Utampigia wewe na mkeoTunampigia kura Mgombea wa CCM anayetokana na Taasisi imara yenye kuheshimika Afrika na Dunia nzima,
Hatumpigii kura Mgombea wa Saccos inayotafuta fedha kukuza mtaji wake.
Huu ndo uzembe wenu! Huwezi kushinda urais kwa kutegemea kura za CHADEMA. Unahitaji kuungwa mkono na wa-TZ. Unapohitaji kura kama hizo acha kutukana wenzako maana wana wafuasi ambao pia unahitaji kura zao. Wewe unatanguliza matusi kibao! Upate kura ya nani nje ya CDM?Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Jenga hoja acha matusi,kama ni uchizi si anao mgombea wenu wa ccm,hivi Kwa MTU mzima anaweza kutaja taja mambo ya kijinga ya kudhalilisha wanawake kwenye kampeni?nakuelezeni ukweli magufuli ni muovu na tumkatae haswaa,ni dikteta na mwenye roho nyeusi sana.UNAFIKIRI SISI SOTE NI MACHIZI KAMA ULIVYO WEWE
Hakika safari hii ni lazima tupige kura kwa kumtupa nje ya ulingo Ngosha.......Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Delete ccm oct 28Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Chacha wangwe alizikwa na mwili ulionekana,je azory gwanda,Ben sanane na wengine wengi miili yao iko wapi tuzike?hatumtaki magufuli ana uovu mwingi.Na tumkatae nani kwa kifo cha Chacha Wangwe?
😂😂😂😂😂Naikataa CCM na kazi zake zote kama nilivyomkataa shetani na kazi zake zote wakati wa ubatizo
Hata wote wampigie kula lissu jpm ni raisi tu mwenye dora sio mwezio..... MNAJISUMBUANi dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Hakika NI YEYE TU.Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Magufuli hatoboi,wafanyakazi,wafanya biashara,wahitimu ni kura ambazo hawezi zipata magufuli.Hiyo ni yako,JPM tano tena.
Magufuli ni mzalendo wa chato sio TanzaniaMagufuli hana uzalendo wowote, msitufanye sisi watoto bwana.
Magufuli tumeshamkataa. Raisi wetu 2020 - 2925 ni Tundu Antiphas LissuNi dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.
Wewe umefikaje huku siasani? Rudi kule kwenye jukwaa lako la MMU ukajadili jinsi mijini kulivyo na watoto wazuri,ndipo uwezo wako wa akili ulipo,sio huku kwa wenye tafakuri nzito.alafu nyie msozijua siasa sijui kwa nini mnaruhusiwa kupost haya mashudu yenu, hivi unayajua madhara ya mtu aliekosa uzalendo na kutumika na maadui dhidi ya taifa lake kwa maslahi yake?
je kama amekosa uzalendo kwa taifa lake ni ipi thamani yake?
amani na thamani ya taifa ni bora kuliko mtu yeyote anaekosa uzalendo dhidi ya taifa lake.
haya mambo bado ni mageni sana afrika kwa wenzetu ukitumika na maadui dhidi ya taifa lako kifuatacho ni kuuawa, bora hata hapa kwetu watu wanaonywa kwanza japo wanajitia ujuaji hadi yanawapata yakuwafika.
Tulishamkataa tangu 2015 mkuu, sema tume ilituangusha sana, ila safari hii Lissu lazima arare nae mbereeeeNi dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?
Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?
Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?
Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?
Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?
Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?
Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.
Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.
Swelana.