Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
yeye ni mwanafunz wa mwaka wa kwanza katika chuo flan hapa dar. Alifiwa na mama yake mzazi na akapata taarifa za msiba masaa machache kabla ya kuanza mtihani wake wa kwanza wa kumaliza semister ya pili. Anadai alijkaza akafanya mtihani wa kwanza salama lakini akawa ameomba kutokufanya walau mtihani mmoja ili atulize akili kutokana na msiba wa mzazi wake.
Sasa matokeo yao yametoka na anasema hajafanya vizuri kabisa so anaomba tumpe ushauri wa kama ataweza kuomba chuo kimfutie matokeo yake ya mwanzo ili aweze kufanya mitihani upya kwa kigezo cha kwamba alifanya mitihani ile akiwa kwenye mood mbaya. Mimi binafc nimeshndwa kumshauri coz suala hili liko nje ya uwezo wangu wa kufikiri. Kwa hiyo nikaona niwaletee na nyie wakuu wa humu wenye uwelewa zaidi wa mambo ili muweze kumshauri nin cha kufanya.
Sasa matokeo yao yametoka na anasema hajafanya vizuri kabisa so anaomba tumpe ushauri wa kama ataweza kuomba chuo kimfutie matokeo yake ya mwanzo ili aweze kufanya mitihani upya kwa kigezo cha kwamba alifanya mitihani ile akiwa kwenye mood mbaya. Mimi binafc nimeshndwa kumshauri coz suala hili liko nje ya uwezo wangu wa kufikiri. Kwa hiyo nikaona niwaletee na nyie wakuu wa humu wenye uwelewa zaidi wa mambo ili muweze kumshauri nin cha kufanya.