SoC04 Tumlinde mtoto wa kiume wa kesho

SoC04 Tumlinde mtoto wa kiume wa kesho

Tanzania Tuitakayo competition threads

hauleibrahim

Senior Member
Joined
May 17, 2024
Posts
183
Reaction score
125
No ya watoto wa kiume Tanzania inazidi kupunguza ukiondoa vifo ila hata uzaliwaji wa watoto wa kiume umekuwa mdogo sana na hii kupeleka hata taifa siku za usoni kukosa nguvu kazi ya taifa lenye wanaume shupavu kama wazazi wetu walio tutangulia.

Zipo njia kazaa tunaweza kuzitumia kumpa nafasi mtoto wa kiume nae apate kujiona Yuko ulimwengu anao tambulika na kuthaminika na jamii yake inayoanza kumsahau mtoto wa kiume nazo chache ni

1. Mtoto wa kiume alindwe: Mtoto wa kiume kama anavyolindwa mtoto wa kike kwenye jamii ndivyo hivyo hivyo mtoto wa kiume anavyopaswa kulindwa kama Mali adimu ambayo isipolindwa itapotea katika uso wa nchi miaka ijayo.

2. Huduma zote za msingi zimfikie: Kuna dhana tuwape kipaombele wanawake,wnawake kwanza hii dhana sio nzuri Kwa miaka ijayo itaendelea kumdimiza mtoto wa kiume kwenye taifa na akakosa thamani yake kabisa na kuona kumbe fulsa zote ni wanawake kwanza na sio wote kwanza.

3. Wapate jukwaa lao la kusema na kutambulika na serikali.watoto wengi wa kiume wakubwa kuanzia miaka 18 hawana jukwaa ambalo linawapa nafasi nao kusema yanayo wasibu kwenye jamii ili yafanyiwe kazi kuweza kuwasaidia ili kama jamii haihitaji mtoto wa kiume kwenye taifa Kwa miaka mingi ijayo sawa.

4. Watiwe moyo: Ni vizuri kama taifa tunavyo watia moyo watoto wa kike tusimsahau mtoto wa kiume kumtia moyo hasa katika maisha kiujumla kweli uwanaume n kuwa kama Simba ila lazima tutiane moyo ili huyu Simba asife Kwa msingi wa mawazo hasa unapoona jamii mpka serikali haioni umuhimu wako inakatisha tamaa.

5. Wasikilizwe: Iko dhana mtoto wa kiume anajipambia mwenye ukiuliza jamii Kwa nn wanakwambia hapati mimba hii dhana imefanya taifa lipoteze vijana wengi wenye sumu mioyoni mwao walikosa wa kuwasikikiza SI serikali ama jamii aliye tayari kumsikiliza mtoto wa kiume hasa anayoyapitia kwenye jamii yake.

Hitimisho: Hizi ni sababu chache ambazo ili tuvuke na kupiga hatua Kwa miaka kumi mpka 25 tuyafanye hayo kulinda uwepo wa mtoto wa kiume katika jamii kama hatutaki mtoto wa kiume awepo katika jamii tusubirie taifa lenye wingi wa wanawake pekeee huko miaka ijayo.
 
Upvote 10
Huduma zote za msingi zimfikie: Kuna dhana tuwape kipaombele wanawake,wnawake kwanza hii dhana sio nzuri Kwa miaka ijayo itaendelea kumdimiza mtoto wa kiume kwenye taifa na akakosa thamani yake kabisa na kuona kumbe fulsa zote ni wanawake kwanza na sio wote kwanza.
La msingi hili, watoto wote wapate huduma stahiki. Na watu wote tu
 
Kura yangu umepata mdau,bandiko zuri vizuri kukumbushana mambo ya msingi kama haya
 
Mtoto wa kiume kwa sasa HANA MTETEZI. Tumeamua kufumba macho na kuwapa kipaumbele wanawake kwa sababu ya tamaa za wanaume tu sio tofauti na hilo.
Taifa lisilo na vijana wa kiume shupavu HILO TAIFA NI MFU!!!!
 
