Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mimi nipo hapa mkuu. Kimsingi sitofautiana sana na mfano aliotoa mtoa mada. Nimeshapewa ushauri na motivational speechs nyingi sana lakini zimekaa kinadharia zaidi. Naomba nisadie ajira au connection mkuu.Nilidhani upo specific na mtu mmoja, kumbe unaongelea collectively?
Watu wa hivyo wapo wengi, na huwezi toa ushauri au solution collectively, it won't work.
Hatuna hela za kuhonga tatizoNyeto ni nuksi na mikosi kwako mwenyewe.
Utajikuta hupendeki popote na Elimu yako na unhand some wako, hufanikiwi kwa kila ufanyalo, chochote unachojaribu kufanya kinabuma at a very bigining...
Hiyo chafu ni mbaya sana, mwisho wake tena ndio mbaya zaidi kitka afya ya uzazi. Unaweza kujiharibu mwenyewe mpaka ukawa tasa au mgumba...
Zaidi sana huko mbeleni unaweza usiwe na pumzi na uwezo waa kurudia tendo au kulifanya kwa ukamili.
Mbaya zaidi ikapeleke kuzalisha mbegu dhaifu zinazoweza kukusababishia kuzalisha watoto wenye kasoro au udhaifu fulani phisically au mentally....
Kiujumla nyeto ni mbaya haina faida ina hasara nyingi sana, haisaidii chochote zaidi ya kujiharibu mwenyewe
Natafuta Ajira
Mkuu pande zipi izo mnapiga izo dili za deiwaka nami nisogee? Kukaa kitaa bila mishe inaboa kinonaMungu atamlinda , kama anavyotulinda sisi sote, ilaa watu wanatoa shauri za kupiga vibarua, na shughuli za hapa na pale hahaha [emoji1787]. Ni kweli na apambane kweli kwelii.
Tupo tunapiga vibarua vya ujenzi na deals za mitaa, aloooh , Ukitoka hapo unapata pesa ,ila kutwa ni kutibu , Mgongo, kiuno , Mikono, uchovuu ,ili kesho uamke , Saving ni mtihani wa kufaulu [emoji2], Yaaani Maisha yanakua Kama adhabu kumbee ndio uhalisia [emoji3]. Unakunywa energy drink day to day zaidi kuliko maji (Mtaani tunaita luuzi Figo [emoji1787])
Yote tutasema, ila atambue yeye Ni mwanaume, na ameumbiwa kazi, Nimejifunza kutoa aibu , ili niishi , Na ninaishi, japo Hata robo ya malengo ya maisha sijagusa na namba inaelekea kusoma C [emoji28].Mtaa una Mambo Sana , apambane TU Kama tunvyo pambana na akubali mauvi (kihisia na mwili)kupata helaa.
#Ikiwezekana mpe simu asome shauri, atapata nguvu ya maisha ili aweze ishi.
#Mungu Atukuzwe.
Sawa, sasa unampa alternative gani maana nyege sio hiyari lazima zitakukamata tu. Na kwa situation ya kijana uliemuongelea sio rahisi kuwa demu permanently, nafikiri unajua kwa sasa wakina dada kipaumbele chao ni pesa. Unamtaka aache nyeto sawa unampa alternative gani? Maana nyege lazima zimkamate hatake hasitake.Nyeto ni nuksi na mikosi kwako mwenyewe.
Utajikuta hupendeki popote na Elimu yako na unhand some wako, hufanikiwi kwa kila ufanyalo, chochote unachojaribu kufanya kinabuma at a very bigining...
Hiyo chafu ni mbaya sana, mwisho wake tena ndio mbaya zaidi kitka afya ya uzazi. Unaweza kujiharibu mwenyewe mpaka ukawa tasa au mgumba...
Zaidi sana huko mbeleni unaweza usiwe na pumzi na uwezo waa kurudia tendo au kulifanya kwa ukamili.
