LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Wana JF,
Kuna jamaa yangu mmoja anaomba ushauri wa kiafya na kisaikolojia.
Yeye ni mwanafunzi wa Masters, na analalamika kwamba mwalimu wake anamsumbua sana.
Siku za hivi karibuni anadai amekuwa na wasiasi na uwonga mkubwa sana bila kujua chanzo ni nini.
Akipanda hata lift (elevator), ule mshituko wa kuondoka na kusimama anakuwa anaogopa sana kitu
ambacho hakuwa nacho kabla. Mbaya zaidi mwezi uliopita alipanda denge ambapo tangu kuondoka
mpaka kufika alikuwa na wasiwasi mkubwa kitu ambacho hakuwa nacho kabla.
Sasa amenieleza mimi tatizo lake hilo nikamwambia tutazungumza.
Naombeni msaada wenu wana JF
Kuna jamaa yangu mmoja anaomba ushauri wa kiafya na kisaikolojia.
Yeye ni mwanafunzi wa Masters, na analalamika kwamba mwalimu wake anamsumbua sana.
Siku za hivi karibuni anadai amekuwa na wasiasi na uwonga mkubwa sana bila kujua chanzo ni nini.
Akipanda hata lift (elevator), ule mshituko wa kuondoka na kusimama anakuwa anaogopa sana kitu
ambacho hakuwa nacho kabla. Mbaya zaidi mwezi uliopita alipanda denge ambapo tangu kuondoka
mpaka kufika alikuwa na wasiwasi mkubwa kitu ambacho hakuwa nacho kabla.
Sasa amenieleza mimi tatizo lake hilo nikamwambia tutazungumza.
Naombeni msaada wenu wana JF