Mtoto wa kiume kwa sasa HANA MTETEZI. Tumeamua kufumba macho na kuwapa kipaumbele wanawake kwa sababu ya tamaa za wanaume tu sio tofauti na hilo.
Taifa lisilo na vijana wa kiume shupavu HILO TAIFA NI MFU!!!!
Mwnaume ana kandamizwa sana hasa uhuru wake wa kiujumla haupati
 
Mwnaume ana kandamizwa sana hasa uhuru wake wa kiujumla haupati
Mwanaume ndiye mtoaji na mtafutaji ili alishe familia, cha kushangaza wanawake wanaolalamika kwamba hawapatiwi mahitaji ya familia ndo wako mbele kuutaka usawa ilhali hawahudumii wao familia.
 
Hoja imebeba ujumbe mzuri na adimu.🔥🔥
 
Mtoto wa kiume kwa sasa HANA MTETEZI. Tumeamua kufumba macho na kuwapa kipaumbele wanawake kwa sababu ya tamaa za wanaume tu sio tofauti na hilo.
Taifa lisilo na vijana wa kiume shupavu HILO TAIFA NI MFU!!!!
Hilo ndo nalo chukizwa nalo mtoto wa kike anapta kipaombele sana huku watoto wa kiume waki sahaulika kwenye mambo mengi imefika sehemu taifa lime sahulisha kama Kuna mtoto wa kiume pia
 
Mwanaume ndiye mtoaji na mtafutaji ili alishe familia, cha kushangaza wanawake wanaolalamika kwamba hawapatiwi mahitaji ya familia ndo wako mbele kuutaka usawa ilhali hawahudumii wao familia.
Usawa wnao utaka n hawa wasomi wa dar unazani dada yako wa bush ndani ndani ana mida wa kuwaza huo usawa hakuna kabisa
 
No ya watoto wa kiume Tanzania inazidi kupunguza ukiondoa vifo ila hata uzaliwaji wa watoto wa kiume umekuwa mdogo sana na hii kupeleka hata taifa siku za usoni kukosa nguvu kazi ya taifa lenye wanaume shupavu kama wazazi wetu walio tutangulia.

Zipo njia kazaa tunaweza kuzitumia kumpa nafasi mtoto wa kiume nae apate kujiona Yuko ulimwengu anao tambulika na kuthaminika na jamii yake inayoanza kumsahau mtoto wa kiume nazo chache ni

1. Mtoto wa kiume alindwe: Mtoto wa kiume kama anavyolindwa mtoto wa kike kwenye jamii ndivyo hivyo hivyo mtoto wa kiume anavyopaswa kulindwa kama Mali adimu ambayo isipolindwa itapotea katika uso wa nchi miaka ijayo.

2. Huduma zote za msingi zimfikie: Kuna dhana tuwape kipaombele wanawake,wnawake kwanza hii dhana sio nzuri Kwa miaka ijayo itaendelea kumdimiza mtoto wa kiume kwenye taifa na akakosa thamani yake kabisa na kuona kumbe fulsa zote ni wanawake kwanza na sio wote kwanza.

3. Wapate jukwaa lao la kusema na kutambulika na serikali.watoto wengi wa kiume wakubwa kuanzia miaka 18 hawana jukwaa ambalo linawapa nafasi nao kusema yanayo wasibu kwenye jamii ili yafanyiwe kazi kuweza kuwasaidia ili kama jamii haihitaji mtoto wa kiume kwenye taifa Kwa miaka mingi ijayo sawa.

4. Watiwe moyo: Ni vizuri kama taifa tunavyo watia moyo watoto wa kike tusimsahau mtoto wa kiume kumtia moyo hasa katika maisha kiujumla kweli uwanaume n kuwa kama Simba ila lazima tutiane moyo ili huyu Simba asife Kwa msingi wa mawazo hasa unapoona jamii mpka serikali haioni umuhimu wako inakatisha tamaa.

