Tumpongeze Adolf Rishard kwa kukataa hongo

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
168
kwa kweli mpira wa tanzania umeingiliwa

kuna habari kuna timu ilitaka kumpa rushwa kocha wa polisi moro shs milioni kumi ili awachie ushindi uwanjani kocha alikataa katakata.

huyo mtoa hongo ambae ni dalali wa hiyo timu na ambaye mjumbe wa tff akaongea na kipa.walipoonda kipa wao atanawachuza kocha wa polisi akaambia wachezaji wake walinde goli watumie kaunta atake kushambulia.

dalali wa kazi hiyo na timu husika majina yao tunayahifadhi.

NDIO SOKA LA BONGO
 
sioni ukweli wowote kwenye hii taarifa maana umezidisha chumvi
 
JF huwa mambo hayafichwi, zaidi ya hapo utaonekana mzushi...
 
Habari nyingine ngumu sn kuziamini,kama unataka iwe siri kwanini umeileta huku?
 
wakimataifa kama huyo kipa wa polisi moro alikubali huo mlungura.. Lazima angefungwa tu, maana naamini japo moro walikua wanacheza kaunta lazima mipira ilikua inafika langoni kwao.
 
Last edited by a moderator:

wakimataifa hizi tuhuma si ndogo.Tafadhali ninakuomba uni pm unijuze zaidi au nitumie email president@tff.or.tz au tuwasiliane kwa whttsup +255754815543.Tafadhali sana tusaidiane kuondoa huu uozo kwenye mpira.
 
Last edited by a moderator:
wakimataifa hizi tuhuma si ndogo.Tafadhali ninakuomba uni pm unijuze zaidi au nitumie email president@tff.or.tz au tuwasiliane kwa whttsup +255754815543.Tafadhali sana tusaidiane kuondoa huu uozo kwenye mpira.
afadhali mkuu umekuja mwenyewe,naomba kama ikithibitika ni kweli basi rungu lifanye kazi kama kwa othuman kazi yule mwamuzi aliyekiri kupokea mrungura
 

Si useme ni Simba tu
 
wakimataifa hizi tuhuma si ndogo.Tafadhali ninakuomba uni pm unijuze zaidi au nitumie email president@tff.or.tz au tuwasiliane kwa whttsup +255754815543.Tafadhali sana tusaidiane kuondoa huu uozo kwenye mpira.
Mkuu kama unategemea huyu jamaa akuletea habari za maana kuhusu hizo accusations atakupotezea tu muda wako wa kufanya mambo yako ya maana ya kujenga shirikisho na kuboresha mpira wetu.

Jana alikuja na thread yenye kichwa cha habari "Mtibwa walihongwa au walichoka" akakosa watu wa kumsapoti na hiyo thread yake, leo tena kaibuka na thread yenye maudhui yale yale na kwa kutumia tafakuri tunduizi huyu jamaa anataka kuhalalisha alichosema kwenye ile thread ile ya Mtibwa ni kwamba kwa sababu kocha wa polisi morogoro alikataa hongo ndo maana timu yake haikufungwa lakini Mtibwa waliopokea hongo ndo maana wakapigwa tano. Nawaza tu kwa sauti, unaweza kuungana na mimi kuwaza hayo au ukaenda mbali zaidi ya hapo.
 
Last edited by a moderator:
nachukia sana watu waongo wanaopenda kuzusha mambo wakitaka sifa za kijinga ili nao waonekane wapo.... hii kitu imekaa kizushi
 
masuke huo ni mtazamo wako na hisia zako tu ila ukweli wenyewe anao mtoa maada kwa nini umvunje moyo na kumkatisha tamaa badala ya kumpa ushirikiano kwa manufaa ya soka la bongo
 
masuke huo ni mtazamo wako na hisia zako tu ila ukweli wenyewe anao mtoa maada kwa nini umvunje moyo na kumkatisha tamaa badala ya kumpa ushirikiano kwa manufaa ya soka la bongo

Mkuu thread zingine ni kupotezeana muda tu, angalia hii thread alikuja nayo 11th February 2015.
https://www.jamiiforums.com/sports/802805-mtibwa-kahongwa-au-alichoka.html

halafu baadaye akaja na hii, https://www.jamiiforums.com/sports/803460-tumpongeze-adolf-rishard-kwa-kukataa-hongo.html; ndani ya siku mbili mtu yule yule anakuja na shutuma zile zile lakini tofauti inakuwa ni wale anaowahusisha halafu shutuma zenyewe hazina maelezo ya kutosha.

Sitetei rushwa lakini hii imekuwa ni kawaida kwa baadhi yetu kushutumu timu zingine zinahonga endapo hizo timu zinakimbizana au kuzizidi timu tunazozipenda/tunazozishabikia kwenye msimamo wa ligi. Kwa namna ya shutuma zinazotolewa unaanzaje kumpa ushirikiano au na wewe unaingia kwenye mkumbo kama huo wa kumpongeza Mohamed Adolf Richard kwa kukataa hongo wala hata hujui hiyo hongo alitaka kupewa na nani.
 
Post ya kitoto tupa kule.Kama unaushahidi sasa unaficha nini?
 

Wewe tulia Rais akusanye ushahidi mbona umeanza kutapatapa mapema naamini Rais anataka pa kuanzia kufanya uchunguzi kwani hujui soka letu lina rushwa kubwa hadi FIFA wametuma watu kwa uchunguzi, umesahau Kado alipokuwa Mtibwa nini kilitaka kutaka kutokea dhidi ya Timu moja kubwa ya Dar es salaam naomba umuache Rais awe huru kufatilia maana taarifa kama hizi si za kupuuza kwa hoja zako nyiepesi hivyo.
 

Hivi ile kesi ya kado na ile timu iliyotaka kumrubuni ili apitishe magoli kimbeleko mbeleko iliishia wapi!!? Timu kama hizi ni za kushushwa daraja kama walivyokafanywa Juventus kule Italy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…