Mbaya zaidi ikapeleke kuzalisha mbegu dhaifu zinazoweza kukusababishia kuzalisha watoto wenye kasoro au udhaifu fulani phisically au mentally....
Kiujumla nyeto ni mbaya haina faida ina hasara nyingi sana, haisaidii chochote zaidi ya kujiharibu mwenyewe
Natafuta Ajira
Nilifanya pale East African polybag, mbagala zakiem, ingawa inabidi utoe kitu ndo wanakupa kazi, pana rushwa hatari.Upo dar? Ulianzia wap, mimi nipo maeneo ya mbagara nilishawahi kujaribu kiwanda cha nywele cha darling pale mbagara rangi 3 nimewahi asubuhi nikakutana na foleni ya kufa mtu wote wanasubiri kuingia
Mikono na skills ni mtaji mkubwa sanamtaji unampasua kichwa anaanzaje
Kwenye kujichua asiache asije baka watoto maana kichupa lazima kijaeHapo kwenye kujichua hapo ndyo papaya
Aache Mara moja kunaleta mikosi isiyoisha
Amtegemee Mungu ila pia ajichanganye na watu..kwenye mengi Kuna mengi...ajira ni ngumu sana tangu 2015...ila kukata tamaa mwiko
Hata kazi ya uchawa kaishindwa,mwambie awasiliane na Lucas mwashambwa nafasi bado zipo nyingi sana.Amemaliza chuo kikuu ngazi ya Shahaada mathalani 2015. Amejitahidi kusaka ajira serikalini na kwenye sekta binafsi tangu wakati huo, mpaka sasa bila bila, na anaelekea kukosa sifa za kuajirika kwa mujibu wa sheria kutoka na kigezo cha umri na uzoefu.
Mambo ni mengi na ni Magumu, na muda ni mchache.
Uzuri wa kijana huyu, ni kwamba hajakata tamaa hata kidogo, ila anaelekea huko taratibu maana mvi zimemzonga hasa.
Na kinachomchochea kukata tamaa ni kwamba, anajiuliza hana hata ka plot au shamba, kijijini kwao wala mjini, hana mchumba wa uhakika wala hata mtoto wa kusingiziwa, faraja yake kwa muda mrefu huenda ni ilikua kujichua tu. Alikua na matumaini ya kupata ajira awe na kipato na mchumba mzuri pia.
Umri umesonga, fedha ngumu haoni cha kufanya, kodi ni shida, kula ni shida, anakwepa hata kushiriki mambo ya kijamii kama vile ndoa na misiba. Ni mnyonge sana hana ujasiri kabisa.
Kijana anasononeka mno, anajuta, ananung'unika na kujisemea mwenyewe moyoni alikosea wapi, mbona kama ni yeye pekeyake tu, anapitia masaibu haya.
Kijana anaona haya na aibu hata kurudi kijijini kwao kwenye maziwa na asali za kutupwa. Rika lake na wadogo zake wa shule, wameoa na kuolewa, wana nyumba nzuri, maisha mazuri, biashara kubwa, kipato kikubwa, wamezaa watoto wazuri, wakubwa wanawasomesha maeneo mbalimbali. Hili linampasua kichwa zaidi kijana huyu.
Kijana akitafakari hayo, moja haikai wala mbili haikai. Umri umesonga, mvi ndio kama zote, anaanza kuchuja na kukongoroka. Anahisi kama ana mkosi, hapendeki wala haitajiki tena kwenye jamii, roho ya kukata tamaa ina mnyemelea na kumkaribia zaidi....
Wapendwa maisha hayana Extra time.
Hebu tusaidiene, tuelimishane, tuelekezane, tupeane moyo na njia katika hili, tumkwamue kujana huyu mpendwa alipokwama.
Asipotee bali apate mwanga na Nuru ya kutoka kimaisha Salama.
Wasalam.
Maisha bila ajira inawezekana, ila maisha bila kazi ndo ngumu kabisaMaisha bila ajira, simuliwa tu na mtu.
omba yasikukute.
