Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Atoe tangazo watu watume maombi.may be Hana majina mengi ya watu wanaofaa na hivyo kulazimika kutumia majina yale yale.
Mbona tupo wengi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atoe tangazo watu watume maombi.may be Hana majina mengi ya watu wanaofaa na hivyo kulazimika kutumia majina yale yale.
Alimpa kwa sababu Maalum, kama ishara ya kuweka mahusiano vizuri baada ya kidogo kupishana maneno na vitendoNilitarajia mke wa JPM apewe ubunge kama JPM alivyompatia Salima kikwete ubunge wa bure.
Huyu si nasikia anakuja kugombea kwetu Peramiho 2025, jenista watagawana jimbo.Nilitarajia mke wa JPM apewe ubunge kama JPM alivyompatia Salima kikwete ubunge wa bure.
Wee hufai kuwa DC, familia imekushinda sasa unaongoza vipi wana nchi wa kibaha??Apewe mdude nyagali mpaluko
Mbona kwao Isagehe hakuna maendeleo?Kishimba wasimsahau elimu,jembe sana yule. Faza
Ni mkabila aliyekubuhu. HAFAIFedha pale anafaa yule aliekuwa mkurugenzi wa crdb,kimey
Sukuma Gang hawawezi pewa nafasi tena.🔛Elimu na ufundi - ndugu kishimba
🔛 Uchumi fedha - ndugu kimei
🔛Ardhi nyumba makazi - ndugu lukuvi
🔛Chakula mifugo ndugu mpina
🔛Ajira Sera mipango ndugu jafo
🔛 Bunge utawala bora ndugu A kairuki
🔛Maji na mifugo ndugu Waitara
🔛Madini na Biashara ndugu Biteko
🔛Nishati Teknologia ndugu kalemani
🔛Habari Sanaa michezo ndugu katambi
🔛Afya maendeleo jamii ndugu mwalimu
🔛Sheria na katiba ndugu mdee
🔛Mambo ya nje ndugu mulamula
🔛Mambo ya ndani ndugu simbachawene
NOTE: Bunge hili wabunge waliopo sio wachapakazi wala hawana uwezo wa kujenga hoja na kumshawishi mwananchi na serikali kipi kiwe na kipi kisiwe Ila hao at least wanaweza sogeza kitu mahali.
Pia nakuomba Rais niteuwe Mimi kuwa mjumbe wa Biashara za ndani na nje ya mipaka naamini nitakuletea pesa za kigeni nyingi ndani ya miezi sita ya kwanza utaona kitu.
Kama hutojali nipe nafasi niongoze shirika la nyumba la Taifa na tulete Imani ya makazi kwa watanzania wa kipato Cha chini na Kati waweze kununua nyumba hzo sio sasa matajir tuu ndio wanufaika.
Nipe nafasi nikuwakilishe kwenye moja ya shirika (NSSF, Atcl, TTCL, NHIF& Namengineyo)ambalo unaona haliendi vizuri nipe hyo nafasi Mambo yatakaa sawa ndani ya muda mfupi.
Moja Kati ya nafasi utakayonipa nitahakikisha tutapata matokeo chanya Mimi pamoja na watendaji ambao nitawakuta au utatuongezea kwa maslai ya Taifa la Tanzania.
naomba uweke historia kuwa unajali wanachi wa Hali zote basi niteuwe niwawakilishe vijana fresh from JF hapo utajua kuwa kumbe Taifa hili lina watu wazalendo wachapakazi rejea komenti na post zangu hapa JF.
Mimi sijawahi kuona rais wa ajabu kam wa kwetuJumaa Aweso ni miongoni mwa mawaziri mizigo.
Dr.Nchimbi na Wiliam Lukuvi wamemuudhi nini mama mpaka anacha hizi chapakazi badala yake anateuwa mawaziri dhaifu wasio wachapakazi?
