- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣Mmeanza sifa za kupitiliza Kama KWA MWENDAZAKE , hacheni Tabia hii Mara moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mmeanza sifa za kupitiliza Kama KWA MWENDAZAKE , hacheni Tabia hii Mara moja
Ila suala la ajira nadhani watu wangejitune tu kivingine .maana sio tz tu..ni janga la duniaAtoe kwanza ajira haraka na pia awashughulikie kwa Sheria waliompiga risasi Lissu
Huna akiliWadau napendekeza Mheshimiwa wetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan, Tuchape noti zenye sura yake kwasabab;-
Napendekeza hivyo iwe kumbukumbu kwa mama yetu.
- Ndiyo Rais wa kwanza Mwanamke.
- Utendaji wake ni wa kutukuka.
- Ana kazi kubwa ya kulikomboa taifa kutoka katika giza nene la chuki, unyanganyi, kupotezana kupigana risasi na ubabe.
Wambie mkuu ,tuna WATU wa hajabu haijawai tokea tz, USA imepata kua na rais kibao je ni wangapi Kati yao wamekua kwenye pesa yao , watz why tunajitoa ufaham kiasi hichi ,tukiitwa wapumbavu twachukia why AfrikaYaani unapendekeza tuweke Sura yake kwenye Sarafu/noti zetu ati tu kisa ni
1. Rais wa kwanza Mwanamke?
2. Utendaji ulotukuka (ambao umeupima kwa miezi isozidi mi3)?
4. Na kisa 'ana kazi kubwa ya kulikomboa taifa'?
Well, hata wanywaji wana kazi kubwa ya kuendelea kuongoza kulipa kodi zinazolipa mishahara ya walimu wa watoto wako shuleni, Tuweke na Sura zao kwenye Sarafu??
Nonesense,
Hapana me naona bora tumuongezee mudaWadau napendekeza Mheshimiwa wetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan, Tuchape noti zenye sura yake kwasabab;-
Napendekeza hivyo iwe kumbukumbu kwa mama yetu.
- Ndiyo Rais wa kwanza Mwanamke.
- Utendaji wake ni wa kutukuka.
- Ana kazi kubwa ya kulikomboa taifa kutoka katika giza nene la chuki, unyanganyi, kupotezana kupigana risasi na ubabe.
Atoe kwanza ajira haraka na pia awashughulikie kwa Sheria waliompiga risasi Lissu