Tumrudishe Morrison Msimbazi

Tumrudishe Morrison Msimbazi

Haijarishi, mtu yeyote anayeleta ujinga ataambiwa, siungi mtu mkono kwa kanuni ya kwamba tupo team moja.

Ndio maana msimamo wangu uko wazi hatumuhitaji Manara Yanga, GSM wachukuwe hii takataka yao wakaipe ajira huko GSM.

Au TFF wamfungie maisha, huyu ni kirusi kibaya kwenye mpira.
Naunga mkono hoja
 
Haijarishi, mtu yeyote anayeleta ujinga ataambiwa, siungi mtu mkono kwa kanuni ya kwamba tupo team moja.

Ndio maana msimamo wangu uko wazi hatumuhitaji Manara Yanga, GSM wachukuwe hii takataka yao wakaipe ajira huko GSM.

Au TFF wamfungie maisha, huyu ni kirusi kibaya kwenye mpira.
Siwezi kuwa utopolo na wala sihitaji support yoyote ya kijinga
 
Ni muda sahihi kwa sisi Simba kumrudisha Morrison (toto tundu) Msimbazi. Morrison ni toto tundu lakini kipaji kipo, anaweza kutusaidia sana pale mbele akiwa na Saido na Chama.

Chondechonde viongozi na benchi la ufundi, mtusaidie hapa Morrison arudi nyumbani.

Simba Nguvu Moya
Hizi ni aibu tu ndizo zinazowasumbua . Morison mlipelekana naye hadi CAS . Cha ajabu baada ya kumaliza mkataba wake simba mkamshobokea . Bahati mbaya akamdharirisha rais wenu mbele ya Rais pale Ikulu.

Kwahiyo hizi mada mnazoanzisha niza kujitoa aibu ili muone Mashabiki wa simba wanasemaje. Bahati mbaya Mashabiki wa simba huwa siyo washobokaji kama wale wa Yanga .
IMG-20220420-WA0001.jpg
 
Wako Morrison wengi tu, its a matter of scouting
Huu ni uongo.
Hao wengi utawapata wapi?

Ni bahati kupata mtu mwenye skills za mpira kama Morrison.
Bahati mbaya tu ana tabia tata.Lakini ingekuwa mimi ndiye nahusika kusajili,nisingemuacha.Paka ni paka tu bora anakamata panya
 
Akipata uraia wa Tz sawa ila kama bado ni international player hatufai
 
Labda akishapata uraia,
asajiliwe kwa nafasi za wazawa aungane na mdogo wake Kibu Denis
 
Tupo tayari kumrudisha lakini tumlipe kulingana na dakika atakazocheza. Hatuwezi kumlipa mfanyakazi hewa
 
Back
Top Bottom