Tumpe Maua yake Rais Samia, Dunia inatambua mchango wake

Tumpe Maua yake Rais Samia, Dunia inatambua mchango wake

Malick M. Malick

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
658
Reaction score
312

View: https://youtu.be/Qoag3vwDQrk

Msanii wa UGANDA Jose Chameleon aliimba wimbo unaosema tusisubiri kutoa sifa kwa watu ,wakishaenda, tuwape sifa zao wakiwepo,na ikipendeza wakiwa madarakani ..watanzania tumpe maua yake Rais Samia

Wakati tuelekea mwishoni mwa mwaka 2024 ,ni wakati wa watanzania mmoja mmoja kutambua mchango wa Rais wetu mpendwa MAMA SAMIA SULUHU ,alama ya upendo DUNIANI.
Kiongozi alieziweka 4R katika maisha ya watanzania,Afrika na Dunia.

kila eneo sasa kwenye nchi imekua na baraka ,kisiasa tunaongoza DUNIA ,Tanzania ya SAMIA inaongoza bunge la DUNIA kupitia Dr TULIA,Afya afrika tulimpata DR NDUGULILE[marehemu] kwenye biashara Tumesikia Rais RUTO anasema Tanzania tunaongoza Afrika Mashariki.

Twende kwenye michezo,Timu za Taifa ziko kwenye fainali za mataifa ya afrika morocco 2025,tunaandaa CHAN,na tutaandaa AFCON 2027

Njoo kwenye Elimu kila kata katika nchi hii utakuta madarasa mapya ya kisasa ,shule za mfano za wasichana kila mkoa ,shule kongwe zimekarabatiwa

Twende kwenye uchukuzi ,SGR mtelezo ,viwanja vya ndege vinajengwa ,swala la nishati safi ya kupikia tunaona watanzania walivyolipokea, mitungi kila sehemu kwa kweli tumpe maua yake ,

Hakuna eneo kwenye jamii ambalo mama ajaweka upendo wake ..twendeni tukampe maua yake
Rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA Mhe Dr Samia Suluhu ameendelea kuwa kiongozi bora mwenye maono ya mbali na yenye maslai kwa watanzania,afrika mashariki,afrika na Dunia kwa ujumla,tunakuombea Rais wetu,watanzania tupu nyuma yako
 

View: https://youtu.be/Qoag3vwDQrk

Msanii wa UGANDA Jose Chameleon aliimba wimbo unaosema tusisubiri kutoa sifa kwa watu ,wakishaenda, tuwape sifa zao wakiwepo,na ikipendeza wakiwa madarakani ..watanzania tumpe maua yake Rais Samia

Wakati tuelekea mwishoni mwa mwaka 2024 ,ni wakati wa watanzania mmoja mmoja kutambua mchango wa Rais wetu mpendwa MAMA SAMIA SULUHU ,alama ya upendo DUNIANI.
Kiongozi alieziweka 4R katika maisha ya watanzania,Afrika na Dunia.

kila eneo sasa kwenye nchi imekua na baraka ,kisiasa tunaongoza DUNIA ,Tanzania ya SAMIA inaongoza bunge la DUNIA kupitia Dr TULIA,Afya afrika tulimpata DR NDUGULILE[marehemu] kwenye biashara Tumesikia Rais RUTO anasema Tanzania tunaongoza Afrika Mashariki.

Twende kwenye michezo,Timu za Taifa ziko kwenye fainali za mataifa ya afrika morocco 2025,tunaandaa CHAN,na tutaandaa AFCON 2027

Njoo kwenye Elimu kila kata katika nchi hii utakuta madarasa mapya ya kisasa ,shule za mfano za wasichana kila mkoa ,shule kongwe zimekarabatiwa

Twende kwenye uchukuzi ,SGR mtelezo ,viwanja vya ndege vinajengwa ,swala la nishati safi ya kupikia tunaona watanzania walivyolipokea, mitungi kila sehemu kwa kweli tumpe maua yake ,

Hakuna eneo kwenye jamii ambalo mama ajaweka upendo wake ..twendeni tukampe maua yake
Rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA Mhe Dr Samia Suluhu ameendelea kuwa kiongozi bora mwenye maono ya mbali na yenye maslai kwa watanzania,afrika mashariki,afrika na Dunia kwa ujumla,tunakuombea Rais wetu,watanzania tupu nyuma yako

