Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Kwa ufupi.
Lt. Rajab Ahmed Mlima alizaliwa 30 Agosti 1977 na alifariki 27 Oktoba 2013.
Luteni Rajab Ahmed Mlima alikuwa askari katika jeshi la wananchi JWTZ, alikuwa Komandoo katika kikosi maalum cha JWTZ chenye makao yake makuu mkoani Morogoro eneo la Ngerengere- Sangasanga (92 kj). inaelezwa kipindi cha uhai wake Lt. Rajab A Mlima alikuwa mwenye kupenda elimu na mwenye kujituma awapo katika majukumu yake ya kijeshi na nje ya jeshi.
Mauti yalimkuta akiwa katika majukumu ya kulinda amani huko Congo DRC Mashariki mwa Goma ambapo yeye na wenzake kutoka Tanzania alikuwa akiwalinda raia dhidi ya waasi wa M23 ndipo waliposhambuliwa kwa mabomu toka kwa waasi wa M23 wenzake baadhi walijeruhiwa na yeye kupoteza maisha.
Baadhi ya picha enzi za uhai wake.
moja ya picha akiwa kwenye mafunzo ya ukomandoo
Akipokea nembo maalum ya ukomandoo (wing seal special force) baada ya kuhitimu mafunzo hayo hatarishi na magumu.
Akiwa kwenye pozi katika uwanja wa ndege huko Goma- Congo DRC
Akiwa msituni mashariki mwa Congo DRC.
Yes it's a Tanzanian Special Forces unit Logo. 92KJ COMMANDO.
TUTAKUKUMBUKA KOMANDO WETU Lt. Rajab A
Lt. Rajab Ahmed Mlima alizaliwa 30 Agosti 1977 na alifariki 27 Oktoba 2013.
Luteni Rajab Ahmed Mlima alikuwa askari katika jeshi la wananchi JWTZ, alikuwa Komandoo katika kikosi maalum cha JWTZ chenye makao yake makuu mkoani Morogoro eneo la Ngerengere- Sangasanga (92 kj). inaelezwa kipindi cha uhai wake Lt. Rajab A Mlima alikuwa mwenye kupenda elimu na mwenye kujituma awapo katika majukumu yake ya kijeshi na nje ya jeshi.
Mauti yalimkuta akiwa katika majukumu ya kulinda amani huko Congo DRC Mashariki mwa Goma ambapo yeye na wenzake kutoka Tanzania alikuwa akiwalinda raia dhidi ya waasi wa M23 ndipo waliposhambuliwa kwa mabomu toka kwa waasi wa M23 wenzake baadhi walijeruhiwa na yeye kupoteza maisha.
Baadhi ya picha enzi za uhai wake.
moja ya picha akiwa kwenye mafunzo ya ukomandoo
Akipokea nembo maalum ya ukomandoo (wing seal special force) baada ya kuhitimu mafunzo hayo hatarishi na magumu.
Akiwa kwenye pozi katika uwanja wa ndege huko Goma- Congo DRC
Akiwa msituni mashariki mwa Congo DRC.
Yes it's a Tanzanian Special Forces unit Logo. 92KJ COMMANDO.
TUTAKUKUMBUKA KOMANDO WETU Lt. Rajab A