Tumjibu Askofu Gwajima Kisayansi na si Kisiasa, tuache kumshambulia na kumtishia. No research no right to speak

Tumjibu Askofu Gwajima Kisayansi na si Kisiasa, tuache kumshambulia na kumtishia. No research no right to speak

I am not even going to ask the rationale of you introducing stats to compare, only later refute their significance.

Just amazing

Cha Msingi Gwajima kaitwa kuthibitisha madai yake sasa wewe na yeye muende na chemical detectors zenu gods knows which ones zinazotumika kuonyesha hizo vaccine zimejaa nanotechnology; usiende huko ukaomba pH test I don’t think it useful in magnetism detection of any sort.

Alamsiki.

G/morning

Indeed it will be just amazing to ask the rationale of stats, as of believing that the developed COVID-19 vaccines have the potency while the recipients still can contract/spread the disease.

Gwajima hana ulazima wa kuthibitisha madai yake. Kisheria anayepaswa kuthibitisha ubora na usalama wa chanjo katika muda mfupi, kati na mrefu, ni mtengenezaji wa chanjo, yule anayemtaka mtu achanjwe, na mchanjaji. Kwamba mtengenezaji wa chanjo na mtoa chanjo hausiki na matokeo (hasi/chanya) baada ya mtu kuchanjwa, kunaacha maswali kadhaa ya msingi, ambayo ni madai ya Gwajima.

Gwajima apewe majibu ya kisayansi na si vitisho. Amejitokeza kuwa msemaji wa kondoo wake, kama huyu [emoji116]
 
Mimi mwenyewe nimechanjwa mwezi wa tatu sasa na niko poa tu.
Hongera kwa maamuzi hayo kuhusu afya yako. Natumaini kabla ya kuchanjwa ulipewa nafasi ya kujieleza, kupimwa afya yako na maelekezo kuhusu chanjo (infomed decision).
 
G/morning

Indeed it will be just amazing to ask the rationale of stats, as of believing that the developed COVID-19 vaccines have the potency while the recipients still can contract/spread the disease.

Gwajima hana ulazima wa kuthibitisha madai yake. Kisheria anayepaswa kuthibitisha ubora na usalama wa chanjo katika muda mfupi, kati na mrefu, ni mtengenezaji wa chanjo, yule anayemtaka mtu achanjwe, na mchanjaji. Kwamba mtengenezaji wa chanjo na mtoa chanjo hausiki na matokeo (hasi/chanya) baada ya mtu kuchanjwa, kunaacha maswali kadhaa ya msingi, ambayo ni madai ya Gwajima.

Gwajima apewe majibu ya kisayansi na si vitisho. Amejitokeza kuwa msemaji wa kondoo wake, kama huyu
emoji116.png

Kabla ya kama atajibiwa au la awajibike kwa insubordination.
Hoja yeyote aliyonayo alitakiwa ajiuzulu kwanza. Hiyo ndio sheria. Tuanzie hapo.
Kuna mengi ambayo nae yanamhusu e.g. vyanzo vya taarifa zake, utalaan ktk fani hiyo na kithibitisha hoja zake kwamba viongozi wamechanjwa kimagumashi kuwazuga watz n.k, lakini kabla ya yote awajibike. Naona mnampa big up sana huyu gwajima chameleon bila kuliangalia hilo.

Kauli nyingine ya kipuuzi ya huyu chameleon ni ile ya kusema potelea mbali ubunge.
Angekuwa hachukui posho angekuwa na hiyo jeuri

Edwin Mtei aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu alipoona Nyerere hataki ushauri wake kwenye masuala ya IMF alijiuzulu kesho yake.

Hapa huyu bw anatakiwa ajiuzulu kwamza wote mnaompigia debe hamlioni hilo haijalishi kama chanjo ni sawa au sio sawa.

Kama hajali sana Ubunge mbona anakomba hizo m11 na ushee kila mwezi.
 