Dunia iko busy na geopolitical issues, major issues sio siasa za tz
 

View: https://youtu.be/Qoag3vwDQrk

Msanii wa UGANDA Jose Chameleon aliimba wimbo unaosema tusisubiri kutoa sifa kwa watu ,wakishaenda, tuwape sifa zao wakiwepo,na ikipendeza wakiwa madarakani ..watanzania tumpe maua yake Rais Samia

Wakati tuelekea mwishoni mwa mwaka 2024 ,ni wakati wa watanzania mmoja mmoja kutambua mchango wa Rais wetu mpendwa MAMA SAMIA SULUHU ,alama ya upendo DUNIANI.
Kiongozi alieziweka 4R katika maisha ya watanzania,Afrika na Dunia.

kila eneo sasa kwenye nchi imekua na baraka ,kisiasa tunaongoza DUNIA ,Tanzania ya SAMIA inaongoza bunge la DUNIA kupitia Dr TULIA,Afya afrika tulimpata DR NDUGULILE[marehemu] kwenye biashara Tumesikia Rais RUTO anasema Tanzania tunaongoza Afrika Mashariki.

Twende kwenye michezo,Timu za Taifa ziko kwenye fainali za mataifa ya afrika morocco 2025,tunaandaa CHAN,na tutaandaa AFCON 2027

Njoo kwenye Elimu kila kata katika nchi hii utakuta madarasa mapya ya kisasa ,shule za mfano za wasichana kila mkoa ,shule kongwe zimekarabatiwa

Twende kwenye uchukuzi ,SGR mtelezo ,viwanja vya ndege vinajengwa ,swala la nishati safi ya kupikia tunaona watanzania walivyolipokea, mitungi kila sehemu kwa kweli tumpe maua yake ,

Hakuna eneo kwenye jamii ambalo mama ajaweka upendo wake ..twendeni tukampe maua yake
Rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA Mhe Dr Samia Suluhu ameendelea kuwa kiongozi bora mwenye maono ya mbali na yenye maslai kwa watanzania,afrika mashariki,afrika na Dunia kwa ujumla,tunakuombea Rais wetu,watanzania tupu nyuma yako

Watu tunakumbuka vifo vya watekwaji wewe ulivyo Pimbi unamsifu Mama kuliko Mama yako mzazi.
 
Mama anakubalika kinafki, kiuhalisia hakubaliki!.
Kinafki inaletwa na njaa,..hapa utakuta kundi kubwa la chawa na wasaka teuzi au walio kwenye teuzi tayari!!.
 

View: https://youtu.be/Qoag3vwDQrk

Msanii wa UGANDA Jose Chameleon aliimba wimbo unaosema tusisubiri kutoa sifa kwa watu ,wakishaenda, tuwape sifa zao wakiwepo,na ikipendeza wakiwa madarakani ..watanzania tumpe maua yake Rais Samia

Wakati tuelekea mwishoni mwa mwaka 2024 ,ni wakati wa watanzania mmoja mmoja kutambua mchango wa Rais wetu mpendwa MAMA SAMIA SULUHU ,alama ya upendo DUNIANI.
Kiongozi alieziweka 4R katika maisha ya watanzania,Afrika na Dunia.

kila eneo sasa kwenye nchi imekua na baraka ,kisiasa tunaongoza DUNIA ,Tanzania ya SAMIA inaongoza bunge la DUNIA kupitia Dr TULIA,Afya afrika tulimpata DR NDUGULILE[marehemu] kwenye biashara Tumesikia Rais RUTO anasema Tanzania tunaongoza Afrika Mashariki.

Twende kwenye michezo,Timu za Taifa ziko kwenye fainali za mataifa ya afrika morocco 2025,tunaandaa CHAN,na tutaandaa AFCON 2027

Njoo kwenye Elimu kila kata katika nchi hii utakuta madarasa mapya ya kisasa ,shule za mfano za wasichana kila mkoa ,shule kongwe zimekarabatiwa

Twende kwenye uchukuzi ,SGR mtelezo ,viwanja vya ndege vinajengwa ,swala la nishati safi ya kupikia tunaona watanzania walivyolipokea, mitungi kila sehemu kwa kweli tumpe maua yake ,

Hakuna eneo kwenye jamii ambalo mama ajaweka upendo wake ..twendeni tukampe maua yake
Rais wa jamhuri ya muungano wa TANZANIA Mhe Dr Samia Suluhu ameendelea kuwa kiongozi bora mwenye maono ya mbali na yenye maslai kwa watanzania,afrika mashariki,afrika na Dunia kwa ujumla,tunakuombea Rais wetu,watanzania tupu nyuma yako

Dunia sio uyole mzee
 
Back
Top Bottom