Uchaguzi 2020 Tumkatae Magufuli, tumkubali Lissu

Uchaguzi 2020 Tumkatae Magufuli, tumkubali Lissu

Tunampigia kura Mgombea wa CCM anayetokana na Taasisi imara yenye kuheshimika Afrika na Dunia nzima,

Hatumpigii kura Mgombea wa Saccos inayotafuta fedha kukuza mtaji wake.
Utampigia wewe na mkeo
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Huu ndo uzembe wenu! Huwezi kushinda urais kwa kutegemea kura za CHADEMA. Unahitaji kuungwa mkono na wa-TZ. Unapohitaji kura kama hizo acha kutukana wenzako maana wana wafuasi ambao pia unahitaji kura zao. Wewe unatanguliza matusi kibao! Upate kura ya nani nje ya CDM?
 
Watanzania hatuwezi kujaribisha sumu kwa kuilamba.
Hatuwezi kumpa Nchi mgombea mwingine yeyote tofauti na JPM.
Ki ukweli VVU kushika Dola bado sana. Tutauzwa mchana kweupe.
Ninachoshukuru ni kwamba, mpaka sasa JPM ana kura hata zaidi ya nusu ya kura zote.
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.

UNAFIKIRI SISI SOTE NI MACHIZI KAMA ULIVYO WEWE
 
UNAFIKIRI SISI SOTE NI MACHIZI KAMA ULIVYO WEWE
Jenga hoja acha matusi,kama ni uchizi si anao mgombea wenu wa ccm,hivi Kwa MTU mzima anaweza kutaja taja mambo ya kijinga ya kudhalilisha wanawake kwenye kampeni?nakuelezeni ukweli magufuli ni muovu na tumkatae haswaa,ni dikteta na mwenye roho nyeusi sana.
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Hakika safari hii ni lazima tupige kura kwa kumtupa nje ya ulingo Ngosha.......

Na kumpa huyu mtu jasiri sana "The Surviver of 16 bullets"
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Delete ccm oct 28
 
Na tumkatae nani kwa kifo cha Chacha Wangwe?
Chacha wangwe alizikwa na mwili ulionekana,je azory gwanda,Ben sanane na wengine wengi miili yao iko wapi tuzike?hatumtaki magufuli ana uovu mwingi.
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Hata wote wampigie kula lissu jpm ni raisi tu mwenye dora sio mwezio..... MNAJISUMBUA
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Hakika NI YEYE TU.
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Magufuli tumeshamkataa. Raisi wetu 2020 - 2925 ni Tundu Antiphas Lissu
 
alafu nyie msozijua siasa sijui kwa nini mnaruhusiwa kupost haya mashudu yenu, hivi unayajua madhara ya mtu aliekosa uzalendo na kutumika na maadui dhidi ya taifa lake kwa maslahi yake?
je kama amekosa uzalendo kwa taifa lake ni ipi thamani yake?
amani na thamani ya taifa ni bora kuliko mtu yeyote anaekosa uzalendo dhidi ya taifa lake.

haya mambo bado ni mageni sana afrika kwa wenzetu ukitumika na maadui dhidi ya taifa lako kifuatacho ni kuuawa, bora hata hapa kwetu watu wanaonywa kwanza japo wanajitia ujuaji hadi yanawapata yakuwafika.
Wewe umefikaje huku siasani? Rudi kule kwenye jukwaa lako la MMU ukajadili jinsi mijini kulivyo na watoto wazuri,ndipo uwezo wako wa akili ulipo,sio huku kwa wenye tafakuri nzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dhahiri kwamba uongozi wa Magufuli umetuumiza sana watanzania wote wa rika zote na kada zote. Kwanza kuna watu wametekwa na kuuawa na serikali haijawahi eleza chochote na ushahidi wa hawa watu kuuawa wananchi tunao, Ben sanane ametekwa na kupotezwa mpaka Leo wazazi wake hawakuweza kupata hata mfupa ili wazike na kupumzisha nafsi zao, roho zao zipo juu juu, utekaji huu na uuaji wa namna hii hatujawahi kuushuhudia katika awamu zote zilizopita na wala huwezi msikia Magufuli akiongelea hilo la utekaji na uuaji, sasa tumchague tena Magufuli wa nini?

Azory Gwanda amefuatwa na waliojitambulisha ni Polisi na wamempoteza, tena anafuatwa mbele ya mkewe na mpaka sasa si familia yake ipate hata kidole angalau wazike na roho zao zitulie, huyu ni mwandishi wa habari amepotezwa na kuuawa lakini huwezi kuona hata Magufuli kuliongelea hivyo, sasa tumchague wa nini?

Kuna watu wengi sana wameuawa na kupotezwa, wengine wamepewa kesi za kubambikiwa na wanaozea gerezani, Mdude Chadema amebambikwa kesi ya dawa za kulevya ili anyamazishwe, Tito na mwenzake wamebambikwa kesi ya uhujumu uchumi na wanaozea gerezani, sasa tumchague Magufuli tena Kwa lipi?

Wafanyakazi miaka 5 hawajaongezwa mishahara, mbaya zaidi wananyanyaswa makazini, achaguliwe Magufuli Kwa lipi? Wafanyabiashara wamefilisiwa na wengine wamenyanyaswa na kuporwa Mali zao Kwa lazima na utawala wa Chuma wa Magufuli, sasa achaguliwe Kwa lipi?

Wahitimu wa kada mbalimbali nao pia wamekumbwa na uhaba wa ajira na wanaendelea kutaabika mtaani bila matumaini ya ajira, sasa achaguliwe tena Kwa lipi? Wananchi wa kawaida wanaishi katika umasikini uliopindukia baadhi ya familia zinapata mlo mmoja kwa siku na zingine zimekosa kabisa, achaguliwe Magufuli tena Kwa lipi?

Wananchi wa vyama vya upinzani wametukanwa na kutishiwa kuuliwa na vikundi vya CCMMara Kwa Mara UVCCM imekuwa ikihubiri machafuko na hakuna hata aliyewakaripia si polisi wala Magufuli, sasa tumchague wa nini tena. Maovu ni mengi sana yaliyofanywa na Magufuli katika utawala wake, tumchague tena wa nini?

Ni wakati sahihi wa kumuweka pembeni Magufuli na maovu yake yote yaliyo dhahiri na tuambatane na Lissu ambaye amepigwa risasi na utawala wa Magufuli, yawezekana hata Mipango ya kupigwa risasi Lissu ilipangwa na Magufuli na genge lake,tumkatae Magufuli na uovu wake.

Niliyosema yote ni kweli na hiki ni kipindi cha kampeni hivyo mtuache tuzungumze kikicho cha kweli. Ni mengi sana maovu ametutendea Magufuli kuliko mazuri,tunkataeni na tulinde kura zetu Kwa damu na jasho ili Magufuli asiibe kura zetu.

Swelana.
Tulishamkataa tangu 2015 mkuu, sema tume ilituangusha sana, ila safari hii Lissu lazima arare nae mbereeee
 
Magufuli baba lao!
Majaliwa baba lao
Samia mama lao

Wataweza hao aa wapi ? Kushindana na sisi aa wapi hata wakiungana aaa wapi matusi kututukana Aaa wapi.

Mwisho wa haya yote ni oktoba 28 .
 
Back
Top Bottom