Unateseka ukiwa wapi?unawaabisha sana wazazi wako....umaskini wako unakuletea hasira....😂😂😂😂
Masikini yule mbwa aliyekuwa akitamani kupora hela za watu, masikini yule alikuwa ni zaidi ya shetani.
 
Anachotukera ni kutangaza hadharani msimamo wake wa kutochanja.... hapa anapingana na serikali yake ya CCM waziwazi kitua ambacho hakina uhai kwa chama chetu.

Kama ana hamu ya kuungana na CDM kudai katiba mpya aseme mapema - mambo ya chokochoko sisi hatutaki.
 
Jamaa kaeleza kisayansi San na kaeleweka naunga mkono hoja
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema
Hata kimya ni jibu pia,je unalifahamu hilo na je analifahamu hilo?
 
N
Habari za mungu ni pamoja na kuwaokoa watu wasiuwawe na machanjo ya ajabu ajabu!
Sawa kabisa lakini Mungu muumba Mbingu na nchi hapendi mtu anaefanya kwichikwichi kujificha nyuma ya JINA lake

Hata fl. Mbxxsha inaekea alimtafuna pia, inaelekea alijiongeza kwa yule bro mambo yakaisha, ila ile clip angeenda kumshitaki aliye ipost, baadala yake amezuga halafu anajidai mtu wa Mungu.
Yaani anawapumbaza mnasahau kabisa habari zake za uzinzi.

Inabidi nikubali " the guy is really smart upstairs"

Amewatoa kwenye reli sasa amakubalika kama mtu wa Mungu mmesahau kila kitu cha zamani

Hatudanganyiki wote mkuu.

Huyu Gwajiboy namjua toka anaanza kanisa pale Ubungo juu. Ile bar ya Hunters Club, enzu hizo ndio alifanya kanisa. Hapo kufufua misukule ilikuwa bado sana.

Alikuwa hamna kitu anakuja kwenye cafe yetu palepale jirani kupata internet karibu kila siku.

Unajua scandal zake na longolongo zake au unafuata mkumbo tu ?

Hajasomea hayo mambo kabisa. Anapata ubuyu toka kwa jopo lale halafu kichwa anaenda live.

Hata 5G yeye bingwa pia katoa mada kibao, na kikika kingine utakuta nacho anatoa mada.

Ana Shahada za Juu za Theolojia basi. Ila bingwa wa kuropoka.

Kuna watu wanadhani Gwajiboy anahoja ni tofauti kubwabwaja kanisani na kuitwa kwenye jopo la mabingwa wa fani hizo.
Mambo anayozungumza yote yapo kwenye mtandao.

Ahubiri Biblia tu na akiweka mkazo amri ya 6 basi inatosha.
Kama hataki kuchanja ajiuzulu.
 
Analysis nzuri Sana.
Katika vitu Mimi nami Nina maswali kuliko majibu.
1. Watu waliopona baada ya kuugua Corona ni wengi Sana kwa mbali kuliko waiokufa.

Kwanini nguvu isielekezwe kwenye kuwajulisha watu kuwa wengi wanapona, na kwa dawa gani wamepona,ili watumie hizo?

Badala yake kutiwa hofu kana kwamba ukipata Corona lazima ufe tu.
Kazi ya wataalamu wa afya ni kuwapa matumaini wagonjwa siyo kuwatisha.

2.Katika watu zaidi ya 4m. Waliokufa bara la Afrika hawafiki hata laki nne.
Kwanini viongozi wanataka tuogope Sana kuliko hata kule ugonjwa umeweka makao?

Wao barakoa Sasa si lazima,sisi tunalazimishwa kwanini? Kwa ugonjwa ambao si kitisho kwa Afrika?
Maana Afrika inayo magonjwa mengine tu yanayoua Sana kuliko Corona mfano Malaria.
Je inaingia akilini kuwalazimisha wazungu kuogopa Malaria kwao inayoua watu wachache?

