Tumsaidie mawazo huyu dogo tafadhali!

Mpeleke Garage akapige spana najua miezi 3 tu ataiva kama yuko bongo kujaribu kumuombea pale n
Nduvini auto works nimeona wadada wapo pale mafundi wazuri tu Wanaweza kumsaidia bi dada mwenzao.

na huko akipata zero?
 

kwa hiyo jamaa NDUNDA au MBURULA SIO?. Auze ungaa ndio biashara usiohitaji ubongo. Meza kete kamata pesa hawezi pata ziro tena.
 
mkuu sio ww kweli,any way anaweza akahamia kwenye ufundi ie veta
 
kwani we unazijua? Kama unazijua ungeziweka hapa ili kumsaidia na siyo kuja kuonesha umwamba wako wa kumpinga mtu hapa...

Hapa tupo tunatoa ushauri
 
kwa ushauri wangu mimi nibora huyo dogo aende veta huenda mungu akamuonesha njia.
 
Aende LUMUMBA kuna kazi zipo pale za kuja huku JF kuchafua hali ya hewa...wanalipa buku saba kwa siku
 
Certificate in hair dressing and mabibi harusi rembaring inalipa sana nowadays
 
kwa hiyo jamaa NDUNDA au MBURULA SIO?. Auze ungaa ndio biashara usiohitaji ubongo. Meza kete kamata pesa hawezi pata ziro tena.

Mfanyie mpango wa mtaj ili uwe na share kwenye hiyo biashara na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…