kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Huyo ni mwenzio anatusemea...Mnajaza ujinga tu kwakuwa server hamlipii.
Simba sio wajinga...walimwacha kipindi yuko hot ndo itakua sasa kashatumika kachokaHapana. Aende Azam au Singida. Huku hatumtaki tena.
Mwenzangu ni mke wangu tu.Huyo ni mwenzio anatusemea...
HewalaaaMwenzangu ni mke wangu tu.
Azam Fc hatumtaki Mwana asiye na adabu hata kwa Rais wa NchiHapana. Aende Azam au Singida. Huku hatumtaki tena.
Kwani azam ina mashabiki ..?😁😁Azam Fc hatumtaki Mwana asiye na adabu hata kwa Rais wa Nchi
Mumemshindwa huko utopolo mnafikiri Simba ndiyo jalala?Ni muda sahihi kwa sisi simba kumrudisha toto tundu msimbazi. Ni toto tundu lakini kipaji kipo anaweza kutusaidia sana pale mbele akiwa na saido na chama.
Chondechonde viongozi na benchi la ufundi mtusaidie hapa toto tundu arudi nyumbani
Simba
Nguvu moya
Huyo ni mtopolo mwenzako anafanya kejeli tu kwa SimbaMnajaza ujinga tu kwakuwa server hamlipii.
Haijarishi, mtu yeyote anayeleta ujinga ataambiwa, siungi mtu mkono kwa kanuni ya kwamba tupo team moja.Huyo ni mtopolo mwenzako anafanya kejeli tu kwa Simba