Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 619
Jibu umelipata leoTumepigwaa, anacheza sana rafu, hayuko smart kwenye kukaba, pasi hasa za kuhamisha mipira sijaona kwakwel, turns zake pia mmh..
Tumjadili Thadeo Lwanga kwa mechi 3 za Mapinduzi Cup inayoendelea Zanzibar.
Je atakua msaada kwa Simba? Wakati tunamjadili Lwanga tuangalie na uwezo wa
1. Mkude
2. Mzamiru
3. Ndemla na mtangulizi wale[emoji116]
4.Gerson Fraga
View attachment 1675081
Kwa upande wangu huyu jamaa namuona amefiti vizuri kwenye XI zaidi anachofanya sio mtu wa kupaniki kipindi akichezewa faulo kama mkude na fraga.Labda tu aongeze umakini kwenye kuwania mipira ya juu anafanya sana faulo labda kwa sababu ni mzito ata kukimbia anaonekana tu.Ila kiukweli anacheza vizuri.
Habari yako broNisikilizeni, Lwaga ni wa kawaida. Seems Simba kwenye usajili longolongo nyingi. Msishangae tukaletewa kocha wa kawaida sana pia. Pamoja na kutokubali baadhi ya sajili lakini bado tuna timu bora sana, tunahitaji technical team makini tu.
midomo mirefuHamna kitu pale
Mkuu.Imefungwa midomo mirefu. Waliambiwa subirini na mpeni Muda tu. Tena lwanga amewapa majibu mapema sanamidomo mirefu
Wewe ni kidimbwi siyo SimbaSimba yangu jamani.. ..sijui inaenda wapi....dk 90 hakuna shuti lililolenga lango.
Unaweza kuyarudia haya maneno??Lwanga ni Mzamiru aliyekunywa juisi ya pilipili
Jadili mwenyewe na watopolo wenzako,mumekaa kichawi chawi tu.Tumjadili Thadeo Lwanga kwa mechi 3 za Mapinduzi Cup inayoendelea Zanzibar.
Je atakua msaada kwa Simba? Wakati tunamjadili Lwanga tuangalie na uwezo wa
1. Mkude
2. Mzamiru
3. Ndemla na mtangulizi wale[emoji116]
4.Gerson Fraga
View attachment 1675081
Akikujibu ni tag nione atakacho jibu.
Vipi bado tumepigwa?Tumepigwaa, anacheza sana rafu, hayuko smart kwenye kukaba, pasi hasa za kuhamisha mipira sijaona kwakwel, turns zake pia mmh..
Bado ni garasa tuTumelamba garasa kama Kwa Morrison
midomo mirefu