Tumsapoti Rais Wa IPU, washangiliaji kama King musukuma na wale wamama wa vigelegele waende wakafanye kazi yao kama wanavofanya Dodoma

Tumsapoti Rais Wa IPU, washangiliaji kama King musukuma na wale wamama wa vigelegele waende wakafanye kazi yao kama wanavofanya Dodoma

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kama nchi tushikamane kwa wakati huu, kazi ya wale wabunge wetu ya kushangilia na kupiga meza inatakiwa wawepo kule IPU.

Kwanza wangeenda wamama wale wanaopigaga vigelegele kwa kila kitu wale waliouliza maswali ya Ukraine wangeipata fresh yao.

Wapelekwe na wale wabunge kama king wanaosemaga order kila saa order na zaidi wapiga meza na kuunga hoja asilimia Mia kwa Mia.

Lazima tushikamane ili dunia itujue vizuri maana wazungu hawatutambui nadhani wanatusikia tu, wakibisha zaidi tuwapelekee wasanii wote wa wasafi wakaimbe hukohuko wasituletee mchezo hao wabunge wa IPU.
 
Musukuma atasema tena bungeni,,watamaind zaidi kiumane
 
Tulia yupo sawa sawa, kumbe lugha ya malkia inapanda vile! Anajua kujibu hoja, big up!
 
Hoja gani aliyojibu pale
Kikubwa anajua kingereza,,,,,,,mengine mbele kwa mbele....., maana wakiendaga wenzangu wa kugalagala wanapondwa hawajui ngeli,,,kikubwa huyu ngeli anaijua mbele kwa mbele uspuni
 
Back
Top Bottom