliweza kuruka mitego mingi alotegewa ndani ya miaka hiyo yote ya mauaji
marekani ni nchi ajabu nilisoma sehem kuna dokta pia aliuwa watu zaidi ya mia mbili ila yeye alikua akiwaova dozi na kufanya vitu ambavyo anajua mgonjwa atakufa