Yupoje?Mimi sijawahi kuona rais wa ajabu kam wa kwetu
Amchukue Maxence Melo wizara ya Nape.Mhe. Rais anatamamani Sana kupata watu wakumsaidia kwenye uwaziri; lakini may be Hana majina mengi ya watu wanaofaa na hivyo kulazimika kutumia majina yale yale.
Great thinkers tunaweza kutumia fursa hii kumsaidia baadhi ya majini anayoweza kuyatupia macho aboreshe Baraza la Mawaziri
Uzi huu utusaidie kuwataja, may be unamfahamu vyema Mbunge wako, unamfaham vipi mkurugenzi WA taasisi flani au Una MTU yupo ngambo ungetamani arejeshwe nchini kutusaidia sekta flani mtaje.......
Lakini pia unaweza kutaja waziri au Naibu waziri unayedhani NI mzigo Kwa Baraza lililopo
Yeyote atakayekuwa ni labda wa afadhali lakini siyo anayefaa.Mhe. Rais anatamamani Sana kupata watu wakumsaidia kwenye uwaziri; lakini may be Hana majina mengi ya watu wanaofaa na hivyo kulazimika kutumia majina yale yale.
Great thinkers tunaweza kutumia fursa hii kumsaidia baadhi ya majini anayoweza kuyatupia macho aboreshe Baraza la Mawaziri
Uzi huu utusaidie kuwataja, may be unamfahamu vyema Mbunge wako, unamfaham vipi mkurugenzi WA taasisi flani au Una MTU yupo ngambo ungetamani arejeshwe nchini kutusaidia sekta flani mtaje.......
Lakini pia unaweza kutaja waziri au Naibu waziri unayedhani NI mzigo Kwa Baraza lililopo
Madini waziri awe Prof Shukuru Manya. Doto biteko ni mpigaji sana.🔛Elimu na ufundi - ndugu kishimba
🔛 Uchumi fedha - ndugu kimei
🔛Ardhi nyumba makazi - ndugu lukuvi
🔛Chakula mifugo ndugu mpina
🔛Ajira Sera mipango ndugu jafo
🔛 Bunge utawala bora ndugu A kairuki
🔛Maji na mifugo ndugu Waitara
🔛Madini na Biashara ndugu Biteko
🔛Nishati Teknologia ndugu kalemani
🔛Habari Sanaa michezo ndugu katambi
🔛Afya maendeleo jamii ndugu mwalimu
🔛Sheria na katiba ndugu mdee
🔛Mambo ya nje ndugu mulamula
🔛Mambo ya ndani ndugu simbachawene
NOTE: Bunge hili wabunge waliopo sio wachapakazi wala hawana uwezo wa kujenga hoja na kumshawishi mwananchi na serikali kipi kiwe na kipi kisiwe Ila hao at least wanaweza sogeza kitu mahali.
Pia nakuomba Rais niteuwe Mimi kuwa mjumbe wa Biashara za ndani na nje ya mipaka naamini nitakuletea pesa za kigeni nyingi ndani ya miezi sita ya kwanza utaona kitu.
Kama hutojali nipe nafasi niongoze shirika la nyumba la Taifa na tulete Imani ya makazi kwa watanzania wa kipato Cha chini na Kati waweze kununua nyumba hzo sio sasa matajir tuu ndio wanufaika.
Nipe nafasi nikuwakilishe kwenye moja ya shirika (NSSF, Atcl, TTCL, NHIF& Namengineyo)ambalo unaona haliendi vizuri nipe hyo nafasi Mambo yatakaa sawa ndani ya muda mfupi.
Moja Kati ya nafasi utakayonipa nitahakikisha tutapata matokeo chanya Mimi pamoja na watendaji ambao nitawakuta au utatuongezea kwa maslai ya Taifa la Tanzania.
naomba uweke historia kuwa unajali wanachi wa Hali zote basi niteuwe niwawakilishe vijana fresh from JF hapo utajua kuwa kumbe Taifa hili lina watu wazalendo wachapakazi rejea komenti na post zangu hapa JF.
Well said. Shukuru Manya would be the best placement.Madini waziri awe Prof Shukuru Manya. Doto biteko ni mpigaji sana.