Tumpe heshima Samia Suluhu Hasani, tuchape noti zenye sura yake

Huna akili
 
Wambie mkuu ,tuna WATU wa hajabu haijawai tokea tz, USA imepata kua na rais kibao je ni wangapi Kati yao wamekua kwenye pesa yao , watz why tunajitoa ufaham kiasi hichi ,tukiitwa wapumbavu twachukia why Afrika
 
Bado ni mapema mno kusema huyu ni Rais bora. Tujipe muda zaidi.

Kwani kuwekwa kwenye pesa ndiyo kuheshimiwa?
 
Hapana me naona bora tumuongezee muda
 
Naona umesaliti chama cha mbogamboga.
Ulikuwa kwenye team ya praise na worship team ya CCM.
Ila sasa umekuwa msaliti.
AJIRA HAZITOLEWI NA KAZI IENDELEE
Atoe kwanza ajira haraka na pia awashughulikie kwa Sheria waliompiga risasi Lissu
 
Nina imani naye ila sura kwenye noti hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…