Tumsaidie Rais kupata majina ya watu wanaofaa kupewa uwaziri, anatusikiliza

Tumsaidie Rais kupata majina ya watu wanaofaa kupewa uwaziri, anatusikiliza

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mhe. Rais anatamamani Sana kupata watu wakumsaidia kwenye uwaziri; lakini may be Hana majina mengi ya watu wanaofaa na hivyo kulazimika kutumia majina yale yale.

Great thinkers tunaweza kutumia fursa hii kumsaidia baadhi ya majini anayoweza kuyatupia macho aboreshe Baraza la Mawaziri

Uzi huu utusaidie kuwataja, may be unamfahamu vyema Mbunge wako, unamfaham vipi mkurugenzi WA taasisi flani au Una MTU yupo ngambo ungetamani arejeshwe nchini kutusaidia sekta flani mtaje.......


Lakini pia unaweza kutaja waziri au Naibu waziri unayedhani NI mzigo Kwa Baraza lililopo
 
Ingekuwa hizo nafasi zinaombwa kulingana na taaluma ya mtu ningependekeza ila kumbuka ni nafasi zilizo jaa siasa na kujuana hivyo ni ngumu kupelekea utendaji sahihi kwa walengwa

Tunao waziri wa kilimo kabla hajawa waziri alikuwa vizuri sana ila saiz tunaona matokeo yake hayawezi kumsaidia mkulima tena
 
Kuna yule mbunge,sijajua labda ni kwasababu hajakaa muda mrefu bungeni au tatizo ninini,ila ni kichwa haswa na ni mtu wa kufanya tafiti za kina kabla hajajengea hoja jambo flani,jina la huyo mbunge ni DEUS SANGU,apewe uwaziri huyo jamaa.
Anajua mambo mengi sana,ila sijajua kama wanaompelekea majina mama,hawamuoni au nini,sijui.
 
CCM Wa recruit vijana hodari ambao wapo na wanaonekana kwa miaka hii miwili ili baada ya uchaguzi wawatumie kuongoza nchi mbona tuna hazina kubwa sana ya watu.
 
Hata ukiingia ikulu leo , kwa list ya wabunge waliopo huwezi kupata waziri mwenye sifa na mchapa kazi, tuombe uchaguzi mkuu 2025 watu washindanishwe na kura zipigwe na kuhesabiwa kiuhalali hapo ndipobunaweza kuwapata mawaxiri
 
🔛Elimu na ufundi - ndugu kishimba

🔛 Uchumi fedha - ndugu kimei

🔛Ardhi nyumba makazi - ndugu lukuvi

🔛Chakula mifugo ndugu mpina

🔛Ajira Sera mipango ndugu jafo

🔛 Bunge utawala bora ndugu A kairuki

🔛Maji na mifugo ndugu Waitara

🔛Madini na Biashara ndugu Biteko

🔛Nishati Teknologia ndugu kalemani

🔛Habari Sanaa michezo ndugu katambi

🔛Afya maendeleo jamii ndugu mwalimu

🔛Sheria na katiba ndugu mdee

🔛Mambo ya nje ndugu mulamula

🔛Mambo ya ndani ndugu simbachawene

NOTE: Bunge hili wabunge waliopo sio wachapakazi wala hawana uwezo wa kujenga hoja na kumshawishi mwananchi na serikali kipi kiwe na kipi kisiwe Ila hao at least wanaweza sogeza kitu mahali.

Pia nakuomba Rais niteuwe Mimi kuwa mjumbe wa Biashara za ndani na nje ya mipaka naamini nitakuletea pesa za kigeni nyingi ndani ya miezi sita ya kwanza utaona kitu.

Kama hutojali nipe nafasi niongoze shirika la nyumba la Taifa na tulete Imani ya makazi kwa watanzania wa kipato Cha chini na Kati waweze kununua nyumba hzo sio sasa matajir tuu ndio wanufaika.

Nipe nafasi nikuwakilishe kwenye moja ya shirika (NSSF, Atcl, TTCL, NHIF& Namengineyo)ambalo unaona haliendi vizuri nipe hyo nafasi Mambo yatakaa sawa ndani ya muda mfupi.

Moja Kati ya nafasi utakayonipa nitahakikisha tutapata matokeo chanya Mimi pamoja na watendaji ambao nitawakuta au utatuongezea kwa maslai ya Taifa la Tanzania.

naomba uweke historia kuwa unajali wanachi wa Hali zote basi niteuwe niwawakilishe vijana fresh from JF hapo utajua kuwa kumbe Taifa hili lina watu wazalendo wachapakazi rejea komenti na post zangu hapa JF.
 
Back
Top Bottom