Ungeweka "maisha bila kipato"!!Maisha bila ajira, simuliwa tu na mtu.
omba yasikukute.
kazi/ajira ndio source ya kipato ,other wiseUngeweka "maisha bila kipato"!!
Kwako inaweza kuwa hivyo, lakini aliye na kazi anaendesha maisha yake kupitia hiyo kazi ya kiboya. Nimeongea kilichotokea sikusema ni nzuri au mbaya.Procurement ni miongoni mwa kozi za kiboya
Swali Nje ya taaluma yake. Je nini hasa hupendelea kufanya? au ana kipaji gani? , Wenzetu huutumia neno "Passion", Je nini hasa passion yake.Amemaliza chuo kikuu ngazi ya Shahaada mathalani 2015. Amejitahidi kusaka ajira serikalini na kwenye sekta binafsi tangu wakati huo, mpaka sasa bila bila, na anaelekea kukosa sifa za kuajirika kwa mujibu wa sheria kutoka na kigezo cha umri na uzoefu.
Mambo ni mengi na ni Magumu, na muda ni mchache.
Arudi kwao kwenye maziwa na asali. Kama ni kusaidia kukamua maziwa, kusafisha mazingira, afanye. Huyo itakuwa mwanzo wa kutegemewa na kuaminiwa na ndugu. Asijivunge, aombe msaada wa kuchanguwa mtaji, na kila mtu ana wake, muda ukifika atapata mwenza wa kuendana naye.Amemaliza chuo kikuu ngazi ya Shahaada mathalani 2015. Amejitahidi kusaka ajira serikalini na kwenye sekta binafsi tangu wakati huo, mpaka sasa bila bila, na anaelekea kukosa sifa za kuajirika kwa mujibu wa sheria kutoka na kigezo cha umri na uzoefu.
Mambo ni mengi na ni Magumu, na muda ni mchache.
Uzuri wa kijana huyu, ni kwamba hajakata tamaa hata kidogo, ila anaelekea huko taratibu maana mvi zimemzonga hasa.
Na kinachomchochea kukata tamaa ni kwamba, anajiuliza hana hata ka plot au shamba, kijijini kwao wala mjini, hana mchumba wa uhakika wala hata mtoto wa kusingiziwa, faraja yake kwa muda mrefu huenda ni ilikua kujichua tu. Alikua na matumaini ya kupata ajira awe na kipato na mchumba mzuri pia.
Umri umesonga, fedha ngumu haoni cha kufanya, kodi ni shida, kula ni shida, anakwepa hata kushiriki mambo ya kijamii kama vile ndoa na misiba. Ni mnyonge sana hana ujasiri kabisa.
Kijana anasononeka mno, anajuta, ananung'unika na kujisemea mwenyewe moyoni alikosea wapi, mbona kama ni yeye pekeyake tu, anapitia masaibu haya.
Kijana anaona haya na aibu hata kurudi kijijini kwao kwenye maziwa na asali za kutupwa. Rika lake na wadogo zake wa shule, wameoa na kuolewa, wana nyumba nzuri, maisha mazuri, biashara kubwa, kipato kikubwa, wamezaa watoto wazuri, wakubwa wanawasomesha maeneo mbalimbali. Hili linampasua kichwa zaidi kijana huyu.
Kijana akitafakari hayo, moja haikai wala mbili haikai. Umri umesonga, mvi ndio kama zote, anaanza kuchuja na kukongoroka. Anahisi kama ana mkosi, hapendeki wala haitajiki tena kwenye jamii, roho ya kukata tamaa ina mnyemelea na kumkaribia zaidi....
Wapendwa maisha hayana Extra time.
Hebu tusaidiene, tuelimishane, tuelekezane, tupeane moyo na njia katika hili, tumkwamue kujana huyu mpendwa alipokwama.
Asipotee bali apate mwanga na Nuru ya kutoka kimaisha Salama.
Wasalam.