Tumpe zawadi iliyo bora Freeman Mbowe

Hakuwekwa ndani kwa kudai katiba, kudai katiba ni haki ya wananchi ila kwa kufuata sheria na mda mwafaka. Sababu aliyosema Mama ndiyo husika, acha mahakana ifanye kazi yake.
Hoja hii ni kwaajili ya wenye akili. Wanaoweza kuona mambo hata yaliyo nyuma ya pazia.
 
Asante sana mleta uzi. Mko wangapi wa-Tanzania wa aina yako. Mungu awabariki sana. Haki ni asili ya mema yote, haina Chama wala Kabila wala Dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…