3. Kwa vile uamuzi wa kuchanjwa umetokana na ushauri wa tume ya Corona.
Kwanini hiyo tume isitolee ufafanuzi wa hoja ambazo Gwajima na wananchi wanauliza? Kuliko kukimbilia kumtishia Gwajima?
 
G/morning

Indeed it will be just amazing to ask the rationale of stats, as of believing that the developed COVID-19 vaccines have the potency while the recipients still can contract/spread the disease.

Gwajima hana ulazima wa kuthibitisha madai yake. Kisheria anayepaswa kuthibitisha ubora na usalama wa chanjo katika muda mfupi, kati na mrefu, ni mtengenezaji wa chanjo, yule anayemtaka mtu achanjwe, na mchanjaji. Kwamba mtengenezaji wa chanjo na mtoa chanjo hausiki na matokeo (hasi/chanya) baada ya mtu kuchanjwa, kunaacha maswali kadhaa ya msingi, ambayo ni madai ya Gwajima.

Gwajima apewe majibu ya kisayansi na si vitisho. Amejitokeza kuwa msemaji wa kondoo wake, kama huyu [emoji116]

Kwenye kesi yoyote ‘mshtaki’ ndio anaanza kwa kuthibisha uhalali wa mashtaka yake, na sio upande wa ‘utetezi’ unaanza kwa kujibu.

Wewe kama mfuasi wa Bishop Gwajima chukulia hii ni fursa adimu serikali imempa kupeleka ushahidi wa madai yake na kama maelezo yake yanajitosheleza mbele ya sheria ajibiwe.

Vinginevyo unataka serikali ipoteze muda kujibizana na kila mtu atakaekuwa anajitungia mambo tu.
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema


Sayansi iko wazi lakini anapotosha makusudi kwasababu ya kupata sifa tu na sadaka. Huyu ndiyo mtu anadanganya watu kuwa ana fufua watu leo unataka eti science !
 
Kwanza kabisa tuache kutishiana kuhusu covid 19 japo kama una kinga dhaifu au kama una other risk factors ya kuambukizwa na kufa kwa ugonjwa wa uviko 19 jaribu kukaa mbali na watu ambao unahisi wanaweza kukuambukiza covid 19 au kama unahiari ya kupata chanjo ya covid 19 nenda ukachanjwe . Risk factors za kufa kwa ugonjwa wa Covid 19 ni kama ifuatavyo:unene uliyopitiliza,magonjwa ya presha na moyo,kisukari,ukimwi,umri mkubwa,utapiamlo,pumu,kansa,magonjwa yanaoathiri mapafu,upunguvu wa damu,kuwa na kinga pungufu mwilini.kama uko ndani ya makundi hayo jaribu kwa kipindi hichi cha ugonjwa huu kuwa makini sana au ikipidi kama una hofu tafuta chanjo ambao unahisi yaweza kukufaa

Nimetangulia kusema kuwa tusitishane kwa sababu hizi zifuatazo.
Tangia ugonjwa huu umekuwepo early jarunary 2020,walioambukizwa ni 206,958,371,na waliyokufa ni 4,357,179. yani kati watu 100 wanaombukizwa,wanaokufa ni asili mia 2.1.

kwa hiyo hata ukiambukizwa usiingize hofu,wahi hospitalini.na watoa huduma tusiogope kuwahudumia wagonjwa wa aina hii.ukimnyapaa ndiyo unakuwa unamuua kabisa.

Globally, as of 12:23pm CEST, 16 August 2021, there have been 206,958,371 confirmed cases of COVID-19, including 4,357,179 deaths, reported to WHO. As of 11 August 2021, a total of 4,428,168,759 vaccine doses have been administered.

Na ukiangalia kidunia waliaambukizwa ugonjwa huu ni 206,958,371, kati ya watu bilioni 7.8 wanaoshi duniania.sasa piga mahesabu ni asilimia ngapi ya watu waliyombukizwa ulimwenguni kote.