5. Wasikilizwe: Iko dhana mtoto wa kiume anajipambia mwenye ukiuliza jamii Kwa nn wanakwambia hapati mimba hii dhana imefanya taifa lipoteze vijana wengi wenye sumu mioyoni mwao walikosa wa kuwasikikiza SI serikali ama jamii aliye tayari kumsikiliza mtoto wa kiume hasa anayoyapitia kwenye jamii yake.

Hitimisho: Hizi ni sababu chache ambazo ili tuvuke na kupiga hatua Kwa miaka kumi mpka 25 tuyafanye hayo kulinda uwepo wa mtoto wa kiume katika jamii kama hatutaki mtoto wa kiume awepo katika jamii tusubirie taifa lenye wingi wa wanawake pekeee huko miaka ijayo.
Mimi nichangie kwa kusema tuanze na wazazi kwanza wanamwambia Nini mtoto wao wa kiume?

Pia baba yake kama Yuko akiwa responsible mtoto wa kiume atajifunza kuwa responsible na atatoboa maishani kwake

Suala la mtoto wa kiume tuanze kwa familia , wazazi Wana mchango mkubwa sana

Mtoto wa kiume toka nyumbani apewe majukumu kuona yeye ni KICHWA CHA familia lakini pia awe na say toka nyumbani itamjenga vizuri

Naona wanaume wengi waliopewa majukumu mapema wamekuwa response sana na wamefika mbali
 
Mimi nichangie kwa kusema tuanze na wazazi kwanza wanamwambia Nini mtoto wao wa kiume?

Pia baba yake kama Yuko akiwa responsible mtoto wa kiume atajifunza kuwa responsible na atatoboa maishani kwake

Suala la mtoto wa kiume tuanze kwa familia , wazazi Wana mchango mkubwa sana

Mtoto wa kiume toka nyumbani apewe majukumu kuona yeye ni KICHWA CHA familia lakini pia awe na say toka nyumbani itamjenga vizuri

Naona wanaume wengi waliopewa majukumu mapema wamekuwa response sana na wamefika mbali
Wazazi ni sahihi ila saiz maisha Yako Kasi wazazi hawana sikio la kumsikiliza mtoto wa kiume kama ilivyo jamii na taifa Kwa ujumla.rai yako n nzuri ila wazazi wako Kasi kukimbizana n kujipigania n umaskini kuliko kuwa na huo muda wakukaa chini kumsikiliza mtu wanae amini habebi mimba
 
Amini nakwambia future ya KIJANA inaanza kwa mzazi, aliweza kutengeneza home huku dlkwingine atatoboa tu.

MALEZI mazuri yanaanza nyumbani tukazane na wazazi kwanza kabla hatujataka jamii kutusaidia.
 
Amini nakwambia future ya KIJANA inaanza kwa mzazi, aliweza kutengeneza home huku dlkwingine atatoboa tu.

MALEZI mazuri yanaanza nyumbani tukazane na wazazi kwanza kabla hatujataka jamii kutusaidia.
Una point kubwa nikiiangalia Kwa upana wake hoja yako.ila shida malezi mengi ya watoto Kwa wazazi Niya digital ama niite ya mazoea hpo ndo changamoto zinapo anzia Kwa Hoja yako ya wazazi
 
Mimi nichangie kwa kusema tuanze na wazazi kwanza wanamwambia Nini mtoto wao wa kiume?

Pia baba yake kama Yuko akiwa responsible mtoto wa kiume atajifunza kuwa responsible na atatoboa maishani kwake

Suala la mtoto wa kiume tuanze kwa familia , wazazi Wana mchango mkubwa sana

Mtoto wa kiume toka nyumbani apewe majukumu kuona yeye ni KICHWA CHA familia lakini pia awe na say toka nyumbani itamjenga vizuri

Naona wanaume wengi waliopewa majukumu mapema wamekuwa response sana na wamefika mbali
Wazazi hawa hawa wanaoimba Wanawake ndio nguzo ya jamii??? Au wengine???
 
Back
Top Bottom