Tumsaidie huyu ndugu: Shemeji yake anamtaka akimkataa atamwambia dada yake

Tumsaidie huyu ndugu: Shemeji yake anamtaka akimkataa atamwambia dada yake

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Huyu bwana kanijia na jambo Lake kwakuwa ananiona nabusara naweza mpa ushauri, lakini na mimi naona kama nakosa majibu tumsaidie.

Nyumbani kwake kaja kuishi shemeji yake, ni binti mbichi tu.

Sasa shemeji anamtaka jamaa, na kamfungukia huyu ndugu.

Ila jamaa , anamwambia hilo haliwezekani kwakua kamuoa dada yake.

Binti anasisitiza mahusiano anadai akizidi kumkataa atamwambia dada yake kuwa jamaa kamtongoza.

Jamaa ana mashaka;

1. Dada akiambiwa kuwa anamtongoza mdogo wake atachukuliaje.

2. Akimkubali shemeji dada akijua , itakuwa mwisho wa ndoa.

Jamaa, afanyaje,

1. Amkubali shemeji.

2. Amkatae?

3. Amfukuze?
 
huyu ni mwanaume wa dar kila kitu wanaomba ushauri jambo la kumaliza mwenyewe anashirikisha watu.

Ale mzigo asilete ulokole, kama hawezi kula mzigo amtafutie ushahidi wa kutosha usiokua na shaka wa shemeji yake kumtakata awe nao.
 
huyu ni mwanaume wa dar kila kitu wanaomba ushauri jambo la kumaliza mwenyewe anashirikisha watu

Ale mzigo asilete ulokole, kama hawezi kula mzigo amtafutie ushahidi wa kutosha usiokua na shaka wa shemeji yake kumtakata awe nao
Akila mzigo , dada mtu akijua si ndio mwisho wa ndoa??
 
Aende Takukuru akaandike record ya kuwa mwanaume wa kwanza kushtaki takukuru kuombwa rushwa ya ngono
Akuenda huko mkewe atahoji huo muda wa yeye kukaa na kutongozana na mdogo wake unapatikanaje?
 
Huyu bwana kanijia na jambo Lake kwakuwa ananiona nabusara naweza mpa ushauri, lakini na mimi naona kama nakosa majibu tumsaidie.

Nyumbani kwake kaja kuishi shemeji yake, ni binti mbichi tu.

Sasa shemeji anamtaka jamaa, na kamfungukia huyu ndugu.

Ila jamaa , anamwambia hilo haliwezekani kwakua kamuoa dada yake.

Binti anasisitiza mahusiano anadai akizidi kumkataa atamwambia dada yake kuwa jamaa kamtongoza.

Jamaa ana mashaka ;

1. Dada akiambiwa kuwa anamtongoza mdogo wake atachukuliaje.

2. Akimkubali shemeji dada akijua , itakuwa mwisho wa ndoa.

Jamaa, afanyaje,

1. Amkubali shemeji.

2. Amkatae?

3. Amfukuze?
Amkubali shemeji
 
Ukweli humuweka huru mtu aachane na hyo programme bila kujali nini kitatokea lakin kuna siku ukweli utajulikana

Akimla na huyo dg akaanza kumzarau dada yake na kumthibitishia kuwa mumewe kamla hyo leakage ni ngumu kuiziba na kujenga tena kunaweza kuwa na ugumu mno.

Mwanaume kamili anachora mstari kati ya vinavyopaswa kuliwa na visvyopaswa kuliwa na mstari huo hauvuki kwa vyovyote vile

Niliwahi kukwepa kiunzi cha binti wa mtu ambaye ningeendekeza tamaa pengine asingeweza kunisaidia mpka kufika hapa nilipofika (kielimu) knowing yourself means controlling yourself
 
Akila mzigo , dada mtu akijua si ndio mwisho wa ndoa??
Nimestuka , Stroke huyo mtu ni wewe mwenyewe unatafuta uhalali tu wa kumtafuna huyo demu, hiyo ni halali yako kabisa usipomla wajinga wengine watamtafuna wakati wewe ndiye unamlisha, ruka naye mwanangu.
 
Huyu bwana kanijia na jambo Lake kwakuwa ananiona nabusara naweza mpa ushauri, lakini na mimi naona kama nakosa majibu tumsaidie.

Nyumbani kwake kaja kuishi shemeji yake, ni binti mbichi tu.

Sasa shemeji anamtaka jamaa, na kamfungukia huyu ndugu.

Ila jamaa , anamwambia hilo haliwezekani kwakua kamuoa dada yake.

Binti anasisitiza mahusiano anadai akizidi kumkataa atamwambia dada yake kuwa jamaa kamtongoza.

Jamaa ana mashaka ;

1. Dada akiambiwa kuwa anamtongoza mdogo wake atachukuliaje.

2. Akimkubali shemeji dada akijua , itakuwa mwisho wa ndoa.

Jamaa, afanyaje,

1. Amkubali shemeji.

2. Amkatae?

3. Amfukuze?
Na kweli huna busara wewe na rafiki yako.
Enzi ya technolojia hii si amrekodi kwa siri?
 
Akuenda huko mkewe atahoji huo muda wa yeye kukaa na kutongozana na mdogo wake unapatikanaje?
Basi amrecord kwa simu jinsi huyo bint anavyomtongoza, demu akisema anampenda ye ajibu "mi naogopa" demu akiuliza unaogopa nini yeye ajibu "mi nampenda dada yako" demu akisema dada hawezi kujua jamaa ajibu "Nipe muda nikafikirie ombi lako" demu akisema mwanaume unafikiria nini? Jamaa ajibu "Naogopa utaniharibia uvulana wangu"

Akimaliza kurecord ampelekee mke wake.
 
Nimestuka , Stroke huyo mtu ni wewe mwenyewe unatafuta uhalali tu wa kumtafuna huyo demu, hiyo ni halali yako kabisa usipomla wajinga wengine watamtafuna wakati wewe ndiye unamlisha, ruka naye mwanangu.
Mawazo ya mlevi...kei ni kei tu isikuharibie mahusiano
 
Back
Top Bottom