Ndiyo maana,tunatakiwa kutoingiza hofu bali tuchukue tahadhali na kufuata ushauri mzuri wa watoa huduma za afya.kama uko kwenye kundi hatarishi jitahidi sana kujikinga kwa kadri iwezekanovyo lakini pia acha hofu.wahi hospitalini endapo utahisi umeambuikizwa.

Nikizungumzia kuhusu kinga .kuna primary prevention na secondary prevention primary prevention ni pamoja na kuacha tabia hatarishi,kufuata ushauri wa watoa huduma za afya namna ya kujikinga,kupata chanjo safi na salama.

chanjo safi na salama inapatikana kwa kufuata hatua zilizoanishwa na shirika la afya duniani kwa kushirikiana na taasisi zengine kama CDC na FDA.

Utengenezwaji wa chanzo unaanza kwa kutafiti kisababishi cha ugonjwa husika,muundo wa kirusi au bacteria,tabia yake,kuzaliana kwake etc .Hii inaitwa exploratoty stage .Baada ya kukielewa kirusi au bacteria alivyo ndipo watalaam wanatengeneza chanjo.chanjo ikishapatikana inajaribishwa kwanzamaabara au kwa wanyama.this is mandatory.hii inaitwa pre clinical stage.

sasa swali ambalo Mh Askovu GWAJIMA amekuwa akiuliza ni hili .je?chanjo hii ilipitia kwa wanyama kwanza?tumjibu kisayansi na siyo kisiasa.

Ukitoka preclinical stage unakuja phase one clinical stage ambabo chanjo inajaribiwa kwa watu 20-80 wenye kuwa na ugonjwa huo huo au unaofanana na huo.Akofu GWAJIMA ana haki ya kuuliza kama hili lilifanyika.

i:The goals of Phase 1 testing are to assess the safety of the candidate vaccine and to determine the type and extent of immune response that the vaccine provokes".

ukishatoka clinial trial phase unaingia clinical trial phase ambapo chanjo inatolewa kwa mamia ya watu.lengo likiwa hili"The goals of Phase II testing are to study the candidate vaccine’s safety, immunogenicity, proposed doses, schedule of immunizations, and method of delivery.""Hapa wamesema schedule of immuizations.yani chanjo itolewe lini,mara ngapi,kwa watu gani,.nimeona jinsi watu wanavyojikanyaga mana leo wanasema ati wapewe high risk group mara wapewe watu wote mara sijui.Hili linaleta maswali mwengi.

Ukitoka phase 2 clinical trial unaingia phase 3 ambapo chanjo inatolewa kwa maelfu ya watu.maengo ya pahse 3 yakiwa haya:
One Phase III goal is to assess vaccine safety in a large group of people. Certain rare side effects might not surface in the smaller groups of subjects tested in earlier phases. For example, suppose that an adverse event related to a candidate vaccine might occur in 1 of every 10,000 people. To detect a significant difference for a low-frequency event, the trial would have to include 60,000 subjects, half of them in the control, or no vaccine, group (Plotkin SA et al. Vaccines, 5th ed. Philadelphia: Saunders, 2008).

Vaccine efficacy is tested as well. These factors might include 1) Does the candidate vaccine prevent disease? 2) Does it prevent infection with the pathogen? 3) Does it lead to production of antibodies or other types of immune responses related to the pathogen?

ASKOFU GWAJIMA anauliza chanjo ya nini ikiwa nikichanjWa nitaambukizwa,nitambukiza nitakufa kwa ugojwa huo huo.Tumujibu kisayansi siyo kisiasa.watengenezaji wasiingize siasa kwa maisha ya watu .wamesema hata ukichanja utaambukizwa,utaambukiza ,unaweza ukafa kwa ugonjwa wa covid.na pia usiache kufuata zile measures nyengine kama kuvaa barakoa,kunawa mikono,social distancing .ATI MAKALI YA UGONJWA YANAPUNGUA UKIJIPATIA CHANJO YA UVIKO.

Kwa kuzungu ni hivii:
Safe and effective vaccines are a game-changing tool: but for the foreseeable future we must continue wearing masks, cleaning our hands, ensuring good ventilation indoors, physically distancing and avoiding crowds.

