Tumsaidie huyu ndugu: Shemeji yake anamtaka akimkataa atamwambia dada yake

Tumsaidie huyu ndugu: Shemeji yake anamtaka akimkataa atamwambia dada yake

Nishawahi kutogozwa na shagazi, nikala mzingo sembuse shemeji tu. Ana tatizo la nguvu hao
 
Akila mzigo , dada mtu akijua si ndio mwisho wa ndoa??
mwisho wa ndoa ya wapi? unadhani hajui ndoa ngumu waoaji wanatunza kibunda na watoto wa 2006 wana miaka 18 wako tayari kwa ndoa ushindani mkubwa.
 
Mwanaume unakosaje maamuzi kwa kitu kidogo hivi,kwanza kitendo cha huyo shemeji kumtongoza inaonekana ni mwanaume legelege asiyejitambua.
Si afukuze huyo dogo,dada yake naye akileta ujinga fukuza wote.
Ameshindwa hata kutunza ushahidi,kwanza hawatakiwi kufika kote huko.
Wanaume bado wapo
 
20240910_234515.jpg
 
Huyu bwana kanijia na jambo Lake kwakuwa ananiona nabusara naweza mpa ushauri, lakini na mimi naona kama nakosa majibu tumsaidie.

Nyumbani kwake kaja kuishi shemeji yake, ni binti mbichi tu.

Sasa shemeji anamtaka jamaa, na kamfungukia huyu ndugu.

Ila jamaa , anamwambia hilo haliwezekani kwakua kamuoa dada yake.

Binti anasisitiza mahusiano anadai akizidi kumkataa atamwambia dada yake kuwa jamaa kamtongoza.

Jamaa ana mashaka ;

1. Dada akiambiwa kuwa anamtongoza mdogo wake atachukuliaje.

2. Akimkubali shemeji dada akijua , itakuwa mwisho wa ndoa.

Jamaa, afanyaje,

1. Amkubali shemeji.

2. Amkatae?

3. Amfukuze?
Kwangu, kama kweli jamaa hataki kumla huyo mdogo wa mkewe, basi aseme na mkewe kwamba dogo anazingua
 
Huyu bwana kanijia na jambo Lake kwakuwa ananiona nabusara naweza mpa ushauri, lakini na mimi naona kama nakosa majibu tumsaidie.

Nyumbani kwake kaja kuishi shemeji yake, ni binti mbichi tu.

Sasa shemeji anamtaka jamaa, na kamfungukia huyu ndugu.

Ila jamaa , anamwambia hilo haliwezekani kwakua kamuoa dada yake.

Binti anasisitiza mahusiano anadai akizidi kumkataa atamwambia dada yake kuwa jamaa kamtongoza.

Jamaa ana mashaka ;

1. Dada akiambiwa kuwa anamtongoza mdogo wake atachukuliaje.

2. Akimkubali shemeji dada akijua , itakuwa mwisho wa ndoa.

Jamaa, afanyaje,

1. Amkubali shemeji.

2. Amkatae?

3. Amfukuze?
Huyo binti ni manipulative tazama maneno yake.Ukiwa naye tayari umekuwa mtumwa wake subiri kuletewa mimba na ukikataa anamwaga ushahidi wote wa mapenzi yenu kwa dada yake.Sasa chagua kusafirisha au kuzika hapa hapa..
 
Kula tu mjomba, ukiacha kumla ataliwa na mwingine pia ukimweleza mkeo hata kuamini, ndoitakuwa chanza cha mgogoroo, kula kistaarab kabisa
 
Isijekua mtego/mchongo wa dada yake, hakika kwa akili kama zako atakua kaishakuchoka anatafuta sababu akuache solemba.
 
Back
Top Bottom