Kama Wananchi tunalo jukumu takatifu la kumsaidia mama Samia kuwaondoa serikalini watendaji mizigo wakiwamo Mawaziri.
Hii ni hata kama jukumu hilo linaweza kuwa chungu, hatari au kuwa na consequences kwetu:
Viongozi waongo wakiwamo wasioheshimu haki, wala uhuru wa watu zetu, sheria au wavunja katiba, hawatufai.
Viongozi kama kina katelefoni, pale wizara ya afya au hawa waliotufikisha hapa:
kwa hakika wanatakiwa kutupisha tu.
Tunakaza hapo hapo.
Mwigulu must go!
Hii ni hata kama jukumu hilo linaweza kuwa chungu, hatari au kuwa na consequences kwetu:
Viongozi waongo wakiwamo wasioheshimu haki, wala uhuru wa watu zetu, sheria au wavunja katiba, hawatufai.
Viongozi kama kina katelefoni, pale wizara ya afya au hawa waliotufikisha hapa:
kwa hakika wanatakiwa kutupisha tu.
Tunakaza hapo hapo.
Mwigulu must go!