Being vaccinated does not mean that we can throw caution to the wind and put ourselves and others at risk, particularly because research is still ongoing into how much vaccines protect not only against disease but also against infection and transmission. See WHO’s landscape of COVID-19 vaccine candidates

Mashirika ya CDC ,FDA,WHO,yameweka wazi kuwa chanjo ni hiari.sasa kwa nini wanasiasa ambao mahala pengine hawajasomea mambo ya afya,layman kabisa wanalazimisha chanjo klutolewa kwa nguvu.embu jiulize MBUNGE wa tanzania ambaye amemaliza la saba,sijui form 4,form 6 ,mwanasheria ,mwalimu wa kawaida kabisa yani mtu hajawahi kufanya utafiti wowote anataka kulazimisha chanjo kwa nguvu.!!!!!!common.embu heshimuni taluma za watu.na kama wewe unataluma ya afya au ni mtafiti weka uzalendo kwanza mbele achana na siasa kichani.madaktari wanaelewa ninacho kisema.yani medical ethics.Hata kipimo huwezi kukifanya kama mgonjwa hataki.HUWEZI KUMPA MGONJWA DAWA KAMA HATAKI SEMBUSE CHANJO???

Kwa kizungu ni hivi"that they have the option to accept or refuse the vaccine""

How will vaccine recipients be informed about the benefits and risks of any vaccine that receives an EUA?​

FDA must ensure that recipients of the vaccine under an EUA are informed, to the extent practicable given the applicable circumstances, that FDA has authorized the emergency use of the vaccine, of the known and potential benefits and risks, the extent to which such benefits and risks are unknown, that they have the option to accept or refuse the vaccine, and of any available alternatives to the product. Typically, this information is communicated in a patient “fact sheet.” The FDA posts these fact sheets on our website.

sasa povu la nini na kumtishia askofu GWAJIMA.siasa za nini?chanjo ni hiari.acheni kulazimisha watu.kama wewe unaona ni lazima kupata chanjo nenda ukachanjwe .ASKOFU GWAJIMA anachokifanya ni ku compliment missing doubtful information about the vaccine.

kama chanjo imetolewa under EMERGENCY USE UUTHORIZATION kwamba wanayoitoa wahakikishe wanamonitor chanjo hiyo kwa sababu ni" Under an EUA, FDA may allow the use of unapproved medical products, or unapproved uses of approved medical products in an emergency to diagnose, treat, or prevent serious or life-threatening diseases or conditions when certain statutory criteria have been met, including that there are no adequate, approved, and available alternatives""" KOSA LA ASKOFU GWAJIMA LIKO WAPI?

sisi wanasiasa tuache siasa kwa afya za watu.chanjo ni hiari.nashauri kama kuna mtu atalazimishwa chanjo fungua kesi mahakamani na nakuhakikishia utawashinda mapema kabisa

AFYA NI HAKI YAKO .KUTOA ELIMU NI HAKI .

NIWAKUMBUSHE WATU WOTE HASA WANASIASA KUWA KILA CHANJO NI HIARI YA MTU KUKUBARI AU KUKATAA KUCHANJWA.na KAMA CHANJO INAFANYA KAZI INAVYOTAKIWA INATAKIWA IKUKINGE NA UGONJWA.NDIYON MAANA CHANJO NI HIARI .KWAMBA WEWE UNAYECHANJWA HUTAAMBUKIZWA AU UKIAMBIKIZWA USIFE.

Mbona hepatitis B Vaccine hatualazimishani?kwani hepatititis B Hiuwi?


Jioni njema

Tatizo jopo la madaktari limeshakaa wakisema pelekeni maswali mnasema hamna kwasababu hamtaki kujua ukweli bali kuweka drama mitandaoni na kupotosha watanzania. Ndugu zangu wote wamechanja na hakuna tatizo lolote . Watu wanakufa nyie mnaona hii ni drama show!
 
Back
Top Bottom