Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Hashim Dogo, au Dogo mwendawazimu ni among fathers wa hip hop tz, na angeendelea kufanya sanaa kwa public angekonga mpaka level za Africa kwa ujumla.
Pakupata nyimbo zake kuanzia Shadow in the darkness na zingine ni jitihada zako binafsi.
Hashim Dogo, au Dogo mwendawazimu ni among fathers wa hip hop tz, na angeendelea kufanya sanaa kwa public angekonga mpaka level za Africa kwa ujumla.
Pakupata nyimbo zake kuanzia Shadow in the darkness na zingine ni jitihada zako binafsi.
Hapana kisa sio ukongwe kuna waliotangulia kabla yake, tunampa hiyo hadhi sababu ya kipaji chakeKisa ni ukongwe ndo unafanya aonekane mfalme?
Ana album/mix tape ngapi?
uwezo wa mc haupimwi kwa idadi ya mixtape au album
Video,nyimbo?
Ana nyimbo nyingi tu ikiwemo i shot the mc
kikubwa alichowazidi awa wa sasa ni uwezo wa kufloor na utunzi mzuri wa mashairi, alikuwa na uwezo mkubwa wa kuchana kiswahili fasaha na kingereza fasaha, pia kufree style kwa ubunifu wa hali ya juunini anawazidi hawa wa sasa?
mimi binafsi nilidhania One The Incredible atafuata nyayo zake ila akuweza kufikia ata robo ya uwezo wa Mwendawazimu dogoNani anafuata nyayo zake ?
Bahati mbaya hakuwepo kwenye hiziz zama za digital ila kuna baadhi ya ngoma zake pale kikosini au kwa PfunkWapi hizo ngoma zake zinapatikana kwa sasa?
Amewainspire wengi kufanya hiphop nzuri ya kuumiza kichwa mfano wafuatao wamekuwa inspired na Hashim Dogo MwanaFA, One the Inredible, Langa, Wasanii wengi wa kikosi, PFunk, Jaymoe, Chid Benz, SoloThang nkAmefanya harakati zipi kwenye bongo Hip hop?
Kumbuka SoloThang alishawai kutekwa na Kikosi kwa kutuhumiwa kukopi style ya Hashim.
MwanaFA wakati anaanza ilibidi BoniLuv afanye kazi ya ziada kumbadilisha sababu alikuwa ana sound kama Hashim ata jina lake la kisanii alijiita Hamis.
Haya ni baadhi tu ya mambo kutoka kwa Hashim Dogo AKA Bongo psychological
Ningependa kujua nyimbo zake huyo Dogo hashomu zilizo hit!
Alishawai kufanya show gani?
Wimbo uliosikika kwenye media ambao kuna sauti ya Hashim ni wimbo aliofanya na Unique sistaz waitwa sikiliza na wimbo wake aliofanya na Kalapina unaoitwa tunasonga
zisikilize hapa Kikosi Cha Mizinga - Tunasonga
Hapana kisa sio ukongwe kuna waliotangulia kabla yake, tunampa hiyo hadhi sababu ya kipaji chake
uwezo wa mc haupimwi kwa idadi ya mixtape au album
Ana nyimbo nyingi tu ikiwemo i shot the mc
kikubwa alichowazidi awa wa sasa ni uwezo wa kufloor na utunzi mzuri wa mashairi, alikuwa na uwezo mkubwa wa kuchana kiswahili fasaha na kingereza fasaha, pia kufree style kwa ubunifu wa hali ya juu
mimi binafsi nilidhania One The Incredible atafuata nyayo zake ila akuweza kufikia ata robo ya uwezo wa Mwendawazimu dogo
Bahati mbaya hakuwepo kwenye hiziz zama za digital ila kuna baadhi ya ngoma zake pale kikosini au kwa Pfunk
Amewainspire wengi kufanya hiphop nzuri ya kuumiza kichwa mfano wafuatao wamekuwa inspired na Hashim Dogo MwanaFA, One the Inredible, Langa, Wasanii wengi wa kikosi, PFunk, Jaymoe, Chid Benz, SoloThang nk
Kumbuka SoloThang alishawai kutekwa na Kikosi kwa kutuhumiwa kukopi style ya Hashim.
MwanaFA wakati anaanza ilibidi BoniLuv afanye kazi ya ziada kumbadilisha sababu alikuwa ana sound kama Hashim ata jina lake la kisanii alijiita Hamis.
Haya ni baadhi tu ya mambo kutoka kwa Hashim Dogo AKA Bongo psychological
Nitajie hits zake 5 tu then tuendelee
Nyimbo nyingi za Hashim hazikufika kwenye mainstream hivyo inakuwa vigumu kujadiliana sababu tutakosa deatils.
Nitajie hits zake 5 tu then tuendelee
Hashim Dogo hakuwai kuwa na hit song.
Hashim Dogo hakuwai kuwa na hit song.
Sasa ufalme wake uko wapi kama hana hit hata 1?Au ufalme wa gheto?
Nimeshazisikiliza nyingi tu, ila sio zote nimezishika majina. Sikia hii kafanya na Afroreign hiki ni kipindi wanarekodi kwa tape hakukuwa na CD wala hii teknolojia ya sasa ya kurekodi https://www.youtube.com/watch?v=fxMk88vePvAWewe unazifahamu ngapi,ambazo hazikufika media?
huoni tunalishana matango pori ,kwa tusiowahi kusikiliza ngoma zake nyingi.
Sikulishi matango pori ila kazi ya kukuletea nyimbo zake hapa zote sio rahisi, otherwise kama kuna hoja unashindwa namna ya kuiibua.
Sasa ufalme wake uko wapi kama hana hit hata 1?Au ufalme wa gheto?
Exactly ni mfalme wa Hiphop sio mfalme wa mainstream.