wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
kwa kweli mpira wa tanzania umeingiliwa
kuna habari kuna timu ilitaka kumpa rushwa kocha wa polisi moro shs milioni kumi ili awachie ushindi uwanjani kocha alikataa katakata.
huyo mtoa hongo ambae ni dalali wa hiyo timu na ambaye mjumbe wa tff akaongea na kipa.walipoonda kipa wao atanawachuza kocha wa polisi akaambia wachezaji wake walinde goli watumie kaunta atake kushambulia.
dalali wa kazi hiyo na timu husika majina yao tunayahifadhi.
NDIO SOKA LA BONGO
kuna habari kuna timu ilitaka kumpa rushwa kocha wa polisi moro shs milioni kumi ili awachie ushindi uwanjani kocha alikataa katakata.
huyo mtoa hongo ambae ni dalali wa hiyo timu na ambaye mjumbe wa tff akaongea na kipa.walipoonda kipa wao atanawachuza kocha wa polisi akaambia wachezaji wake walinde goli watumie kaunta atake kushambulia.
dalali wa kazi hiyo na timu husika majina yao tunayahifadhi.
NDIO SOKA LA BONGO